GEITA: Amteka mpenzi wake akitaka arudishiwe hela alizohonga, amuua

GEITA: Amteka mpenzi wake akitaka arudishiwe hela alizohonga, amuua

Tuwe waaminifu wajameni, wengi naona wanamshambulia jamaa kwa maamuzi yake na kufurahia adhabu atayopewa lakini hatugusii huyu aliupoteza uhai wake walau hata hiyo jela jamaa anaendelea kuishi.

Tuwe waaminifu kama mtu huna hisia nae na unaona anajituma sana kwako na kuonyesha ana malengo na wewe bora umteme mapema tu. Ubaki na hao unaona ona kabisa hawana malengo na wewe wote ni wazee wa kupunguziana genye tu.

Unahongwa na mtu anaetafuta kwa mbinde na unaona kabisa jamaa kafall kwako bado unamlia vitu vyake kibwege kumbe waaala hayupo moyoni mwako. Muwege na kiasi kina dada, vifo hivi vinaepukika mkipunguza tamaa.
 
Nikiona hii mambo inafanyika huko mikoani unaweza kuta hela jamaa analalamika haifiki hata laki tano.

Huyo akakae na sabaya tu maana hafai kuwa sehemu ya jamii iliyostaharabika.
Kuna jamaa wa eneo hilo nimemcheki
Anasema mwamba alikua anadai Tsh 45,000 na simu ndogo ya tecno aliyomnunulia manzi

Jamaa mishe zake ni kuchoma mahindi ya miamia
 
Sasa amefaidika nini hapo? Angejipatia kadada kengine tu mtaani huko akafanyie katerero nako kamfinyie kwa ndani kuliko kwenda jela kizembe hivi
Jambo jingine linalowarahisishia polisi kudabua washamba ni hizi simu.

Ukiangalia habari ilivyoandikwa, ni kwamba madai ya vitisho, 'kikombozi' pamoja na taarifa za kuteka alikuwa akizitoa kwa njia ya simu.
 
Hajit
Jambo jingine linalowarahisishia polisi kudabua washamba ni hizi simu.

Ukiangalia habari ilivyoandikwa, ni kwamba madai ya vitisho, 'kikombozi' pamoja na taarifa za kuteka alikuwa akizitoa kwa njia ya simu.
Hajitambui hiyo bwana, kwanini atumue simu yake kujitambuliaha kwa ndg za mfiwa? Na ingekua Mimi Wala nisingehangaika nae, napita kushoto tu, " TUISHINAO KWA AKILI' ingenitosha kunifariji.
 
Ndio maana mtoto wa Kiume unatakiwa uwe mtundu na watoto wa kike, hutoweza kusumbuliwa kimapenzi hata siku moja.

Kuna watu mafala sana kwenye mapenzi.

Unaweza kuta mpumbavu huyo ndio demu wake wa kwanza
 
Lakini Wazazi wa binti,mnapigiwa simu kuwa binti yenu anadaiwa kutumia fedha za "mwanaume asiyempenda" mnakaa kimya(yaani mnapotezea tu wakati hali ya utafutaji ni ngumu).

Wazazi mmejulishwa binti yenu amefanya utapeli wa mapenzi hamtaki kutoa ushirikiano,sasa mnashindwa hata kumwambia mdai alete mchanganuo wa madai?! ,ili kuepusha balaa na fedheha!,(angeleta mchanganuo,sasa hivi ingekuwa ni vikao vinaendelea kujadili namna ya kulipa deni.

Nahisi wazazi walinufaika na pesa au matokeo ya mahusiano ya binti yao na "mpenzi asiyempendwa na binti"!!
 
Acha upumbavu yule aliyeua mke wake huko Arumeru ni wa Kanda ile ?
Huyo mwanaume bonge la mshamba,alafu mbona kanda hiyo wanaume ni wadhaifu sana
Kitu kidogo wao wanaua wanawake...

Na nyie wanawake kuna la kujifunza hapo siyo kila mwanaume vyake huliwa!

Ova
 
Back
Top Bottom