Pre GE2025 Geita: CCM yawanunulia wanafunzi TV kwa ajili ya kufuatilia yanayofanywa na Rais Samia ili yawasaidie katika masomo yao

Pre GE2025 Geita: CCM yawanunulia wanafunzi TV kwa ajili ya kufuatilia yanayofanywa na Rais Samia ili yawasaidie katika masomo yao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Wanafunzi katika Shule ya Sekondari Nyang’hwale iliyopo wilayani humo Mkoani Geita wamekabidhiwa Runinga pamoja na Kisimbuzi kwa ajili ya kufatilia maendeleo ya Miradi inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Makabidhiano hayo yamekuja baada ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Geita , Manjale Magambo kufanya ziara wilayani Nyangh”wale ya kukagua uhai wa Chama cha Mapinduzi , kuhamasisha vijana kushiriki katika Uchaguzi mkuu sambamba na kuwataka vijana kuchangamkia fursa za Mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri.

Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

 
Wanafunzi katika Shule ya Sekondari Nyang’hwale iliyopo wilayani humo Mkoani Geita wamekabidhiwa Runinga pamoja na Kisimbuzi kwa ajili ya kufatilia maendeleo ya Miradi inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Makabidhiano hayo yamekuja baada ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Geita , Manjale Magambo kufanya ziara wilayani Nyangh”wale ya kukagua uhai wa Chama cha Mapinduzi , kuhamasisha vijana kushiriki katika Uchaguzi mkuu sambamba na kuwataka vijana kuchangamkia fursa za Mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri.

Soma pia: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3251983
Wasisahau na matundu ya Vyoo
 
Hii Nchi ilipofikia ni Mungu tu ajuaye

Yaani wameona bora Wanafunzi waendelee kukaa Chini(sakafuni) lakini wawanunulie TV

Maana madarasa mengi hayana madawati ya kutosha kupelekea baadhi ya Wanafunzi waendelee kukaa Chini (sakafuni)🙌
 
Back
Top Bottom