Geita Gold wanajenga uwanja wao bila michango ya mashabiki wake


hiyo kampuni ni kubwa kwa afrika unaambiwa madini ualiyopo hapo south afrika inasubiri.

sema wanachota mpaka basi .
nimepata madili hapo na kuna pesa yani unaweza kupiga pesa mpaka ukajiuliza serikali hipo wapi
 
Nimeona huna hoja ila wangefanikiwa kujenga kwa fedha zao hapo ndo ungekuwa na hoja.
Timu ni taasisi so haiwez kujenga uwanja yenyewe bila kuwa na 3rd parties

Mfano mashirika , makampuni, au mtu mmoja ....ila sio kwa michango ya wananch
 
Kweli NI swali la kuuliza hilo? Hivi hiyo timu utalinganisha na Simba na Yanga? Ungefikiria kidogo nadhani usingeuliza hili swali
Swali la kujiuliza ni kuwa ....timu imepanda daraja msimu huu.....lakn haichangish mashabik kujenga uwanja
 
muwe mnapata muda wa kuficha upumbavu. Simba inatumia fursa ya fanbase,halafu michango ni hiyari na ni mwitikio wa fans na wanachama. au huko kwenu kuna mtu kashikiwa bunduki kuchanga? acha tuchange tunaotaka,wewe piga kimya
Mkuu ....kitendo cha kuniomba mchango hata kama sio lazma.....it means ...ntakuchangia tu

But sijawataja SIMBA
 
Acha makasiriko mkuu.....twende kwa hoja.....
 
Fafafanua zaidi mkuu,GGM wametoa b 2.5 izo pesa zingine zilizobaki zitapatikana vipi ili kukamilisha pesa za kujenga uo uwanja?
Hizi ni hatua za awali za ujenziiii

Pesa zingine zitakuja .....ila sio kwa kuchangisha watanzania wanyonge
 

Kuna kitu cha kujifunza pia, ni upi mfumo wa umiliki uliopo kati ya timu zifuatazo:
1: Timu ya Geita gold
2: Timu ya Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…