Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halimashauri ya mji Geita ila GGM ni mdhamini.Nani mmiliki wa timu ya geita
Nyan anatoka wap tena kwny Mambo ya soccerNyani hawawezi kuwa na hoja hata wavalishwe suti. View attachment 2054981
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ni kweli but kSasa wawatangazie mashabiki ambao hawana. Hao hao mashabiki wa Geita Gold ndo mashabiki wa simba na yanga.
Hapana mkuu., .....haikuwa nguvu ya mashabiki .....bali ilikuwa tu ni MIHEMKO tu ya mashabiki.......huoni now hilo suala limepoa kabisaaaFight for food for four years ,ndio hii njemba Sasa.
Hata Akili ya kujishughurisha kidogo tu na kuwaza kwa upana hakuna kabisa.
Unakumbuka Yanga aliwahi pitisha Bakuli na kweli alikua anapata pesa nyingi na zikawa zinawasaidia kutatua matatizo yao ,je Rudi hapo hapo unahisi Leo hii Geita Gold nao ikatokea wamepata changamoto Kama ya Yanga ya wakati ule ,hao Geita wakiamua kuchangisha Bakuli Wana jeuri hata ya kupata million 10 mtaani?
Kwenye swala la uwanja wa Simba nguvu ya mashabiki ndio imeamua hivyo viongozi nao wamebariki ,huwez zuia nguvu ya umma.
Sorry mkuu......nime mnukuu anko jiwe ....alipenda kutuita hivyoSisi wana Simba wenyewe tunachangia kwa mapenzi ya timu yetu,na hiyo lugha ya kuwaita watu wanyonge ni kuwatweza haikubaliki.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ihefu , Gwnima wameshuka daraja na wana viwanja ,kushuka daraja kuna husiana vp na uwanja? ulaya timu zina shuka na zina viwanjaWanajenga uwanja na timu inashuka daraja hovyo kabisa.
anzisha uzi ntachangiaTuwashauri nao waanzishe michango...uwanja ujengwe
Ungemuweka wazi na kuhusu shule kwa ujumla ya Nyankumbu amejenga nani atulize kibwinyoKumbe wamechangiwa na GGML, nikajua wanjenga kwa fedha ipatikanayo toka kwenye mapato ya timu yao.
NB: Hata uwanja wanaotumia sasa (Nyankumbu Girls), ulijengwa kwa ufadhili wa GGML.
Alafu watanzania wote sio wanyonge,fundi baiskeli nimemkuta kwenye show ya Falii Ipupa kakaa VVIP.anamiliki smart phone ya gharama akiiuza iyo simu akosi 500k.Hizi ni hatua za awali za ujenziiii
Pesa zingine zitakuja .....ila sio kwa kuchangisha watanzania wanyonge
Hakuna cha kujifunzaKlabu ya geita gold sport inaendelea na ujenzi wa uwanja wake ambao utakuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki elfu 12
Kampuni ya Geita Gold imetoa TZS 2.5 B kwa ujenzi wa hatua za awali ambao utatumika kwenye mechi zake
Ikumbukwe timu ya Geita gold imepanda daraja msimu lakni inajenga uwanja wake bila MICHANGO kutoka kwa mashabiki , wanachama na wadau mbali mbali kama kwa timu nyingine znavyo fanya
Je kuna cha kujifunza hapa kwa Geita Gold
View attachment 2054832
Gwambina acha ipotee kbs maana inamilikiwa na mtu ambaye muda huu alitakiwa awe kama SAA MBAYA jela.Ihefu , Gwnima wameshuka daraja na wana viwanja ,kushuka daraja kuna husiana vp na uwanja? ulaya timu zina shuka na zina viwanja
Mtakuwa na viwanja vingi vya kuanikia michembe na makopaLkn uwanja utabaki kwa maendeleo ya mpira nchini
Kamuulize yule aliyekuwa kocha wenu LucNyan anatoka wap tena kwny Mambo ya soccer