Geita Gold wanajenga uwanja wao bila michango ya mashabiki wake

Geita Gold wanajenga uwanja wao bila michango ya mashabiki wake

FFunbase
muwe mnapata muda wa kuficha upumbavu. Simba inatumia fursa ya fanbase,halafu michango ni hiyari na ni mwitikio wa fans na wanachama. au huko kwenu kuna mtu kashikiwa bunduki kuchanga? acha tuchange tunaotaka,wewe piga kimya
Inafaidika vipi kiuchumi alaf? Au fedha za mapato ya kiingilio mshatoa sadaka kwa mwekezaui? Morning is a smart guy, you guys be smart Mana mnalanguliwa. Yani ndo Mana sioni umuhimu was kufatilia soka Tanzania Mana watanzania Ni watu wapumbavu Sana. Club baada ya kwenda public na kufaidi a wanachama wake eti inachangisha hell au mijitu inachangia!!!!!?🐒🐒🐒🐒🐒🐒
 
FFunbase

Inafaidika vipi kiuchumi alaf? Au fedha za mapato ya kiingilio mshatoa sadaka kwa mwekezaui? Morning is a smart guy, you guys be smart Mana mnalanguliwa. Yani ndo Mana sioni umuhimu was kufatilia soka Tanzania Mana watanzania Ni watu wapumbavu Sana. Club baada ya kwenda public na kufaidi a wanachama wake eti inachangisha hell au mijitu inachangia!!!!!?🐒🐒🐒🐒🐒🐒
Una uchungu sana ña pesa za wenyewe?
 
FFunbase

Inafaidika vipi kiuchumi alaf? Au fedha za mapato ya kiingilio mshatoa sadaka kwa mwekezaui? Morning is a smart guy, you guys be smart Mana mnalanguliwa. Yani ndo Mana sioni umuhimu was kufatilia soka Tanzania Mana watanzania Ni watu wapumbavu Sana. Club baada ya kwenda public na kufaidi a wanachama wake eti inachangisha hell au mijitu inachangia!!!!!?🐒🐒🐒🐒🐒🐒
Una uchungu sana ña pesa za wenyewe?
 
Hata wewe hujui zitakujaje.Alafu watanzania wote sio wanyonge,fundi baiskeli nimemkuta kwenye show ya Falii Ipupa kakaa VVIP.anamiliki smart phone ya gharama akiiuza iyo simu akosi 500k.
Huyo ....itakuwa ana utajiri wa ndagu......masharti
 
Pia hata namna ya ku handle Mambo ya maendeleo ....lkn sio kuhamssisha wabongo wakuchangie........


Utachelewa sana
Mantiki ya umiliki wa hizi timu ndo msingi wa nani abebe jukumu kubwa la maendeleo:
1: Azam
2: Geita
3: Simba
4: Yanga

Kwa umiliki wa mfumo wa Azam vs Geita, mmiliki mmoja anabeba jukumu kuu la maendeleo.

Kwa Simba vs Yanga, bado wananchi ni wadau wakubwa wa maendeleo kwa sababu ni sehemu ya umiliki.

Mdhamini huja na mnakubaliana na terms of references, unapopata kitu cha kufanya wakati mkataba mwingine unaendelea labda usubiri mkataba uishe au mkubaliane ndani ya mkataba. Inatrgemea busara zako zitakupeleka wapi.

Ukitaka upate mzamini mwingine wa mradi mkubwa, pia uwe na terms za nini yeye atafaidika nacho? Lakini pia asiwe na mgongano na mwenzie.

Lakini, pia si kosa wamiliki wa timu kuendelea na mchakato na hao wengine wakawakuta huko mbele. Mnakuwa mnapunguza pengo na kuimarisha umiliki wenu.

Asikwambie mtu Tanzania/Watanzania si masikini, bali ni ukosefu wa entrepreneur skills na priorities. Kama nchi na kwa baadhi ya watu mmoja mmoja.

Kila mtu anataka kuwa bosi, unapata 100, unakula 99 ndo tunaleta makasiriko mtaani.
 
Hakuna cha kujifunza

Geita siyotimu ya umma/wananchi… ni timu iliyoundwa Kwa mfumo tofauti, sawa na Azam, Pilsner (enzi zetu), tumbaku ya Morogoro, mecco, sigara na reli

Labda tujiulize tu, mfumo unaokuja wa soka la wadhamini bila control litatupeleka wapi?

Ligi za Ghana na Nigeria, zimefia hii model yetu tuliyoiokota na kuzaa ligi dhaifu zenye rushwa, ulaghai na udumavu wa local talents
Ligue yetu ndio inaenda kuwa super .....coz now wazamin ni weng kiasi kwamba ukata wa timu unapungua

That's y timu now zina lalamika kuwa ligue ya msimu huu ni ngumu
 
Ikumbukwe timu ya Geita gold imepanda daraja msimu lakni inajenga uwanja wake bila MICHANGO kutoka kwa mashabiki , wanachama na wadau mbali mbali kama kwa timu nyingine znavyo fanya
Je kuna cha kujifunza hapa kwa Geita Gold
Cha kujifunza ni kwamba timu ambazo hazijapata wazo la kujenga uwanja ikiwamo Yanga, sasa zijue kuwa zinaweza kujenga viwanja vyao vya walau mashabiki 12,000 bila kuwachangisha mashabiki wao
 
FFunbase

Inafaidika vipi kiuchumi alaf? Au fedha za mapato ya kiingilio mshatoa sadaka kwa mwekezaui? Morning is a smart guy, you guys be smart Mana mnalanguliwa. Yani ndo Mana sioni umuhimu was kufatilia soka Tanzania Mana watanzania Ni watu wapumbavu Sana. Club baada ya kwenda public na kufaidi a wanachama wake eti inachangisha hell au mijitu inachangia!!!!!?[emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Sahihi kabsaa
 
Wachange nani wakati hao mashabiki hawana, ukiachia simba na yanga hakuna hata timu moja inayotimiza mashabiki buku.
Wadau wa mkoa wa geita na mikoa jirani ya kanda ya ziwa.....kumbuka kanda ya ziwa haina timu ya ligue kuu
 
Back
Top Bottom