Geita Gold wanajenga uwanja wao bila michango ya mashabiki wake

Geita Gold wanajenga uwanja wao bila michango ya mashabiki wake

Sio utajiri wa ndagu,wabongo wa kipato cha chini na cha kati wananguvu na mipango dhabit kwenye kufanikisha mambo ya starehe.
Unajua kuwa TZ Kuna watu wanapesa Sana .....lkn hawajulikani kwenye u milionea..kwa sababu weng utajiri ni wa vibwengo ambao haurusiw kuweka pesa benki
 
Unajua kuwa TZ Kuna watu wanapesa Sana .....lkn hawajulikani kwenye u milionea..kwa sababu weng utajiri ni wa vibwengo ambao haurusiw kuweka pesa benki
Kwaio unakubaliana na mimi watanzania wengi sio wanyonge,michango uwa wanatoa tu iwe ya harusi,matibabu,kujenga uwanja wa Simba n.k.
 
Tafsiri ya uwanja kwa Geita ni tofauti na tafsiri ya uwanja ambayo simba inatazamia kuwa nao

Kiwanja inachotaka Geita kujenga hakina hadhi kujengwa na timu kubwa na wawakilishi wa nchi na africa mashariki na kati kama Simba

Ni sawa na useme yani serikali kwenye kujenga bank kuu ya tanzania imechangisha watu kodi wakati huku mtaani kuna jamaa ana bank binafsi na kajenga kwa pesa yake

Swali ni kwamba je kwasababu zote ni bank je zina hadhi sawa?
 
Klabu ya Geita Gold sport inaendelea na ujenzi wa uwanja wake ambao utakuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki elfu 12

Kampuni ya Geita Gold imetoa TZS 2.5 B kwa ujenzi wa hatua za awali ambao utatumika kwenye mechi zake

Ikumbukwe timu ya Geita gold imepanda daraja msimu lakni inajenga uwanja wake bila MICHANGO kutoka kwa mashabiki , wanachama na wadau mbali mbali kama kwa timu nyingine znavyo fanya

Je, kuna cha kujifunza hapa kwa Geita Gold.

View attachment 2054832
Acha kupotosha wewe ngiri jike, uwanja ni H/shauri na sio Geita Gold,
 
Kwaio unakubaliana na mimi watanzania wengi sio wanyonge,michango uwa wanatoa tu iwe ya harusi,matibabu,kujenga uwanja wa Simba n.k.
Yaaah lkn ni aibu timu yenye mdhamini mkubwa.....kuomba kuchangiwa
 
Tafsiri ya uwanja kwa Geita ni tofauti na tafsiri ya uwanja ambayo simba inatazamia kuwa nao

Kiwanja inachotaka Geita kujenga hakina hadhi kujengwa na timu kubwa na wawakilishi wa nchi na africa mashariki na kati kama Simba

Ni sawa na useme yani serikali kwenye kujenga bank kuu ya tanzania imechangisha watu kodi wakati huku mtaani kuna jamaa ana bank binafsi na kajenga kwa pesa yake

Swali ni kwamba je kwasababu zote ni bank je zina hadhi sawa?
Lakini pia SIMBA inaendeshwa kwa mihemko na sio weledi
 
Back
Top Bottom