Geita Gold wanajenga uwanja wao bila michango ya mashabiki wake

Geita Gold wanajenga uwanja wao bila michango ya mashabiki wake

Klabu ya Geita Gold sport inaendelea na ujenzi wa uwanja wake ambao utakuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki elfu 12

Kampuni ya Geita Gold imetoa TZS 2.5 B kwa ujenzi wa hatua za awali ambao utatumika kwenye mechi zake

Ikumbukwe timu ya Geita gold imepanda daraja msimu lakni inajenga uwanja wake bila MICHANGO kutoka kwa mashabiki , wanachama na wadau mbali mbali kama kwa timu nyingine znavyo fanya

Je, kuna cha kujifunza hapa kwa Geita Gold.

View attachment 2054832
Kwanza jiulize Geita ina mashabiki wa kuwachangia?...pili simba ikitaka viwanja vya kuingiza watu elfu mbili Kama Geita hata kesho unajengwa kaka..MASHABIKI NI MTAJI BOSS Yanga igeni msione aibu na kuanza kuzunguka kuponda jitihada za simba kupata uwanja wao kupitia sisi mashabiki wake..tatu huo uwanja wa geita nna imani hauufikii hata nusu kwa ubora UWANJA WA MAZOEZI WA SIMBA KULE BUNJU so tulizeni mishono Wana Yanga Simba ni taasisi kubwa msitulinganishe na vitu vya ajabu
 
Kwanza jiulize Geita ina mashabiki wa kuwachangia?...pili simba ikitaka viwanja vya kuingiza watu elfu mbili Kama Geita hata kesho unajengwa kaka..MASHABIKI NI MTAJI BOSS Yanga igeni msione aibu na kuanza kuzunguka kuponda jitihada za simba kupata uwanja wao kupitia sisi mashabiki wake..tatu huo uwanja wa geita nna imani hauufikii hata nusu kwa ubora UWANJA WA MAZOEZI WA SIMBA KULE BUNJU so tulizeni mishono Wana Yanga Simba ni taasisi kubwa msitulinganishe na vitu vya ajabu
Mm sio yanga mkuu.....ila ni mdau wa soka
 
Kwanza jiulize Geita ina mashabiki wa kuwachangia?...pili simba ikitaka viwanja vya kuingiza watu elfu mbili Kama Geita hata kesho unajengwa kaka..MASHABIKI NI MTAJI BOSS Yanga igeni msione aibu na kuanza kuzunguka kuponda jitihada za simba kupata uwanja wao kupitia sisi mashabiki wake..tatu huo uwanja wa geita nna imani hauufikii hata nusu kwa ubora UWANJA WA MAZOEZI WA SIMBA KULE BUNJU so tulizeni mishono Wana Yanga Simba ni taasisi kubwa msitulinganishe na vitu vya ajabu
Uwanja wa Geita utakua wa nyasi bandia
 
20211226_112820.jpg
20211226_112823.jpg
20211226_112825.jpg
20211226_112828.jpg
 
Yah mkuu....lkn hawajatangaza kuwa wachangiwe na mashabiki
Kwani kuchangiwa na mashabiki ni kosa? By the way tukiondoa unafiki, unmadhani Geita Gold itakuwa na mashabiki wangapi nchi nzima hata kama wangetaka wachangiwe?
 
Kwani kuchangiwa na mashabiki ni kosa? By the way tukiondoa unafiki, unmadhani Geita Gold itakuwa na mashabiki wangapi nchi nzima hata kama wangetaka wachangiwe?
Kuhusu kuchangisha.....sio lazma uwe na watu wengi ni just tu maamuz
 
Back
Top Bottom