Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdhamini mkubwa ndo wa aina gani uyo?Yaaah lkn ni aibu timu yenye mdhamini mkubwa.....kuomba kuchangiwa
Wanamashabiki sasaYah mkuu....lkn hawajatangaza kuwa wachangiwe na mashabiki
Kwanza jiulize Geita ina mashabiki wa kuwachangia?...pili simba ikitaka viwanja vya kuingiza watu elfu mbili Kama Geita hata kesho unajengwa kaka..MASHABIKI NI MTAJI BOSS Yanga igeni msione aibu na kuanza kuzunguka kuponda jitihada za simba kupata uwanja wao kupitia sisi mashabiki wake..tatu huo uwanja wa geita nna imani hauufikii hata nusu kwa ubora UWANJA WA MAZOEZI WA SIMBA KULE BUNJU so tulizeni mishono Wana Yanga Simba ni taasisi kubwa msitulinganishe na vitu vya ajabuKlabu ya Geita Gold sport inaendelea na ujenzi wa uwanja wake ambao utakuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki elfu 12
Kampuni ya Geita Gold imetoa TZS 2.5 B kwa ujenzi wa hatua za awali ambao utatumika kwenye mechi zake
Ikumbukwe timu ya Geita gold imepanda daraja msimu lakni inajenga uwanja wake bila MICHANGO kutoka kwa mashabiki , wanachama na wadau mbali mbali kama kwa timu nyingine znavyo fanya
Je, kuna cha kujifunza hapa kwa Geita Gold.
View attachment 2054832
Mm sio yanga mkuu.....ila ni mdau wa sokaKwanza jiulize Geita ina mashabiki wa kuwachangia?...pili simba ikitaka viwanja vya kuingiza watu elfu mbili Kama Geita hata kesho unajengwa kaka..MASHABIKI NI MTAJI BOSS Yanga igeni msione aibu na kuanza kuzunguka kuponda jitihada za simba kupata uwanja wao kupitia sisi mashabiki wake..tatu huo uwanja wa geita nna imani hauufikii hata nusu kwa ubora UWANJA WA MAZOEZI WA SIMBA KULE BUNJU so tulizeni mishono Wana Yanga Simba ni taasisi kubwa msitulinganishe na vitu vya ajabu
Hawana mashabiki wa kuwachangiaYah mkuu....lkn hawajatangaza kuwa wachangiwe na mashabiki
Uwanja wa Geita utakua wa nyasi bandiaKwanza jiulize Geita ina mashabiki wa kuwachangia?...pili simba ikitaka viwanja vya kuingiza watu elfu mbili Kama Geita hata kesho unajengwa kaka..MASHABIKI NI MTAJI BOSS Yanga igeni msione aibu na kuanza kuzunguka kuponda jitihada za simba kupata uwanja wao kupitia sisi mashabiki wake..tatu huo uwanja wa geita nna imani hauufikii hata nusu kwa ubora UWANJA WA MAZOEZI WA SIMBA KULE BUNJU so tulizeni mishono Wana Yanga Simba ni taasisi kubwa msitulinganishe na vitu vya ajabu
Hyu ngiri bado anahangaika na Simba?Lakini pia SIMBA inaendeshwa kwa mihemko na sio weledi
Kwani kuchangiwa na mashabiki ni kosa? By the way tukiondoa unafiki, unmadhani Geita Gold itakuwa na mashabiki wangapi nchi nzima hata kama wangetaka wachangiwe?Yah mkuu....lkn hawajatangaza kuwa wachangiwe na mashabiki
Kuhusu kuchangisha.....sio lazma uwe na watu wengi ni just tu maamuzKwani kuchangiwa na mashabiki ni kosa? By the way tukiondoa unafiki, unmadhani Geita Gold itakuwa na mashabiki wangapi nchi nzima hata kama wangetaka wachangiwe?
Sasa na MAKOLO si wajenge na fedha za mfadhili wao Mwamedi badala ya kuwachangisha mashabiki wao?Nimeona huna hoja ila wangefanikiwa kujenga kwa fedha zao hapo ndo ungekuwa na hoja.