KERO Geita inatoka dhahabu lakini Stendi yetu ya Mabasi kama Kijiji kilichotelekezwa

KERO Geita inatoka dhahabu lakini Stendi yetu ya Mabasi kama Kijiji kilichotelekezwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
WhatsApp Image 2024-11-11 at 15.00.16_b2b28ed8.jpg

WhatsApp Image 2024-11-11 at 15.00.15_cc76a5e0.jpg
Sisi Wafanyabiashara na wakazi wa Geita, kwa miaka mingi sasa stendi yetu imekuwa na miundombinu mibovu.

Miaka nenda rudi kilio chetu kimekuwa ni uboreshwaji stendi yetu lakini hakuna kitu kinafanyika.

Kipindi cha mvua tumekuwa tukipata shida sana kwani hii stendi huwa inajaa maji na hata kupishana kwa magari huwa ni changamoto sana.

Sisi watu wa mabasi na wale madereva wanaoendesha mafuso tumekuwa tunapata shida hata kupishana vizuri barabarani.

Inafikia wakati, kipindi cha masika sisi madereva hatulali majumbani inatubidi tulale kwenye magari yetu maana tunaogopa magari yetu hapa stendi kumezwa na mafuriko.

Hali ni mbaya sana na tunaomba serikali itusaidie.
Hivi kweli Mkoa wa Geita ambako madini ya dhahabu yanatoka yanaenda Ulaya, tunakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Kama Serikali imeweza kutujengea barabara nzuri na za kisasa tunaamini kuwa hata hii stendi pia wanaweza kuiboresha.

1731567370147.jpeg

WhatsApp Image 2024-11-11 at 15.00.13_32730f84.jpg

Pia soma ~ Serikali Geita yatenga Bilioni 14 kukarabati na kujenga Stendi Kuu ya Mabasi
 
Heeee! Sasa hayo madini yanaenda kujenga wapi - Ulaya? Hivi hakuna sheria ya uboreshaji wa eneo la kazi?

Bila shaka hiki ni kielelezo kamili cha karibu kila sehemu ya uzalishaji na uchumi nchini.

Kwa nini watu hawana desturi ya kusafisha na kuboresha sehemu wanapopatia riziki yao? Si ajabu taasisi nyingi, hasa za serikali, zinajifia kwa sababu watu wanaangalia mapato tu, na wala si uboreshaji!

Hii haikubaliki kwa kweli. Ile kauli ya Tunza mazingira ili yakutunze, iko wapi?

Ngoja nimgutue wakili wangu Pascal Mayalla ili tufungue kesi mahakamani mara moja.
 
Mkuu, nikweli Geita inahitaji stendi ikarabatiwe na iwe ya kisasa.
Lakini kwa hilo la madereva kulala kwenye magari kipindi cha mvua kwa kuogopa mafuriko sio kweli.
 
Kati ya vitu Magufuli alivyozingua ni hili la Geita, nilidhan angeithaminisha Geita kwa kuipa miundombinu inayoifaa, yeye kaenda kuwekeza Chato
Kweli kabisa. Kama unaweza tupia picha ya stand ya Chato watu walinganishe.
Chato wilaya ya Geita ilitumia Hela ya nchi kujengewa stand isiyokuwa na magari huku Geita mkoani stand ni kama hivyo! Ni ajabu na kweli!
 
Kati ya vitu Magufuli alivyozingua ni hili la Geita, nilidhan angeithaminisha Geita kwa kuipa miundombinu inayoifaa, yeye kaenda kuwekeza Chato
Alikofanya inatosha, unataka afanye yeye tu

Huyu aliyepo amekopa karibu tr 45 kwa miaka mitatu, yeye kazifanyia nini na kwa miradi ipi mipya? Basi ajenge yeye
 
Sisi Wafanyabiashara na wakazi wa Geita, kwa miaka mingi sasa stendi yetu imekuwa na miundombinu mibovu.

Miaka nenda rudi kilio chetu kimekuwa ni uboreshwaji stendi yetu lakini hakuna kitu kinafanyika.

Kipindi cha mvua tumekuwa tukipata shida sana kwani hii stendi huwa inajaa maji na hata kupishana kwa magari huwa ni changamoto sana.

Sisi watu wa mabasi na wale madereva wanaoendesha mafuso tumekuwa tunapata shida hata kupishana vizuri barabarani.

Inafikia wakati, kipindi cha masika sisi madereva hatulali majumbani inatubidi tulale kwenye magari yetu maana tunaogopa magari yetu hapa stendi kumezwa na mafuriko.

Hali ni mbaya sana na tunaomba serikali itusaidie.
Hivi kweli Mkoa wa Geita ambako madini ya dhahabu yanatoka yanaenda Ulaya, tunakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Kama Serikali imeweza kutujengea barabara nzuri na za kisasa tunaamini kuwa hata hii stendi pia wanaweza kuiboresha.

ni aibu ya karne
 
Nimeishia hapo uliposema mnalala kwenye magari kuogopa magari yenu yasimezwe
 
Halafu ile jamaa ikaenda kujenga stendi ya mabilioni chato
 
Achana na stend kwanza vipi suala la maji, umeme, shule na vituo vya afya kukoje. Stend hata chini ya mti Inaweza kuwa stendi.
 
Sisi Wafanyabiashara na wakazi wa Geita, kwa miaka mingi sasa stendi yetu imekuwa na miundombinu mibovu.

Miaka nenda rudi kilio chetu kimekuwa ni uboreshwaji stendi yetu lakini hakuna kitu kinafanyika.

Kipindi cha mvua tumekuwa tukipata shida sana kwani hii stendi huwa inajaa maji na hata kupishana kwa magari huwa ni changamoto sana.

Sisi watu wa mabasi na wale madereva wanaoendesha mafuso tumekuwa tunapata shida hata kupishana vizuri barabarani.

Inafikia wakati, kipindi cha masika sisi madereva hatulali majumbani inatubidi tulale kwenye magari yetu maana tunaogopa magari yetu hapa stendi kumezwa na mafuriko.

Hali ni mbaya sana na tunaomba serikali itusaidie.
Hivi kweli Mkoa wa Geita ambako madini ya dhahabu yanatoka yanaenda Ulaya, tunakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Kama Serikali imeweza kutujengea barabara nzuri na za kisasa tunaamini kuwa hata hii stendi pia wanaweza kuiboresha.

Taifa la mazezeta wacha wawakamue, kwani hio Geita ukitoa ule mgod wa GGM kuna nini kinabakia pale Gaita?
 
Sisi Wafanyabiashara na wakazi wa Geita, kwa miaka mingi sasa stendi yetu imekuwa na miundombinu mibovu.

Miaka nenda rudi kilio chetu kimekuwa ni uboreshwaji stendi yetu lakini hakuna kitu kinafanyika.

Kipindi cha mvua tumekuwa tukipata shida sana kwani hii stendi huwa inajaa maji na hata kupishana kwa magari huwa ni changamoto sana.

Sisi watu wa mabasi na wale madereva wanaoendesha mafuso tumekuwa tunapata shida hata kupishana vizuri barabarani.

Inafikia wakati, kipindi cha masika sisi madereva hatulali majumbani inatubidi tulale kwenye magari yetu maana tunaogopa magari yetu hapa stendi kumezwa na mafuriko.

Hali ni mbaya sana na tunaomba serikali itusaidie.
Hivi kweli Mkoa wa Geita ambako madini ya dhahabu yanatoka yanaenda Ulaya, tunakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Kama Serikali imeweza kutujengea barabara nzuri na za kisasa tunaamini kuwa hata hii stendi pia wanaweza kuiboresha.

Poleni sana,hili ni tatizo la nchi na viongozi almost wote wa nchi maskini,hasa Africa,wao ni gatekeepers wa Western Governments and Corporations which loot our resources for their own gain.So unless we wake up and kick them out,this miserable situation will never end.

Sikiliza clip ifuatayo sababu za hali hii mbaya.


View: https://youtu.be/uAfpqBgg4dk?si=_Np-TrSPqVZ0YWLd
 
Sisi Wafanyabiashara na wakazi wa Geita, kwa miaka mingi sasa stendi yetu imekuwa na miundombinu mibovu.

Miaka nenda rudi kilio chetu kimekuwa ni uboreshwaji stendi yetu lakini hakuna kitu kinafanyika.

Kipindi cha mvua tumekuwa tukipata shida sana kwani hii stendi huwa inajaa maji na hata kupishana kwa magari huwa ni changamoto sana.

Sisi watu wa mabasi na wale madereva wanaoendesha mafuso tumekuwa tunapata shida hata kupishana vizuri barabarani.

Inafikia wakati, kipindi cha masika sisi madereva hatulali majumbani inatubidi tulale kwenye magari yetu maana tunaogopa magari yetu hapa stendi kumezwa na mafuriko.

Hali ni mbaya sana na tunaomba serikali itusaidie.
Hivi kweli Mkoa wa Geita ambako madini ya dhahabu yanatoka yanaenda Ulaya, tunakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Kama Serikali imeweza kutujengea barabara nzuri na za kisasa tunaamini kuwa hata hii stendi pia wanaweza kuiboresha.

Tanganyika, wanatoa Tanzanite, dhahabu, magogo ya mbao, samaki, wanyama,, utalii, carbon, bandari nk lakini angalia vyoo vya shule barabara na vinginevyo
 
Mli
Sisi Wafanyabiashara na wakazi wa Geita, kwa miaka mingi sasa stendi yetu imekuwa na miundombinu mibovu.

Miaka nenda rudi kilio chetu kimekuwa ni uboreshwaji stendi yetu lakini hakuna kitu kinafanyika.

Kipindi cha mvua tumekuwa tukipata shida sana kwani hii stendi huwa inajaa maji na hata kupishana kwa magari huwa ni changamoto sana.

Sisi watu wa mabasi na wale madereva wanaoendesha mafuso tumekuwa tunapata shida hata kupishana vizuri barabarani.

Inafikia wakati, kipindi cha masika sisi madereva hatulali majumbani inatubidi tulale kwenye magari yetu maana tunaogopa magari yetu hapa stendi kumezwa na mafuriko.

Hali ni mbaya sana na tunaomba serikali itusaidie.
Hivi kweli Mkoa wa Geita ambako madini ya dhahabu yanatoka yanaenda Ulaya, tunakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Kama Serikali imeweza kutujengea barabara nzuri na za kisasa tunaamini kuwa hata hii stendi pia wanaweza kuiboresha.


Sisi Wafanyabiashara na wakazi wa Geita, kwa miaka mingi sasa stendi yetu imekuwa na miundombinu mibovu.

Miaka nenda rudi kilio chetu kimekuwa ni uboreshwaji stendi yetu lakini hakuna kitu kinafanyika.

Kipindi cha mvua tumekuwa tukipata shida sana kwani hii stendi huwa inajaa maji na hata kupishana kwa magari huwa ni changamoto sana.

Sisi watu wa mabasi na wale madereva wanaoendesha mafuso tumekuwa tunapata shida hata kupishana vizuri barabarani.

Inafikia wakati, kipindi cha masika sisi madereva hatulali majumbani inatubidi tulale kwenye magari yetu maana tunaogopa magari yetu hapa stendi kumezwa na mafuriko.

Hali ni mbaya sana na tunaomba serikali itusaidie.
Hivi kweli Mkoa wa Geita ambako madini ya dhahabu yanatoka yanaenda Ulaya, tunakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Kama Serikali imeweza kutujengea barabara nzuri na za kisasa tunaamini kuwa hata hii stendi pia wanaweza kuiboresha.

Mlilaumu lile shetani lenu la Chato badala ya kujenga Mkoani lenyewe likaenda kujenga kikijijini kwake!
 
Sisi Wafanyabiashara na wakazi wa Geita, kwa miaka mingi sasa stendi yetu imekuwa na miundombinu mibovu.

Miaka nenda rudi kilio chetu kimekuwa ni uboreshwaji stendi yetu lakini hakuna kitu kinafanyika.

Kipindi cha mvua tumekuwa tukipata shida sana kwani hii stendi huwa inajaa maji na hata kupishana kwa magari huwa ni changamoto sana.

Sisi watu wa mabasi na wale madereva wanaoendesha mafuso tumekuwa tunapata shida hata kupishana vizuri barabarani.

Inafikia wakati, kipindi cha masika sisi madereva hatulali majumbani inatubidi tulale kwenye magari yetu maana tunaogopa magari yetu hapa stendi kumezwa na mafuriko.

Hali ni mbaya sana na tunaomba serikali itusaidie.
Hivi kweli Mkoa wa Geita ambako madini ya dhahabu yanatoka yanaenda Ulaya, tunakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Kama Serikali imeweza kutujengea barabara nzuri na za kisasa tunaamini kuwa hata hii stendi pia wanaweza kuiboresha.

Dah! mnashindwa hadi na Zanzbar ambako hakuna madini yeyote?
 
Sisi Wafanyabiashara na wakazi wa Geita, kwa miaka mingi sasa stendi yetu imekuwa na miundombinu mibovu.

Miaka nenda rudi kilio chetu kimekuwa ni uboreshwaji stendi yetu lakini hakuna kitu kinafanyika.

Kipindi cha mvua tumekuwa tukipata shida sana kwani hii stendi huwa inajaa maji na hata kupishana kwa magari huwa ni changamoto sana.

Sisi watu wa mabasi na wale madereva wanaoendesha mafuso tumekuwa tunapata shida hata kupishana vizuri barabarani.

Inafikia wakati, kipindi cha masika sisi madereva hatulali majumbani inatubidi tulale kwenye magari yetu maana tunaogopa magari yetu hapa stendi kumezwa na mafuriko.

Hali ni mbaya sana na tunaomba serikali itusaidie.
Hivi kweli Mkoa wa Geita ambako madini ya dhahabu yanatoka yanaenda Ulaya, tunakosaje kuwa na stendi ya kisasa?

Kama Serikali imeweza kutujengea barabara nzuri na za kisasa tunaamini kuwa hata hii stendi pia wanaweza kuiboresha.

Nyumba moja ya Deo Mafuru inajenga vjtuo vya basi kama sita

😅😅😅
 
Back
Top Bottom