Acha kumsingizia Magufuli!Mli
Mlilaumu lile shetani lenu la Chato badala ya kujenga Mkoani lenyewe likaenda kujenga kikijijini kwake!
Ni magufuli pekee ndiyo aliifufua Geita, toka enzi za uhuru Geita hakuwa na barabara ya lami ya mtaa hata moja hadi kipindi cha JPM
Ni sawa alipendelea Chato lakini aliikumbuka Geita kuliko awamu zote zilizowahi kupita wala iliyopo
Na angemaliza miaka yake hata hili bandiko lisingekuwa hapa!