Shabani Ajaha
Member
- Aug 18, 2021
- 78
- 60
UVCCM TAIFA
16.07.2022
HISTORIA IMEANDIKWA WILAYA YA GEITA YASIMAMA
Katibu Mkuu wa UVCCM TAIFA Ndugu Kenani Kihongosi akiwa Wilaya ya Geita(Katoro) Mkoa wa Geita Kuhamasisha Vijana Katika Zoezi la Sensa ya Watu na makazi amesisitiza vijana kujitokeza Tarehe23.8.2022.
Pia amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa ya Kugusa maisha ya watanzania na kupunguza mzigo katika elimu baada ya kuwaondolea Ada wanafunzi kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha Sita.
#2022JiandaeKuhesabiwa
#AlipoMamaVijanaTupo
#ShirikiUchaguziKwaUadilifu
#KaziIendelee
16.07.2022
HISTORIA IMEANDIKWA WILAYA YA GEITA YASIMAMA
Katibu Mkuu wa UVCCM TAIFA Ndugu Kenani Kihongosi akiwa Wilaya ya Geita(Katoro) Mkoa wa Geita Kuhamasisha Vijana Katika Zoezi la Sensa ya Watu na makazi amesisitiza vijana kujitokeza Tarehe23.8.2022.
Pia amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa ya Kugusa maisha ya watanzania na kupunguza mzigo katika elimu baada ya kuwaondolea Ada wanafunzi kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha Sita.
#2022JiandaeKuhesabiwa
#AlipoMamaVijanaTupo
#ShirikiUchaguziKwaUadilifu
#KaziIendelee