Geita: Mbakaji aomba nafuu ya hukumu akidai ameshapigwa na wananchi wakati anakamatwa

Geita: Mbakaji aomba nafuu ya hukumu akidai ameshapigwa na wananchi wakati anakamatwa

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Mkazi wa Geita, Yusuph Mlale amehukumiwa miaka 30 gerezani baada ya kupatikana na hatia ya ubakaji.

Akiomba nafuu wakati wa hukumu, Mlale alimuomba hakimu ampe nafuu kwenye adhabu kwasababu alikamatwa na wananchi wenye hasira kali ambao walimpa kichapo kwanza kabla ya kumfikisha kwenye vyombo vya Usalama huku akionesha majeraha aliyonayo mwilini vilivyosababishwa na mkong'oto.

Mwananchi akitoa maoni baada ya hukumu, amewataka watu kufikiri kabla ya kutekeleza kila wanachoambiwa na Mganga.
 
Kwani kipigo cha wananchi ni mbadala wa miaka ya kutumikia jela?

Anyway hii adhabu ya miaka 30 itazamwe upya..tunapoteza nguvu kazi kubwa sana wapigwa hata 15 inatosha.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwani kipigo cha wananchi ni mbadala wa miaka ya kutumikia jela?

Anyway hii adhabu ya miaka 30 itazamwe upya..tunapoteza nguvu kazi kubwa sana wapigwa hata 15 inatosha.

#MaendeleoHayanaChama
Hii sheria imekaa kukomoa zaidi badala ya kurekebisha' watungaji wa sheria waliongozwa na mihemko ya kike' ukiangalia rate ya matukio badala ya kupungua kutokana na uwepo wa sheria kali, kinyume chake yanaongezeka. Imesaidiaje!?

Sheria hii pamoja na ile nyingine ya kugawana 50/50 mnapotalikiana zinaharibu sana maisha na mustakabali wa jamii yetu.

Ni kama sheria imetengeneza biashara nono ya kuolewa na kuachwa! Kitu ambacho tayari ni mgogoro kabla hata ya mgogoro wenyewe! Inaharibu maadili na mwisho muathirika anaona bora nife au nimuue tu!
 
Kwani kipigo cha wananchi ni mbadala wa miaka ya kutumikia jela?

Anyway hii adhabu ya miaka 30 itazamwe upya..tunapoteza nguvu kazi kubwa sana wapigwa hata 15 inatosha.

#MaendeleoHayanaChama
Miye nilifikiri afe kabisa mkuu, wee fikiria mtoto wa miaka 3 au 5 unapata raha gani?
 
Hii sheria imekaa kukomoa zaidi badala ya kurekebisha' watungaji wa sheria waliongozwa na mihemko ya kike' ukiangalia rate ya matukio badala ya kupungua kutokana na uwepo wa sheria kali, kinyume chake yanaongezeka. Imesaidiaje!?

Sheria hii pamoja na ile nyingine ya kugawana 50/50 mnapotalikiana zinaharibu sana maisha na mustakabali wa jamii yetu.

Ni kama sheria imetengeneza biashara nono ya kuolewa na kuachwa! Kitu ambacho tayari ni mgogoro kabla hata ya mgogoro wenyewe! Inaharibu maadili na mwisho muathirika anaona bora nife au nimuue tu!
Uislamu umeshaeleza vizuri hukmu za maisha yetu hpa duniani kma Alivoagiza Muumba
Tatizo watu tumeacha maagizo ya Muumba na kufuata matamanio yetu
hukmu ya mzinifu ipo
hukmu ya kutalikiana ipo
Tusipofuata hukmu za Muumba wa kweli tutateseka sana sisi binadamu.



ISLAM IS THE RIGHT PATH FOR EVERYONE
 
Back
Top Bottom