Geita: Mchungaji wa GGIS atekwa wilayani Bukombe akiwa dukani kwake

Geita: Mchungaji wa GGIS atekwa wilayani Bukombe akiwa dukani kwake

bCg

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
438
Reaction score
900
TUKIO: Alitekwa jana majira ya saa tatu akiwa karibu na duka lake.

WATEKAJI: Walikuja na gari aina ya landcruiser yenye vioo tinded wakapaki karibu yake wakashuka watu kama watatu hivi wakamkamata kwa nguvu kwa kumvamia na kumuingiza kwenye ngari baadaye kuondoa gari kwa harakaharaka na kutokomea kusikojulikana.

UFUATILIAJI: Familia na uongozi walifuatitia kituo cha polisi lkn kituoni wakakana kuhusika na kuwa huyo mchungaji hakuwa hapo kituoni.

WASIFU WA MCH. Ni kijana makadilio ni miaka isiyozidi 28, mke na mtoto mmoja. Na hakuwahi kujihusisha na siasa kwa namna yeyote.

KAZI:
1. Uchungaji- Ana kanisa mtaa wa Ntengele yaani kutoka lami uelekeo wa Kaskazini unapita sheli ya ndono, miembeni na ukivuka tu mbuga kanisa lake lipo mkona wa kushoto.
2. Biashara- duka dogo, alikuwa na duka ndo lina miezi isiyozidi 4, na ndo alipotekewa. Duka lipo mtaa wa Ntengele kona karibu na duka la Matheo yaani ukiwa na barabara ya kutoka kilimahewa ikivuka mashine ya mbasa kwa mbele kidogo.

WITO KWA NAIBU WAZIRI MKUU, NA MBUNGE WA JIMBO LA BUKOMBE.
Tunaomba msaada wananchi wako, uelekeze vyombo vya usalama watusaidie kumtafuta mpendwa wetu, kwani agalau kauli yako inaweza ikasaidia uharaka wa ufatiliaji wa jambo hili.

Zaidi ni kuwa wananchi mpaka sasa hatuna amani ktk mtaa huu maana hutujui baada ya mch kutekwa anayefuata ni nani?
 
Unauhakika huyo jamaa alikua mchungaji....???? Alifungua kanisa lini?? Kwann kanisa?? Kabla ya kufungua kanisa ALITOKA wapi??? Anaitwa nani?? Unaifahamu historia yake?

Nini maana ya utekaji?? Nini tofauti ya kukamata na kuteka??
 
TUKIO: Alitekwa jana majira ya saa tatu akiwa karibu na duka lake.

WATEKAJI: Walikuja na gari aina ya landcruse nyenye vioo tinded wakapaki karibu yake wakashuka watu kama watatu hivi wakamkamata kwa nguvu kwa kumamvamia na kumuingiza kwenye ngari baadaye kuondoa gari kwa harakaharaka na kutokomea kusikojulikana.

UFUATILIAJI: familiya na uongozi walifuatitia kituo cha polisi lkn kituoni wakakana kuhusika na kuwa huyo mch hakuwa hapo kituoni.

WASIFU WA MCH. Ni kijana makadilio ni miaka isiyozidi 28, mke na mtoto mmoja. Na hakuwahi kujihusisha na siasa kwa namna yeyote.

KAZI:
1. Uchungaji- Ana kanisa mtaa wa Ntengele yaani kutoka lami uelekeo wa kaskazini unapita sheli ya ndono, miembeni na ukivuka tu mbuga kanisa lake lipo mkona wa kushoto.
2. Biashara- duka dogo, alikuwa na duka ndo lina miezi isiyozidi 4, na ndo alipotekewa. Duka lipo mtaa wa ntengele kona karibu na duka la Matheo yaani ukiwa na barabara ya kutoka kilimahewa ikivuka mashine ya mbasa kwa mbele kidogo.

WITO KWA NAIBU WAZIRI MKUU, NA MBUNGE WA JIMBO LA BUKOMBE.
Tunaomba msaada wananchi wako, uelekeze vyombo vya usalama watusaidie kumtafuta mpendwa wetu, kwani agalau kauli yako inaweza ikasaidia uharaka wa ufatiliaji wa jambo hili.

Zaidi ni kuwa wananchi mpaka sasa hatuna amani ktk mtaa huu maana hutujui baada ya mch kutekwa anayefuata ni nani?
Kwa Mazingira haya ya utekaji uliyoeleza ni ni dhahiri kuwa Watekaji ni wale wale wa siku zote
 
Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord, I hope this day is good
Lord, have you forgotten me
I've been prayin' to you faithfully
I'm not sayin' I'm a righteous man
But Lord, I hope you understand
I don't need fortune and I don't need fame
Send down the thunder, Lord, send down the rain
But when you're plannin' just how it will be
Plan a good day for me
Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord, I hope this day is good
You've been the King since the dawn of time
All that I'm asking is a little less crime
It might be hard for the devil to do
But it would be easy for You
Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord, I hope this day is good
 
Mbona huo umri napata picha kama ni mchungaji wa mchongo,na sauti yako ulivyoandika kama siyo serious,msubiri mchg kaenda kutoa huduma kwa muumini
 
TUKIO: Alitekwa jana majira ya saa tatu akiwa karibu na duka lake.

WATEKAJI: Walikuja na gari aina ya landcruse nyenye vioo tinded wakapaki karibu yake wakashuka watu kama watatu hivi wakamkamata kwa nguvu kwa kumamvamia na kumuingiza kwenye ngari baadaye kuondoa gari kwa harakaharaka na kutokomea kusikojulikana.

UFUATILIAJI: familiya na uongozi walifuatitia kituo cha polisi lkn kituoni wakakana kuhusika na kuwa huyo mch hakuwa hapo kituoni.

WASIFU WA MCH. Ni kijana makadilio ni miaka isiyozidi 28, mke na mtoto mmoja. Na hakuwahi kujihusisha na siasa kwa namna yeyote.

KAZI:
1. Uchungaji- Ana kanisa mtaa wa Ntengele yaani kutoka lami uelekeo wa kaskazini unapita sheli ya ndono, miembeni na ukivuka tu mbuga kanisa lake lipo mkona wa kushoto.
2. Biashara- duka dogo, alikuwa na duka ndo lina miezi isiyozidi 4, na ndo alipotekewa. Duka lipo mtaa wa ntengele kona karibu na duka la Matheo yaani ukiwa na barabara ya kutoka kilimahewa ikivuka mashine ya mbasa kwa mbele kidogo.

WITO KWA NAIBU WAZIRI MKUU, NA MBUNGE WA JIMBO LA BUKOMBE.
Tunaomba msaada wananchi wako, uelekeze vyombo vya usalama watusaidie kumtafuta mpendwa wetu, kwani agalau kauli yako inaweza ikasaidia uharaka wa ufatiliaji wa jambo hili.

Zaidi ni kuwa wananchi mpaka sasa hatuna amani ktk mtaa huu maana hutujui baada ya mch kutekwa anayefuata ni nani?
Sasa kwa nini hamkulipiga mawe gari
 
Back
Top Bottom