Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Kuteka ni kumchukua mtu bila taarifa na bila ya wanaomjua kujua kapelekwa wapi
Maswali yako si sahihi, kwa sababu kama ana makosa basi hupelekwa polisi Kisha mahakamani kusomewa mashtaka yake