Geita: Wakuu wa Wilaya wapewa Magari 3 mapya yaliyogharimu Tsh. Milioni 840

Geita: Wakuu wa Wilaya wapewa Magari 3 mapya yaliyogharimu Tsh. Milioni 840

Black Butterfly

Senior Member
Joined
Aug 31, 2022
Posts
130
Reaction score
368
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amekabidhi magari matatu mapya kwa Wakuu wa Wilaya ya Geita, Mbogwe na Nyang’hwale yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 840.

Akikabidhi magari hayo katika Kata ya Bombambili Halmashauri ya Mji wa Geita, Shigela amewataka Wakuu wa Wilaya kuyatumia vizuri magari hayo ambayo yamenunuliwa kwa fedha za Serikali sambamba na kuwataka Madereva kuzingatia sheria za usalama barabarani.

“Shukrani kwa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo ameendelea kuwezesha mazingira ya Wafanyakazi na Ofisi ya Viongozi ambao wana jukumu la kumsaidia katika ngazi za Wilaya na Mkoa, tunamshukuru sana Mh. Rais kwa sababu fedha ambazo zimeletwa zaidi ya Tsh. milioni 840 ni fedha nyingi ambazo Mh. Rais ameona kuna haja ya kuleta fedha tununue magari”

Shigela amesema Wakuu wa Wilaya walikuwa wakihangaika kupata usafiri wa kwenda kutatua kero za Wananchi na kusema magari hayo yatakuwa mkombozi kwa Viongozi hao.

MillardAyoUPDATES
 
Hivi hawa watu, wakitumia magari ya bei za kawaida ila imara, je nini kitatokea? Mbona naona kwa nchi inayojikongoja ingekuwa vema kutumia magari imara ya bei rafiki.
Ili pesa nyingi, zielekezwe kwenye huduma za kijamii hasa mikoa iliyo nyuma kimaendeleo.
 
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amekabidhi magari matatu mapya kwa Wakuu wa Wilaya ya Geita, Mbogwe na Nyang’hwale yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 840.

Akikabidhi magari hayo katika Kata ya Bombambili Halmashauri ya Mji wa Geita, Shigela amewataka Wakuu wa Wilaya kuyatumia vizuri magari hayo ambayo yamenunuliwa kwa fedha za Serikali sambamba na kuwataka Madereva kuzingatia sheria za usalama barabarani.

“Shukrani kwa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo ameendelea kuwezesha mazingira ya Wafanyakazi na Ofisi ya Viongozi ambao wana jukumu la kumsaidia katika ngazi za Wilaya na Mkoa, tunamshukuru sana Mh. Rais kwa sababu fedha ambazo zimeletwa zaidi ya Tsh. milioni 840 ni fedha nyingi ambazo Mh. Rais ameona kuna haja ya kuleta fedha tununue magari”

Shigela amesema Wakuu wa Wilaya walikuwa wakihangaika kupata usafiri wa kwenda kutatua kero za Wananchi na kusema magari hayo yatakuwa mkombozi kwa Viongozi hao.

MillardAyoUPDATES
Sio Geita tuu Bali Mikoa yote wanagawiwa.

Land cruiser Prado TX Moja ni 280Mln
 
Hivi hawa watu, wakitumia magari ya bei za kawaida ila imara, je nini kitatokea? Mbona naona kwa nchi inayojikongoja ingekuwa vema kutumia magari imara ya bei rafiki.
Ili pesa nyingi, zielekezwe kwenye huduma za kijamii hasa mikoa iliyo nyuma kimaendeleo.
Naunga mkono hoja.
 
Hivi hawa watu, wakitumia magari ya bei za kawaida ila imara, je nini kitatokea? Mbona naona kwa nchi inayojikongoja ingekuwa vema kutumia magari imara ya bei rafiki.
Ili pesa nyingi, zielekezwe kwenye huduma za kijamii hasa mikoa iliyo nyuma kimaendeleo.
Kiongozi lazima atumie gari yenye hadhi ambayo inaweza fika popote na kukabiliana na Changamoto za Vijijini.

Mbona nyie Machadema mnatumia hayo hayo ma V8? Kwa nini msitumie Kirikuu?
 
Toyota Hilux Double cabin 2.8L inafika sehemu zote hao mabazazi wanazoenda....
 
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amekabidhi magari matatu mapya kwa Wakuu wa Wilaya ya Geita, Mbogwe na Nyang’hwale yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 840.

Akikabidhi magari hayo katika Kata ya Bombambili Halmashauri ya Mji wa Geita, Shigela amewataka Wakuu wa Wilaya kuyatumia vizuri magari hayo ambayo yamenunuliwa kwa fedha za Serikali sambamba na kuwataka Madereva kuzingatia sheria za usalama barabarani.

“Shukrani kwa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo ameendelea kuwezesha mazingira ya Wafanyakazi na Ofisi ya Viongozi ambao wana jukumu la kumsaidia katika ngazi za Wilaya na Mkoa, tunamshukuru sana Mh. Rais kwa sababu fedha ambazo zimeletwa zaidi ya Tsh. milioni 840 ni fedha nyingi ambazo Mh. Rais ameona kuna haja ya kuleta fedha tununue magari”

Shigela amesema Wakuu wa Wilaya walikuwa wakihangaika kupata usafiri wa kwenda kutatua kero za Wananchi na kusema magari hayo yatakuwa mkombozi kwa Viongozi hao.

MillardAyoUPDATES

Safi sana. Wanunue hata helicopter kabisa ingependeza zaidi
 
Hayo magari ndio yanayo wafanya wapandishe mabega juu na kujifanya nao ni watu muhimu kumbe mostly ni useless kabisa 100%
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Mbona RAC wanatumia Land Cruiser double cabin, kuna tofauti gani kati ya DC na RAC? Nimeingia Web ya toyota, double cabin inaanzia 140m, kwa nini wasinunuliwe gari nzuri na ngumu kwa mazingira yetu. Hizo TX ni ghali na hazina huo ubora wa all terrain.

Hili taifa mmh!
 
Hivi hawa watu, wakitumia magari ya bei za kawaida ila imara, je nini kitatokea? Mbona naona kwa nchi inayojikongoja ingekuwa vema kutumia magari imara ya bei rafiki.
Ili pesa nyingi, zielekezwe kwenye huduma za kijamii hasa mikoa iliyo nyuma kimaendeleo.
Mkuu ukitafakari sana unaishia kulia kimya kimya!
 
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amekabidhi magari matatu mapya kwa Wakuu wa Wilaya ya Geita, Mbogwe na Nyang’hwale yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 840.

Akikabidhi magari hayo katika Kata ya Bombambili Halmashauri ya Mji wa Geita, Shigela amewataka Wakuu wa Wilaya kuyatumia vizuri magari hayo ambayo yamenunuliwa kwa fedha za Serikali sambamba na kuwataka Madereva kuzingatia sheria za usalama barabarani.

“Shukrani kwa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo ameendelea kuwezesha mazingira ya Wafanyakazi na Ofisi ya Viongozi ambao wana jukumu la kumsaidia katika ngazi za Wilaya na Mkoa, tunamshukuru sana Mh. Rais kwa sababu fedha ambazo zimeletwa zaidi ya Tsh. milioni 840 ni fedha nyingi ambazo Mh. Rais ameona kuna haja ya kuleta fedha tununue magari”

Shigela amesema Wakuu wa Wilaya walikuwa wakihangaika kupata usafiri wa kwenda kutatua kero za Wananchi na kusema magari hayo yatakuwa mkombozi kwa Viongozi hao.

MillardAyoUPDATES
Milioni 840?

Kwa nini hakuitisha harambee tuongezee ili kila mmoja awe na la sh milioni 500?
 
Hivi hawa watu, wakitumia magari ya bei za kawaida ila imara, je nini kitatokea? Mbona naona kwa nchi inayojikongoja ingekuwa vema kutumia magari imara ya bei rafiki.
Ili pesa nyingi, zielekezwe kwenye huduma za kijamii hasa mikoa iliyo nyuma kimaendeleo.
Hapo bado hawajalawiti vibinti vipenda raha mjini
 
Back
Top Bottom