Tatizo ni chanjo ya mwendokasi imeanza kufanya kazi!!! 🙂Mbona wajerumani??
Nikajua labda Hilter amevamia madini yetu ya Geita.Dah noma kweli
Na mimi nimeshangaaMbona wajerumani??
Ulikua unawahi wapi jombaaKazi ya simu za mtelezo zinakosesha sana ngoja nisubiri marekebisho.