Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa MpalangeUlikua unawahi wapi jombaa
Saizi?Kwa Mpalange
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji56][emoji56] JJ ni noma sana huyu mwamba atakua ashaanza kuona wajerumani wanarudi kututawala tena after chanjoz.[emoji38]Tatizo ni chanjo ya mwendokasi imeanza kufanya kazi!!! 🙂
Hahah yah mkuu rad ilishawah kunikosa yan saiz hata nkiona mawingu tuuh natulia ndanUlisha wahi kukoswa na radi mkuu
RAdi gn Aug hiiView attachment 1888886
Wanafunzi wamejeruhiwa na Radi katika shule ya sekondari Lwezera
Majira ya leo mchana wakati mvua ikiwa inanyesha Radi imepiga maeneo ya Lwezera mkoani Geita katika wilaya ya Geita.
Radi hiyo imejeruhi wanafunzi katika shule ya sekondari Lwezera lakini hakuna kifo kilicho ripotiwa mpaka sasa.
Taarifa zaidi tutajuzana