GEITA: Wanafunzi wa Shule ya sekondari Lwezera wajeruhiwa na Radi

Bila hiyo wajerumani nisingesoma Huu Uzi...nilijua walikuwa wanafatilia Mali za wajerumani hapo shuleni wakapigwa radi
🤣🤣🤣 Unataka na mimi nifungiwe Siku saba eti
 
Mnapanda miti miti moja pembeni ya darasa, lazima mpigwe tu na radi.

Elimu Elimu Elimu.
 
Ukanda wa ziwa yanganyika n kagera huko radi mtihani sana
 
Daah rad za huku ni hatar san zimewah kunikosa kosa Geita siyo poa kabisa kwenye rad ni atar
 
RAdi gn Aug hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…