Geita: Watoto 2 wafariki kwa kushambuliwa na nyuki

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Watoto wawili wenye umri wa miaka minne wamefariki kwa kung’atwa na nyuki katika kijiji cha Kamena wilayani Geita Mkoani Geita.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Willison Shimo amekiri kutokea kwa vifo vya Watoto hao na kuitaka jamii kuzingatia kuweka ulinzi katika maeneo yao ya ufugaji wa nyuki dhidi ya Watoto na kuwalinda Watoto wao.
 
Geita hawapoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…