Gem baada ya ugomvi/rabsha kwa nini hunoga kwa mno ?

Gem baada ya ugomvi/rabsha kwa nini hunoga kwa mno ?

mwisho wa siku bibie anabaki analia huelewi analilia utamu au bado ugomvi unaendelea
 
Awali nilikua nikidhani labda ni kwangu tu! Siku zikapita huku nikifanya research siku baada ya siku kupitia watu tofautitofauti kwamba :-
Iwapo baina ya wapenzi wawili iwe mke Vs mume au Boy F Vs Girl F Pametokea ugomvi au any conflict between siku ya kumaliza ugomvi (refar ham'jakulana mavitu yenu for so many days) siku hiyo gem lazima iwe tough naweza kuifananisha na big match like "Laliga Super Classico! e.g Barcelona Vs Real madrid" Aidha ukali wa hilo gem huzidi hata ule wa mnapokutana kwa mara ya kwanza mwenza mmoja anapokua amerudi toka safari.
Na kwa kua hivyo ndivyo inavyokua je? Kuna ubaya gani tukianza baadhi ya wakati tuna'create bif from no where kwa malengo ya kufaidi havy gem after mediation dialogue takin' place ? (samahani kwa kuchanganya lugha naomba nieleweke katika kuandika hicho kii'english pia niko mazoezini kwani nasoma English corse na sijahitimu) hence by the time when am make error/mistake Jf mpo waelewa kibao msisite kunielekeza.
Ugomvi mapenzi!
Wengine hutafuta kusudi...
 
there are many other techniques of making love amazing and solid. cheza na angle, mipira iliyokufa ndo unafunga weeeeeeee. JK
 
there are many other techniques of making love amazing and solid. cheza na angle, mipira iliyokufa ndo unafunga weeeeeeee. JK

Angle ziko nyingi my dia ! Can you mention atlist two out of it ? Alafu sijajua maana yako ulipomaliza na initial Jk !
 
mimi nilikuwa naonaga kwenye movie za wazungu lakini iliponitokea ckuamini maana cku ile ilikuwa kama finale kutafuta kikombe ilipigwa misumali a.k.a rafu red kadi zilijaa yaani mechi ilijaa fujo tupu ilichezwa mpaka dakika za nyongeza ikabidi yapigwe matuta wote tukajikuta tunafurahia ushindi na furaha ikarudi. Nashut down
 
Back
Top Bottom