100% Fact.Na Gemini kila siku anapata rizki, hajawahi kukaa bila kazi, iwe ni ajira au kujiajiri.
Daah... Mkuu Chambusiso hapa kwenye suala la kazi mimi peke yangu ndo nateseka au.. Nimezaliwa May 30 π°π°
Najaribu kukuelewesha mkuu kwa sababu hata mimi naweza kukutajia watu wenye nyota ya Gemini ila wako tofauti na Gemini uliyoeleza wewe hapo ya Tid na Gigy. Binafsi mimi ni Leo sun sign ila nilikuwa naona nina sifa za nyota ya Virgo sikuwa naelewa ni kwanini.U have to be a Gemini to see that.
TID na Gigy Money unaonaje personalities zao zinafanana ama,,?
Kanye West na Trump?
Hata mi nimezaliwa trh 31 July,nina tatizo au niseme mkosi wa kupata kazi, Nikipata kazi naishia kufukuzwa , vipi hii ina uhusiano wowote na my birtdate? Msaada tafa100% Fact.
Me tarehe 31 May
Nina wowowo kubwa kama furushiiKwa hiyo bibie LIKUD hata kwenye vitu vinavyoonekana kwa macho wewe unajiona Bora hata kama umezidiwa?
Kwa mfano ni dhahiri kuwa BRAZA CHOGO ana big nyash na amekuzidi (kwa nyash), je utabisha na kusema kuwa nyash yako ni kubwa kuliko ya CHOGO?
Jibu langu tafadhali...
huko mtwara bana,Kwa mujibu WA elimu ya Astrology kipengele cha Zodiac ,Watu WA nyota ya Mapacha( Gemini) ni watu walio zaliwa Kati ya tarehe 21 May Hadi 20 June.
Watu WA nyota ya Mapacha wana sifa moja common dunia nzima.
They are so proud ( wajivuni kupita kiasi)
They have got the most biggest egos in the universe.
Wana Amini wao ni bora Kuliko mtu yoyote yule duniani.
Wanajifanya wanajua ( much knows) pengine Kuliko mtu yoyote duniani.
They are arrogance
Unapo zungumzia watu WA nyota ya Mapacha unazungumzia watu kama vile :
1. Donald Trump.
2. Kanye West.
3. Pac and Biggie.
4. TID
5. Lady Jay Dee.
6. Giggy Money. etc.
Wote hawa wana sifa kuu zinazo fanana.
They are so proud/ they have big egos, they are so arrogant etc.
Mimi pia ni Gemini. Nina Amini Mimi ndio kiumbe wa Mwenyezi Mungu mwenye ego kuu Kuliko kiumbe yoyote yule duniani. Not even Lucifer can beat me.
Nina Amini katika viumbe wote wa Mwenyezi Mungu Mimi ndio kiumbe wake bora Kuliko yoyote yule.
Nina Amini ukimuondoa Mwenyezi Mungu, Hakuna kiumbe yoyote yule awe jini au Malaika whichever come first ambae yupo juu kuzidi Mimi.
Nimeishi na dhana hii tangu utoto wangu.
Sababu kuu iliyo nifanya nikache Dini niliyo irithi Kwa wazazi wangu ni kuji assess na kugundua kwamba Hakuna mahali popote kwenye Holy Qur'aan, Taurati, Zaburi ama Injili ambayo inasimama na Mimi.
Kwa mfano Qur'aan na Bible Zina sema Mariam mama wa Yesu ndio mama bora Alie barilkiwa Kuliko wanawake wote duniani ila Mimi ndani ya nafsi yangu Nina Amini mama yangu mzazi alonizaa ndio mama bora kabisa duniani tangu dunia iumbwe.
Nimejaribu Ku surpress my ego but all in vain. Nothing on earth can ever make me to swallow my pride . Nimeamua kuishi my pride .
Nyie wenzangu mmefanyaje au mnafanyaje?.
N.b: Nilijiunga JF mwaka 2012 kama njia moja wapo ya kufanya therapy to put my Ego on the line Kwa sababu in real life I don't engage with people they way I am doing here.
Imenisaidia Kwa kiasi chake Kwa sababu at least naweza kujibizana na watu hapa.
Hata ninapo andika threads za kuwasifu watu hapa jf huwa nafanya therapy ya kudeal with my ego Kwa sababu in real life I don't talk about people and I don't talk to people cause I don't know anything that me and them can talk about.
Nikinywa wine huwa ina saidia kusurpress my ego at a moment. Naweza kumpigia mtu simu etc but kesho Yake I will blame my self
Mimi ni Aries (Ram Riders) ambayo ndiyo Nyota Kiongozi na Watu ambao wapo hapo si wa kawaida tukiwemo Mimi na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Duh kwa mara ya kwanza leo nime like comment ya Genta. Au umeanza tena kale katabia kako kakuoga dawa kabla hujapost jf ili upate likes na comments nyingi?Mimi ni Aries (Ram Riders) ambayo ndiyo Nyota Kiongozi na Watu ambao wapo hapo si wa kawaida tukiwemo Mimi na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Tenga muda wako kisha nenda kwa Wataalam wa Nyota kisha waulize Watu wa Nyota ya Aries huwa ni Watu gani na Wamebarikiwa nini na Mwenyezi Mungu hapa duniani kuliko Wengine na ukimaliza ndipo utajua kwanini GENTAMYCINE ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na pia kwanini Najiamini mno na Siogopi lolote.
100% factBaadhi tu ya tabia za hii complex creature! Na siku ukisikia gemini kaamua kuoa ujue keshalamba 250+ maana anachagua mno, mwanamke anayemkalisha gemini chini ni kwamba kila siku ana kipya, na akili inafanya kazi! Gemini anaanza kupenda akili kwanza kabla ya maumbile, anakua na mwanamke leo then mapacha wanaanza kujadiliana kichwani na kesho yake kafutwa kama hajawahi kuwepo na hana kumbukumbu sana bahati mbaya anaweza siku ingine kurudia kwa kusahau! Communicatio power inafanya mwanamke yoyote akimtaka anakamata bila hata kutumia nguvu nyingi
Ana pande mbili na atakayochagua anaifanya kwa ufanisi mkubwa, akiwa evil hamna rangi mtaacha kuiona na akiwa decent anakuwa sexy ile mbaya wazungu wanasema, yani anafit kila mahali, so hizo ni baadhi tu ya tabia za mapacha!huko mtwara bana,
mapacha wameshirikiana na kumuua mama yao mzazi wakimtuhumu kwa ushirikiana dah!
Inasikitisha sana, inahuzunisha sana kwa mapacha kua na hasira za pamoja na kushirikiana kuua mzazi kikatili π
100% factAna pande mbili na atakayochagua anaifanya kwa ufanisi mkubwa, akiwa evil hamna rangi mtaacha kuiona na akiwa decent anakuwa sexy ile mbaya wazungu wanasema, yani anafit kila mahali, so hizo ni baadhi tu ya tabia za mapacha!
Tupia kapicha bibie, tupate kusafisha macho japo kidogo.