Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Inawezekana kbs gemini hakubali vitu visivyo na ushahidi na anasoma extensively hachagui cha kuingiza kwenye brain yake na unapokuja kubishana naye ujipange hasa. Anaona pande mbili muda wote ukija na tricks akiuliza swali anataka kuona ujinga wako na umejipangaje, anayo majibu muda wote kabla hata hujaongea, huwezi kumkuta kwa mganga wala kwenye maombi na ni ngumu sana kuamini vitu vya namna hiyo!Gemini mwingine ni Kiranga umesahau kumuweka kwenye orodha yako