Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Huyu jamaa amekomaa kisaikolojia. Unaona jinsi anavyojaribu kuwaweka sawa🤣🤣Jenerali Makenga akasema mafunzo hayo ni kutoa ujinga wa jeshi la FARDC katika bongo zao ili wawe askari wazuri, wakuweza kuzingatia mafunzo ya wakufunzi wa kijeshi wa M23 ambao ni ndugu zao wakongomani.