Pre GE2025 Gen Z hatushindwi kitu: Kampeni ya kukataa machawa na viongozi wabovu inaanza rasmi

Pre GE2025 Gen Z hatushindwi kitu: Kampeni ya kukataa machawa na viongozi wabovu inaanza rasmi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Dec 16, 2023
Posts
57
Reaction score
82
Nimekutana na post muda si mrefu kuhusu Mwijaku, nimefikiria tuanzishe kampeni hii ya kumaliza uchawa nchini na kuondoa viongozi wote ambao hawatufai. kama mtoa mada yule alivyoelekeza;

Kusoma post yake pitia hapa, tusIpoteze muda na kujaza server kueleza upya alichopost 👉 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Twende kwenye mambo ya kufanya;

1. Kwanza unfollow chawa wote, mpaka kwenye page zao za biashara, wauza vipodozi, vyakula, wanamuziki, chawa, unfollow wote. Page zao ziko public, ni cha kufanya ni kupita mara kwa mara kwenye kurasa zao, kila wanachopost achia hashtag #KataaMachawa au #KataaChawa. Kwa viongozi chawa nao fanya hivyo hivyo, pitisha hashtag kwenye post zao zote. Tuna chawa wanaotetea ujinga humu acha hashtag kwenye post zao zote.

2. Kwa viongozi mafisadi, waiba pesa za umma kila siku wanatajwa kwenye ripoti za CAG hatuoni wakifungwa wala kufilisiwa na wale wanaokubali tufungiwe mitandao tutumie hashtag hii - #KataaUozo2025. Wote tunawajua viongozi mizigo, tunawajua mafisadi, tunawajua waotaka kutuzimia mtandao, tunawajua wabunge sehemu zote ambapo toka wachaguliwe hawaonekani tena jimboni, na hujawahi kumuona hata sikumoja akifungua mdomo kuwasemea wananchi wake, tembeza # hii kwenye kila post wanayoweka.

Usidharau mbinu hizi, tunaweza kurudisha discipline nchini waelewe wenye nguvu ni wananchi.

Kumbuka hashtag ni mbili tu #KataaMachawa na #KataaUozo2025

Hatuwezi kushindwa kwenye hili, kumbuka unampigania mama yako, baba, dada na kaka kaka zako, wadogo zako, ndugu na jamaa, na zaidi na the most important thing ni kuwa you are fighting for yourself!

LETS DO THIS!
 
Nimekutana na post muda si mrefu kuhusu Mwijaku, nimefikiria tuanzishe kampeni hii ya kumaliza uchawa nchini na kuondoa viongozi wote ambao hawatufai. kama mtoa mada yule alivyoelekeza;

Kusoma post yake pitia hapa, tusIpoteze muda na kujaza server kueleza upya alichopost 👉 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Twende kwenye mambo ya kufanya;

1. Kwanza unfollow chawa wote, mpaka kwenye page zao za biashara, wauza vipodozi, vyakula, wanamuziki, chawa, unfollow wote. Page zao ziko public, ni cha kufanya ni kupita mara kwa mara kwenye kurasa zao, kila wanachopost achia hashtag #KataaMachawa au #KataaChawa. Kwa viongozi chawa nao fanya hivyo hivyo, pitisha hashtag kwenye post zao zote. Tuna chawa wanaotetea ujinga humu acha hashtag kwenye post zao zote.

2. Kwa viongozi mafisadi, waiba pesa za umma kila siku wanatajwa kwenye ripoti za CAG hatuoni wakifungwa wala kufilisiwa na wale wanaokubali tufungiwe mitandao tutumie hashtag hii - #KataaUozo2025. Wote tunawajua viongozi mizigo, tunawajua mafisadi, tunawajua waotaka kutuzimia mtandao, tunawajua wabunge sehemu zote ambapo toka wachaguliwe hawaonekani tena jimboni, na hujawahi kumuona hata sikumoja akifungua mdomo kuwasemea wananchi wake, tembeza # hii kwenye kila post wanayoweka.

Usidharau mbinu hizi, tunaweza kurudisha discipline nchini waelewe wenye nguvu ni wananchi.

Kumbuka hashtag ni mbili tu #KataaMachawa na #KataaUozo2025

Hatuwezi kushindwa kwenye hili, kumbuka unampigania mama yako, baba, dada na kaka kaka zako, wadogo zako, ndugu na jamaa, na zaidi na the most important thing ni kuwa you are fighting for yourself!

LETS DO THIS!
Sawa
 
Nimekutana na post muda si mrefu kuhusu Mwijaku, nimefikiria tuanzishe kampeni hii ya kumaliza uchawa nchini na kuondoa viongozi wote ambao hawatufai. kama mtoa mada yule alivyoelekeza;

Kusoma post yake pitia hapa, tusIpoteze muda na kujaza server kueleza upya alichopost 👉 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Twende kwenye mambo ya kufanya;

1. Kwanza unfollow chawa wote, mpaka kwenye page zao za biashara, wauza vipodozi, vyakula, wanamuziki, chawa, unfollow wote. Page zao ziko public, ni cha kufanya ni kupita mara kwa mara kwenye kurasa zao, kila wanachopost achia hashtag #KataaMachawa au #KataaChawa. Kwa viongozi chawa nao fanya hivyo hivyo, pitisha hashtag kwenye post zao zote. Tuna chawa wanaotetea ujinga humu acha hashtag kwenye post zao zote.

2. Kwa viongozi mafisadi, waiba pesa za umma kila siku wanatajwa kwenye ripoti za CAG hatuoni wakifungwa wala kufilisiwa na wale wanaokubali tufungiwe mitandao tutumie hashtag hii - #KataaUozo2025. Wote tunawajua viongozi mizigo, tunawajua mafisadi, tunawajua waotaka kutuzimia mtandao, tunawajua wabunge sehemu zote ambapo toka wachaguliwe hawaonekani tena jimboni, na hujawahi kumuona hata sikumoja akifungua mdomo kuwasemea wananchi wake, tembeza # hii kwenye kila post wanayoweka.

Usidharau mbinu hizi, tunaweza kurudisha discipline nchini waelewe wenye nguvu ni wananchi.

Kumbuka hashtag ni mbili tu #KataaMachawa na #KataaUozo2025

Hatuwezi kushindwa kwenye hili, kumbuka unampigania mama yako, baba, dada na kaka kaka zako, wadogo zako, ndugu na jamaa, na zaidi na the most important thing ni kuwa you are fighting for yourself!

LETS DO THIS!
Ni wazo zuri sana kama kweli litafanyiwa kazi.
 
448944869_809237357900674_8427476933410035922_n.jpg
 
Nimekutana na post muda si mrefu kuhusu Mwijaku, nimefikiria tuanzishe kampeni hii ya kumaliza uchawa nchini na kuondoa viongozi wote ambao hawatufai. kama mtoa mada yule alivyoelekeza;

Kusoma post yake pitia hapa, tusIpoteze muda na kujaza server kueleza upya alichopost 👉 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Twende kwenye mambo ya kufanya;

1. Kwanza unfollow chawa wote, mpaka kwenye page zao za biashara, wauza vipodozi, vyakula, wanamuziki, chawa, unfollow wote. Page zao ziko public, ni cha kufanya ni kupita mara kwa mara kwenye kurasa zao, kila wanachopost achia hashtag #KataaMachawa au #KataaChawa. Kwa viongozi chawa nao fanya hivyo hivyo, pitisha hashtag kwenye post zao zote. Tuna chawa wanaotetea ujinga humu acha hashtag kwenye post zao zote.

2. Kwa viongozi mafisadi, waiba pesa za umma kila siku wanatajwa kwenye ripoti za CAG hatuoni wakifungwa wala kufilisiwa na wale wanaokubali tufungiwe mitandao tutumie hashtag hii - #KataaUozo2025. Wote tunawajua viongozi mizigo, tunawajua mafisadi, tunawajua waotaka kutuzimia mtandao, tunawajua wabunge sehemu zote ambapo toka wachaguliwe hawaonekani tena jimboni, na hujawahi kumuona hata sikumoja akifungua mdomo kuwasemea wananchi wake, tembeza # hii kwenye kila post wanayoweka.

Usidharau mbinu hizi, tunaweza kurudisha discipline nchini waelewe wenye nguvu ni wananchi.

Kumbuka hashtag ni mbili tu #KataaMachawa na #KataaUozo2025

Hatuwezi kushindwa kwenye hili, kumbuka unampigania mama yako, baba, dada na kaka kaka zako, wadogo zako, ndugu na jamaa, na zaidi na the most important thing ni kuwa you are fighting for yourself!

LETS DO THIS!
Hatuwezi kushindwa hawa wazee wamezdi dharau sasa. Na hii kampeni ni endelevu bila kujali chama, itikadi, kabila wala kanda.
 
Nimekutana na post muda si mrefu kuhusu Mwijaku, nimefikiria tuanzishe kampeni hii ya kumaliza uchawa nchini na kuondoa viongozi wote ambao hawatufai. kama mtoa mada yule alivyoelekeza;

Kusoma post yake pitia hapa, tusIpoteze muda na kujaza server kueleza upya alichopost 👉 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Twende kwenye mambo ya kufanya;

1. Kwanza unfollow chawa wote, mpaka kwenye page zao za biashara, wauza vipodozi, vyakula, wanamuziki, chawa, unfollow wote. Page zao ziko public, ni cha kufanya ni kupita mara kwa mara kwenye kurasa zao, kila wanachopost achia hashtag #KataaMachawa au #KataaChawa. Kwa viongozi chawa nao fanya hivyo hivyo, pitisha hashtag kwenye post zao zote. Tuna chawa wanaotetea ujinga humu acha hashtag kwenye post zao zote.

2. Kwa viongozi mafisadi, waiba pesa za umma kila siku wanatajwa kwenye ripoti za CAG hatuoni wakifungwa wala kufilisiwa na wale wanaokubali tufungiwe mitandao tutumie hashtag hii - #KataaUozo2025. Wote tunawajua viongozi mizigo, tunawajua mafisadi, tunawajua waotaka kutuzimia mtandao, tunawajua wabunge sehemu zote ambapo toka wachaguliwe hawaonekani tena jimboni, na hujawahi kumuona hata sikumoja akifungua mdomo kuwasemea wananchi wake, tembeza # hii kwenye kila post wanayoweka.

Usidharau mbinu hizi, tunaweza kurudisha discipline nchini waelewe wenye nguvu ni wananchi.

Kumbuka hashtag ni mbili tu #KataaMachawa na #KataaUozo2025

Hatuwezi kushindwa kwenye hili, kumbuka unampigania mama yako, baba, dada na kaka kaka zako, wadogo zako, ndugu na jamaa, na zaidi na the most important thing ni kuwa you are fighting for yourself!

LETS DO THIS!
Naunga mkono hoja.
 
Nimekutana na post muda si mrefu kuhusu Mwijaku, nimefikiria tuanzishe kampeni hii ya kumaliza uchawa nchini na kuondoa viongozi wote ambao hawatufai. kama mtoa mada yule alivyoelekeza;

Kusoma post yake pitia hapa, tusIpoteze muda na kujaza server kueleza upya alichopost 👉 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Twende kwenye mambo ya kufanya;

1. Kwanza unfollow chawa wote, mpaka kwenye page zao za biashara, wauza vipodozi, vyakula, wanamuziki, chawa, unfollow wote. Page zao ziko public, ni cha kufanya ni kupita mara kwa mara kwenye kurasa zao, kila wanachopost achia hashtag #KataaMachawa au #KataaChawa. Kwa viongozi chawa nao fanya hivyo hivyo, pitisha hashtag kwenye post zao zote. Tuna chawa wanaotetea ujinga humu acha hashtag kwenye post zao zote.

2. Kwa viongozi mafisadi, waiba pesa za umma kila siku wanatajwa kwenye ripoti za CAG hatuoni wakifungwa wala kufilisiwa na wale wanaokubali tufungiwe mitandao tutumie hashtag hii - #KataaUozo2025. Wote tunawajua viongozi mizigo, tunawajua mafisadi, tunawajua waotaka kutuzimia mtandao, tunawajua wabunge sehemu zote ambapo toka wachaguliwe hawaonekani tena jimboni, na hujawahi kumuona hata sikumoja akifungua mdomo kuwasemea wananchi wake, tembeza # hii kwenye kila post wanayoweka.

Usidharau mbinu hizi, tunaweza kurudisha discipline nchini waelewe wenye nguvu ni wananchi.

Kumbuka hashtag ni mbili tu #KataaMachawa na #KataaUozo2025

Hatuwezi kushindwa kwenye hili, kumbuka unampigania mama yako, baba, dada na kaka kaka zako, wadogo zako, ndugu na jamaa, na zaidi na the most important thing ni kuwa you are fighting for yourself!

LETS DO THIS!
I like this, nyie ndio next leaders, mmeona jinsi mambo yanavyokwenda? It time take back your country
 
Back
Top Bottom