Blessed Tajiri
Member
- Dec 16, 2023
- 57
- 82
Nimekutana na post muda si mrefu kuhusu Mwijaku, nimefikiria tuanzishe kampeni hii ya kumaliza uchawa nchini na kuondoa viongozi wote ambao hawatufai. kama mtoa mada yule alivyoelekeza;
Kusoma post yake pitia hapa, tusIpoteze muda na kujaza server kueleza upya alichopost 👉 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!
Twende kwenye mambo ya kufanya;
1. Kwanza unfollow chawa wote, mpaka kwenye page zao za biashara, wauza vipodozi, vyakula, wanamuziki, chawa, unfollow wote. Page zao ziko public, ni cha kufanya ni kupita mara kwa mara kwenye kurasa zao, kila wanachopost achia hashtag #KataaMachawa au #KataaChawa. Kwa viongozi chawa nao fanya hivyo hivyo, pitisha hashtag kwenye post zao zote. Tuna chawa wanaotetea ujinga humu acha hashtag kwenye post zao zote.
2. Kwa viongozi mafisadi, waiba pesa za umma kila siku wanatajwa kwenye ripoti za CAG hatuoni wakifungwa wala kufilisiwa na wale wanaokubali tufungiwe mitandao tutumie hashtag hii - #KataaUozo2025. Wote tunawajua viongozi mizigo, tunawajua mafisadi, tunawajua waotaka kutuzimia mtandao, tunawajua wabunge sehemu zote ambapo toka wachaguliwe hawaonekani tena jimboni, na hujawahi kumuona hata sikumoja akifungua mdomo kuwasemea wananchi wake, tembeza # hii kwenye kila post wanayoweka.
Usidharau mbinu hizi, tunaweza kurudisha discipline nchini waelewe wenye nguvu ni wananchi.
Kumbuka hashtag ni mbili tu #KataaMachawa na #KataaUozo2025
Hatuwezi kushindwa kwenye hili, kumbuka unampigania mama yako, baba, dada na kaka kaka zako, wadogo zako, ndugu na jamaa, na zaidi na the most important thing ni kuwa you are fighting for yourself!
LETS DO THIS!
Kusoma post yake pitia hapa, tusIpoteze muda na kujaza server kueleza upya alichopost 👉 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!
Twende kwenye mambo ya kufanya;
1. Kwanza unfollow chawa wote, mpaka kwenye page zao za biashara, wauza vipodozi, vyakula, wanamuziki, chawa, unfollow wote. Page zao ziko public, ni cha kufanya ni kupita mara kwa mara kwenye kurasa zao, kila wanachopost achia hashtag #KataaMachawa au #KataaChawa. Kwa viongozi chawa nao fanya hivyo hivyo, pitisha hashtag kwenye post zao zote. Tuna chawa wanaotetea ujinga humu acha hashtag kwenye post zao zote.
2. Kwa viongozi mafisadi, waiba pesa za umma kila siku wanatajwa kwenye ripoti za CAG hatuoni wakifungwa wala kufilisiwa na wale wanaokubali tufungiwe mitandao tutumie hashtag hii - #KataaUozo2025. Wote tunawajua viongozi mizigo, tunawajua mafisadi, tunawajua waotaka kutuzimia mtandao, tunawajua wabunge sehemu zote ambapo toka wachaguliwe hawaonekani tena jimboni, na hujawahi kumuona hata sikumoja akifungua mdomo kuwasemea wananchi wake, tembeza # hii kwenye kila post wanayoweka.
Usidharau mbinu hizi, tunaweza kurudisha discipline nchini waelewe wenye nguvu ni wananchi.
Kumbuka hashtag ni mbili tu #KataaMachawa na #KataaUozo2025
Hatuwezi kushindwa kwenye hili, kumbuka unampigania mama yako, baba, dada na kaka kaka zako, wadogo zako, ndugu na jamaa, na zaidi na the most important thing ni kuwa you are fighting for yourself!
LETS DO THIS!