Pre GE2025 Gen Z hatushindwi kitu: Kampeni ya kukataa machawa na viongozi wabovu inaanza rasmi

Pre GE2025 Gen Z hatushindwi kitu: Kampeni ya kukataa machawa na viongozi wabovu inaanza rasmi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Labda mbuni mbinu yenu ya kivyenu ila kutegemea idea za kikenya za gen Z sioni mkitoboa aisee, maana ma gen Z wa bongo ndio hao kina mwijaku na lukasi mwamshamba, role model wao joti unategemea nini
Inawezekana but hiyo mbinu but hiyo ni ideology ambayo inatakiwa isambae kwanza
 
Labda mbuni mbinu yenu ya kivyenu ila kutegemea idea za kikenya za gen Z sioni mkitoboa aisee, maana ma gen Z wa bongo ndio hao kina mwijaku na lukasi mwamshamba, role model wao joti unategemea nini
Wajinga ni % chache tu Mkuu ambao hawatushindwi, msi-lose faith na sisi kiasi hicho, by the way inabidi tuungane wote... Gen Z or not una unaathirika na yanayoendelea nchini, unga tela kwenye movement
 
Inawezekana but hiyo mbinu but hiyo ni ideology ambayo inatakiwa isambae kwanza
Ni kweli, ndio maana kokote unakopita kwenye page ya chawa, mwanasiasa mwizi dondosha hashtag Mkuu, JF ni jeshi kubwa, naamini hili lipo ndani ya uwezo wetu
 
Haki haipatikani kwenye social medias, ingia kitaa andamana...
Japo naunga mkono juhudi, kwanza sija follow chawa yeyote.
 
Nimekutana na post muda si mrefu kuhusu Mwijaku, nimefikiria tuanzishe kampeni hii ya kumaliza uchawa nchini na kuondoa viongozi wote ambao hawatufai. kama mtoa mada yule alivyoelekeza;

Kusoma post yake pitia hapa, tusIpoteze muda na kujaza server kueleza upya alichopost 👉 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Twende kwenye mambo ya kufanya;

1. Kwanza unfollow chawa wote, mpaka kwenye page zao za biashara, wauza vipodozi, vyakula, wanamuziki, chawa, unfollow wote. Page zao ziko public, ni cha kufanya ni kupita mara kwa mara kwenye kurasa zao, kila wanachopost achia hashtag #KataaMachawa au #KataaChawa. Kwa viongozi chawa nao fanya hivyo hivyo, pitisha hashtag kwenye post zao zote. Tuna chawa wanaotetea ujinga humu acha hashtag kwenye post zao zote.

2. Kwa viongozi mafisadi, waiba pesa za umma kila siku wanatajwa kwenye ripoti za CAG hatuoni wakifungwa wala kufilisiwa na wale wanaokubali tufungiwe mitandao tutumie hashtag hii - #KataaUozo2025. Wote tunawajua viongozi mizigo, tunawajua mafisadi, tunawajua waotaka kutuzimia mtandao, tunawajua wabunge sehemu zote ambapo toka wachaguliwe hawaonekani tena jimboni, na hujawahi kumuona hata sikumoja akifungua mdomo kuwasemea wananchi wake, tembeza # hii kwenye kila post wanayoweka.

Usidharau mbinu hizi, tunaweza kurudisha discipline nchini waelewe wenye nguvu ni wananchi.

Kumbuka hashtag ni mbili tu #KataaMachawa na #KataaUozo2025

Hatuwezi kushindwa kwenye hili, kumbuka unampigania mama yako, baba, dada na kaka kaka zako, wadogo zako, ndugu na jamaa, na zaidi na the most important thing ni kuwa you are fighting for yourself!

LETS DO THIS!
Chawa ndio nini? Maana huo upuuzi uliqnzishwa na machadomo
 
Wajinga ni % chache tu Mkuu ambao hawatushindwi, msi-lose faith na sisi kiasi hicho, by the way inabidi tuungane wote... Gen Z or not una unaathirika na yanayoendelea nchini, unga tela kwenye movement
rekebisha basi tittle ya thread yako maana ni kama hii movement ni for gen z only.
 
Nimekutana na post muda si mrefu kuhusu Mwijaku, nimefikiria tuanzishe kampeni hii ya kumaliza uchawa nchini na kuondoa viongozi wote ambao hawatufai. kama mtoa mada yule alivyoelekeza;

Kusoma post yake pitia hapa, tusIpoteze muda na kujaza server kueleza upya alichopost 👉 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!

Twende kwenye mambo ya kufanya;

1. Kwanza unfollow chawa wote, mpaka kwenye page zao za biashara, wauza vipodozi, vyakula, wanamuziki, chawa, unfollow wote. Page zao ziko public, ni cha kufanya ni kupita mara kwa mara kwenye kurasa zao, kila wanachopost achia hashtag #KataaMachawa au #KataaChawa. Kwa viongozi chawa nao fanya hivyo hivyo, pitisha hashtag kwenye post zao zote. Tuna chawa wanaotetea ujinga humu acha hashtag kwenye post zao zote.

2. Kwa viongozi mafisadi, waiba pesa za umma kila siku wanatajwa kwenye ripoti za CAG hatuoni wakifungwa wala kufilisiwa na wale wanaokubali tufungiwe mitandao tutumie hashtag hii - #KataaUozo2025. Wote tunawajua viongozi mizigo, tunawajua mafisadi, tunawajua waotaka kutuzimia mtandao, tunawajua wabunge sehemu zote ambapo toka wachaguliwe hawaonekani tena jimboni, na hujawahi kumuona hata sikumoja akifungua mdomo kuwasemea wananchi wake, tembeza # hii kwenye kila post wanayoweka.

Usidharau mbinu hizi, tunaweza kurudisha discipline nchini waelewe wenye nguvu ni wananchi.

Kumbuka hashtag ni mbili tu #KataaMachawa na #KataaUozo2025

Hatuwezi kushindwa kwenye hili, kumbuka unampigania mama yako, baba, dada na kaka kaka zako, wadogo zako, ndugu na jamaa, na zaidi na the most important thing ni kuwa you are fighting for yourself!

LETS DO THIS!
Kwamba mmeamua kujipiga risasi masikioni? Maana hizo tabia zimekuja na hiyo tabia ilikuwemo kwa generations nyingi lakini ilikuwa ni miongoni mwa tabia za aibu sawa na ushoga na usagaji.
Ni wakati wa hii generation yenu ndiyo tabia hii imeonekana kuwa siri ya mafanikio, ndiyo mtaji ndiyo tabia ambayo inaipa CCM jeuri ya kufanya inavyojisikia. Hii ni tabia yenu hiyo ndiyo identity ya generation yenu.
 
Hizi harakati za hashtag ni za kizembe sana hazifanikiwi.
 
Back
Top Bottom