kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Noma sana mwenye farasi naomba tuwasiliane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunapiga kote kote Mkuu, front and back kila watakapogeuka tupo naoTungebase Tu kwenye Uozo. Uozo ukipotea , Uchawa nao kwaheri
#KataaMachawa #KataaUozo2025Mmeanza kupiga wakenya... Kaeni kwa kutulia
Linaanza na wewe Mkuu, kila utakapopita dondosha hashtags hizoNi wazo zuri sana kama kweli litafanyiwa kazi.
Tutawakalisha tuu, pita na hastag kila unapokutana na chawaJINSI JINSI MWENYEKETI WAO WA CHAWA WANAVOKUTAZAMA
View attachment 3023015
Kweli kabisa, muda umewadiaI like this, nyie ndio next leaders, mmeona jinsi mambo yanavyokwenda? It time take back your country
Inawezekana but hiyo mbinu but hiyo ni ideology ambayo inatakiwa isambae kwanzaLabda mbuni mbinu yenu ya kivyenu ila kutegemea idea za kikenya za gen Z sioni mkitoboa aisee, maana ma gen Z wa bongo ndio hao kina mwijaku na lukasi mwamshamba, role model wao joti unategemea nini
Wajinga ni % chache tu Mkuu ambao hawatushindwi, msi-lose faith na sisi kiasi hicho, by the way inabidi tuungane wote... Gen Z or not una unaathirika na yanayoendelea nchini, unga tela kwenye movementLabda mbuni mbinu yenu ya kivyenu ila kutegemea idea za kikenya za gen Z sioni mkitoboa aisee, maana ma gen Z wa bongo ndio hao kina mwijaku na lukasi mwamshamba, role model wao joti unategemea nini
Ni kweli, ndio maana kokote unakopita kwenye page ya chawa, mwanasiasa mwizi dondosha hashtag Mkuu, JF ni jeshi kubwa, naamini hili lipo ndani ya uwezo wetuInawezekana but hiyo mbinu but hiyo ni ideology ambayo inatakiwa isambae kwanza
Chawa ndio nini? Maana huo upuuzi uliqnzishwa na machadomoNimekutana na post muda si mrefu kuhusu Mwijaku, nimefikiria tuanzishe kampeni hii ya kumaliza uchawa nchini na kuondoa viongozi wote ambao hawatufai. kama mtoa mada yule alivyoelekeza;
Kusoma post yake pitia hapa, tusIpoteze muda na kujaza server kueleza upya alichopost 👉 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!
Twende kwenye mambo ya kufanya;
1. Kwanza unfollow chawa wote, mpaka kwenye page zao za biashara, wauza vipodozi, vyakula, wanamuziki, chawa, unfollow wote. Page zao ziko public, ni cha kufanya ni kupita mara kwa mara kwenye kurasa zao, kila wanachopost achia hashtag #KataaMachawa au #KataaChawa. Kwa viongozi chawa nao fanya hivyo hivyo, pitisha hashtag kwenye post zao zote. Tuna chawa wanaotetea ujinga humu acha hashtag kwenye post zao zote.
2. Kwa viongozi mafisadi, waiba pesa za umma kila siku wanatajwa kwenye ripoti za CAG hatuoni wakifungwa wala kufilisiwa na wale wanaokubali tufungiwe mitandao tutumie hashtag hii - #KataaUozo2025. Wote tunawajua viongozi mizigo, tunawajua mafisadi, tunawajua waotaka kutuzimia mtandao, tunawajua wabunge sehemu zote ambapo toka wachaguliwe hawaonekani tena jimboni, na hujawahi kumuona hata sikumoja akifungua mdomo kuwasemea wananchi wake, tembeza # hii kwenye kila post wanayoweka.
Usidharau mbinu hizi, tunaweza kurudisha discipline nchini waelewe wenye nguvu ni wananchi.
Kumbuka hashtag ni mbili tu #KataaMachawa na #KataaUozo2025
Hatuwezi kushindwa kwenye hili, kumbuka unampigania mama yako, baba, dada na kaka kaka zako, wadogo zako, ndugu na jamaa, na zaidi na the most important thing ni kuwa you are fighting for yourself!
LETS DO THIS!
rekebisha basi tittle ya thread yako maana ni kama hii movement ni for gen z only.Wajinga ni % chache tu Mkuu ambao hawatushindwi, msi-lose faith na sisi kiasi hicho, by the way inabidi tuungane wote... Gen Z or not una unaathirika na yanayoendelea nchini, unga tela kwenye movement
Kwamba mmeamua kujipiga risasi masikioni? Maana hizo tabia zimekuja na hiyo tabia ilikuwemo kwa generations nyingi lakini ilikuwa ni miongoni mwa tabia za aibu sawa na ushoga na usagaji.Nimekutana na post muda si mrefu kuhusu Mwijaku, nimefikiria tuanzishe kampeni hii ya kumaliza uchawa nchini na kuondoa viongozi wote ambao hawatufai. kama mtoa mada yule alivyoelekeza;
Kusoma post yake pitia hapa, tusIpoteze muda na kujaza server kueleza upya alichopost 👉 Mwijaku anajikuta nani hasa? Ifike mahala tuanze gomea biashara za chawa wote, unfollow kwenye mambo yao yote!
Twende kwenye mambo ya kufanya;
1. Kwanza unfollow chawa wote, mpaka kwenye page zao za biashara, wauza vipodozi, vyakula, wanamuziki, chawa, unfollow wote. Page zao ziko public, ni cha kufanya ni kupita mara kwa mara kwenye kurasa zao, kila wanachopost achia hashtag #KataaMachawa au #KataaChawa. Kwa viongozi chawa nao fanya hivyo hivyo, pitisha hashtag kwenye post zao zote. Tuna chawa wanaotetea ujinga humu acha hashtag kwenye post zao zote.
2. Kwa viongozi mafisadi, waiba pesa za umma kila siku wanatajwa kwenye ripoti za CAG hatuoni wakifungwa wala kufilisiwa na wale wanaokubali tufungiwe mitandao tutumie hashtag hii - #KataaUozo2025. Wote tunawajua viongozi mizigo, tunawajua mafisadi, tunawajua waotaka kutuzimia mtandao, tunawajua wabunge sehemu zote ambapo toka wachaguliwe hawaonekani tena jimboni, na hujawahi kumuona hata sikumoja akifungua mdomo kuwasemea wananchi wake, tembeza # hii kwenye kila post wanayoweka.
Usidharau mbinu hizi, tunaweza kurudisha discipline nchini waelewe wenye nguvu ni wananchi.
Kumbuka hashtag ni mbili tu #KataaMachawa na #KataaUozo2025
Hatuwezi kushindwa kwenye hili, kumbuka unampigania mama yako, baba, dada na kaka kaka zako, wadogo zako, ndugu na jamaa, na zaidi na the most important thing ni kuwa you are fighting for yourself!
LETS DO THIS!
Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa MbinguniNa wewe nimepita kwenye post zako sielewi elewi Mkuu, upo kama chawa vuguvugu
Sasa mkuu Mimi nimekuuliza aumkuu unahabari kwamba uliyemwita anamkubali mwijaku mbaya? ngoja nisubiri aje labda kabadili msimamo jana.
LETS DO THIS!
sorry mkuu kama nimedandia tren kwa mbele, sorry sana.Sasa mkuu Mimi nimekuuliza au