Pre GE2025 Gen Z hatushindwi kitu: Kampeni ya kukataa machawa na viongozi wabovu inaanza rasmi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
😂😂😂 Mkuu bwana, uchawa haujifichi ujue, yaani umefukuta koteee ukaona hii ndio angle ya kitokea?!

#KataaMachawa
#KataaUozo2025
 
Nitakuwepo
 
Sasa sijui machawa yatajificha wapi . Sasa yanaanza pigwa kama ngoma

#kataa machawa ,kunguni,viroboto.
# kataa na zika ccm.
 
Mtu na akili zako timamu utamfatiliaje mtu kama mwijaku,baba level kitenge na hao wasanii wote bongo
Yaani hao ndy wanakuhamasishaa kufanya jambo fulani wakitumwa na serikali ......
Mtu yoyote anaye wafatilia hawa
Basi kichwani mwake hamnazo

Ova
 
Pumba tupu, Hakuna watu wa ovyo kwenye hii nchi kama hao Gen Z
 
#kataa chawaa
 
Tanzania inahitaji GEN Z wakali zaidi ya Kenya
 
Dada yenu nawaunga mikono yote miwili. Tena naomba michawa ya humu, ikileta habari yoyote. Ni kuwawekea hashtags tu, msichangie chochote, mpaka waache uhayawani wao.
#kataamachawa
#kataaufisadi
#kataaccm
Exactly,ni hashtag tuu zitembee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…