Kwani shule ulienda kusomea ujinga?Utajiajirije mwenyewe bila mtaji wala uzoefu Madam?!
Ndo maana ushauri wangu ni kwa wazee wote walioko serikalini, watoke wakajiajiri ili waachie vijana nao waajiriwe na serikali.
Lakini utashangaa wazee wengine licha ya kufikia umri wa kustaafu, bado wanaomba waongezewe muda au wafanye kazi kwa mkataba huko huko serikalini!
Hujatishwa unaogopa, je ukitishwa?Wanajitahidi vitisho na drama zao kuogopesha. Wasubiri vijana wetu wamejifunza Bangladesh
Usiseme sisi sema mimi😎...sisi ni maiti toka enzi za nyerere ova
Unashangaa nini na "umri" ni namba tu?Utajiajirije mwenyewe bila mtaji wala uzoefu Madam?!
Ndo maana ushauri wangu ni kwa wazee wote walioko serikalini, watoke wakajiajiri ili waachie vijana nao waajiriwe na serikali.
Lakini utashangaa wazee wengine licha ya kufikia umri wa kustaafu, bado wanaomba waongezewe muda au wafanye kazi kwa mkataba huko huko serikalini!
hiyo serikali itaajiri vijana wangapi katika nchi hii?Badala ya kukazana na teua tengua ya vigogo, hizo nguvu zingetumika kuwaajiri vijana.
Vinginevyo, hizo hela mnazozifuja hamtazila wala kuzitumia kwa amani.
Katafute pesa sokoni siyo nyuma ya simu.kabsa yaan kama mbwai mbwai tuH
Akijiajiri mwenyewe hawezi kujiongoza, kujitawala na hana ubunifu wa kujiwekea Mikakati ya baadaye. Anataka aajiriwe halafu ajipumzikie(Atege kazi) lakini awe active sana kudai mshahara tena kwa nguvu.Tembelea mkoa wa Pwani uone viwanda vipya, kila sehemu.
Kwani sekta binafsi lazima uajiriwe, kwanini hujiajiri wewe mwenyewe?
SG
Yeah. Idadi ya vijana waliopo na wenye sifa stahiki kuajiriwa serikalini ni kubwa sana i.e. ni wengi mno kuzidi idadi ya nafasi za ajira zilizopo/zinazopatikana. Kwa hiyo LAZIMA watakuwepo tuu watakaokosa ajira Serikalini. Lakini ajira kama ajira, zimejaa tele na hazijatoshelezwa.hiyo serikali itaajiri vijana wangapi katika nchi hii?
Ni ukweli kabisa 👆 👆 japo mchungu - unauma..Watakapozinduka watakuta imeenda hiyo.🤣🤣🤣 Tz hii au ip sasa ww Gen z unataka utuambie ss wauza chps tuache then tuandamane kuwapigania majitu yaliyo enda kupata elimu ya kukaririshwa kwl nawapa pole sana mmeambiwa mkalime kuna toyo na bajaj sasa we unataka kwenda BOT na wakat umesoma komb mama (HKL)
Mnao ubavu lakini? Acheni hizo nendeni mkatafute fursa za kupata Pesa. Ukiandamana halafu utalipwa na nani? Dola itakulipakabsa yaan kama mbwai mbwai tuH
Waliandaliwa kuto kuhoji, endapo maandamano yakitokea jibu lake ni madhara ya kuto kuhoji na kuto sikilizwa, (silent society), the question is how long should people keep silentWadau Asalam aleykum.
Wanasema mwenzako akinyolewa zako tia maji.
Nawashauri viongozi wangu mlioko kwenye vyombo vya kutunga sera, mfanye kuwaajiri vijana walioko mtaani wenye ujuzi na wasio na ujuzi pia watafutiwe kazi za kufanya.
Hii itawafanya kuwa bize na hivyo kuwasahaulisha na ugumu wa maisha wanaokabiliana nao sasa.
Viongozi wangu, msijiamini kupitiliza kwamba nyinyi mna mifumo imara kuliko huko kunakofuka moto sasa.
Wanasema mwenye njaa mara zote huwa na hasira.
Pia wanasema kama huna kazi ya kufanya, basi chochote kinachokuja mbele yako unaweza kujikuta unakifanya! Shetani huwatumia sana wasio na kazi kutimiza agenda zake ovu.
Maandamano ni kama ugonjwa wa kuambukiza. Mara nyingi nchi nyingi zenye matatizo kama vile Libya, Tunisia, Misri, Sudan, na sasa Kenya na Uganda, maandamano huwa yanaanza kidogo kidogo na baadaye kusambaa nchi nzima!
Kama hali ikiendelea hivi ilivyo, basi tusishangae kuwaona Gen Z wetu nao wakiingia barabarani kuandamana.
Naomba kuwasilisha.
Ipo.Tembelea www.ajira.go.tz
Hakuna nchi iliyo ajili Wananchi wote
U go while the going is good.Waliandaliwa kuto kuhoji, endapo maandamano yakitokea jibu lake ni madhara ya kuto kuhoji na kuto sikilizwa, (silent society), the question is how long should people keep silent
Taka taka izi kaandamane mwenyewe na ujinga wenuIpo.
Kwa mfano nchi ya Tanzania (Popn. 62mil.+ )hakuna Mwananchi yeyote anayeshindwa kupata riziki yake ya kila siku kama akijishughulisha. Kumbuka na Kuzingatia kwamba hatupati mahitaji yetu(Riziki zetu)ss Watanzania kwa kupewa na Serikali; HAKUNA- Huo ndo ukweli halisi. Usidanganywe na kikundi cha wachache sana wanaosema eti wamesoma na wanataka waajiriwe na Serikali - wameshasahau kwamba hawakuwekeana Mkataba na Serikali kwamba akimaliza masomo Serikali itamwajiri. Wakiambiwa wajiajiri Sekta binafsi wanatishia kuandamana eti wao ni Gen. Z. Kwa maneno mengine ni kwamba Ajira ya Gen.Z waliojipa wao wenyewe ni kulalamika, kuitishia Serikali kwamba wataandamana na kuwaghilibu (kushawishi/kudanganya) vijana wenzao ambao wanajishughulisha ili wawaunge mkono kwenye ujinga huo.
Wanadhani ajira zipo tuu ila Serikali kwa kiburi na ukatili inawanyima.
Wakitangaziwa Ajira za siri huko Urussi, Israeli, Ukraine, Palestina, Wagner PMC, N. Korea wanazuga eti hawajaziona. Ni watata kwel-kweli hawa jamaa wanaojnasibisha kuwa Gen. Z. Sifa za Gen.Z zipo ila sio za hawa waBongo.
Dah! Wanashindwa basi hata kujiajiri kwenye ile Sekta inayopigwa vita na Mh. RC na hivi karibuni wanategemea kulamba 36 mil. chap.
Mkuu hujaisoma vizuri komenti- hebu rudia tena labda utaona ulichosema 👆 👆 hapo sio applicable.Taka taka izi kaandamane mwenyewe na ujinga wenu
Wapatikane Hamza km 100 tu hivi utaona Helicopter zinatembea angani na zile Jet za kivitahakuna kijana wa bongo atakayeandamana sisi ni maiti toka enzi za nyerere ova
usijikute keyboard hero wakati nyumbu kama nyie yakianza hamtoki..... usijidanganye ni jasiri wakati huna la kufanya mwa yanayoendeleaUsiseme sisi sema mimi😎
Maisha ya uhakika ni ya kujihangaikia, serikali inatengeneza mazingira ya kiuchumi lakini kujiajiri ni ubunifu wa mtu binafsi.Wadau Asalam aleykum.
Wanasema mwenzako akinyolewa zako tia maji.
Nawashauri viongozi wangu mlioko kwenye vyombo vya kutunga sera, mfanye kuwaajiri vijana walioko mtaani wenye ujuzi na wasio na ujuzi pia watafutiwe kazi za kufanya.
Hii itawafanya kuwa bize na hivyo kuwasahaulisha na ugumu wa maisha wanaokabiliana nao sasa.
Viongozi wangu, msijiamini kupitiliza kwamba nyinyi mna mifumo imara kuliko huko kunakofuka moto sasa.
Wanasema mwenye njaa mara zote huwa na hasira.
Pia wanasema kama huna kazi ya kufanya, basi chochote kinachokuja mbele yako unaweza kujikuta unakifanya! Shetani huwatumia sana wasio na kazi kutimiza agenda zake ovu.
Maandamano ni kama ugonjwa wa kuambukiza. Mara nyingi nchi nyingi zenye matatizo kama vile Libya, Tunisia, Misri, Sudan, na sasa Kenya na Uganda, maandamano huwa yanaanza kidogo kidogo na baadaye kusambaa nchi nzima!
Kama hali ikiendelea hivi ilivyo, basi tusishangae kuwaona Gen Z wetu nao wakiingia barabarani kuandamana.
Naomba kuwasilisha.
Kwani unataka nifanye nini?…wakati huna la kufanya mwa yanayoendelea