Gen Z wabisha hodi Uganda

Hili jambo la kuburuzwa na watawala linaumiza sana hizi nchi zetu.
 
Kwanza hakuna bunge kuna genge la matapeli tupu
 
My take serikali yetu kama inakopa hela benki ya NMB kununua mabasi 100 kumnufaisha mwekezaji wa UDART , mda NI mwalimu ya Kenya na Uganda naona inayahitaji.
Aisee...
Em ngoja tuone.

Inasikitisha.
 
Soon tutaongea lugha moja, one day hawa political hawatoamini jamii itakapo amka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…