Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kabisa.Hao sina imani nao hawana tofauti na Tanzania , hadi hiyo siku ifike wakianza movement ndio nitawaamini
Kenyans remain undefeated.
Maavi!!!..ffu wanajua kubonda usiombe, huwezi hata tamani kupiga selfie naoMoto unasambaa, na generation ya "kimasihara" itafikiwa tu
Hili jambo la kuburuzwa na watawala linaumiza sana hizi nchi zetu.Ninaiheshimu nguvu ya umma siwezi kuibeza ila kwa hao wa Uganda wana chembechembe kama za Watanzania hasa tawala mbili na katiba mbovu mbovu.
Kenya katiba yao rais sio mtu wa mwisho kila maamuzi anaweza kupingwa na mahakama au bunge.
Mfano juzi Ruto aliunda kamati ya kukagua deni la serikali huku akimuweka mjumbe rais wa chama cha wanasheria .
Chama cha wanasheria kikatoka na barua na kusema rais hatoshiriki na ni kinyume na katiba bali jukumu hilo aachiwe mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali .
Hata wale vijana waliokamtwa maandamano ya June 25 , jopo la wanasheria kutoka chama hicho kilikuwa na mchakato wa kuwatoa kizuizini na waliachiwa sababu walikuwa wakitekeleza haki yao kikatiba.
Ukija Tanzania mtu anapotea siku 29 polisi wanasema hawajui alipo ,mtu alitekwa Dar kapelekwa Arusha baadae katupwa Katavi porini ila polisi wanasema bado wanachunguza je wanachunguza kitu gani hasa?
Jana Samia kasema anafurahi kuona polisi wanatekeleza "maagizo" yake ! je maagizo hayo ni yapi yeye anatakiwa awekewe mipaka sio kuingilia kila kitu.
Uganda Museveni kampa mwanae ukuu wa majeshi , mkewe ni waziri .
Rwanda jana wamefanya igizo lao kwa jina la uchaguzi wakati mshindi anajulikana.
Hivyo basi Uganda ,Tanzania ,Rwanda ugonjwa wao mmoja hizi nchi zikipata katiba mpya basi biashara imekwisha.
Inaonekana hata umri wa kati nao wanamawazo kama ya GEN-Z, hii ina maanisha kwamba muda wowote walioko madarakani na katika kundi la wanasiasa (political class) watafurushwa na umma mkubwa kupitia nguvu ya umma people's power
ANGALIZO KUTOKA RIKA LA KATI, KUHUSU WENYE MAMLAKA KUZIBA MASIKIO YAO
View: https://m.youtube.com/watch?v=TeWDerrx2Hw
Aisee...My take serikali yetu kama inakopa hela benki ya NMB kununua mabasi 100 kumnufaisha mwekezaji wa UDART , mda NI mwalimu ya Kenya na Uganda naona inayahitaji.
Wamejitoa battery as if nothing is going on, likiwafika utagundua ni waoga mnoMoto unasambaa, na generation ya "kimasihara" itafikiwa tu
Waje na TZ...!!😂😂Safi sana waje na Tz
Support yao ni muhimu sn watupe uzoefu tuyatoe haya majangili ya mali za ummaWaje na TZ...!!😂😂
We Lianzishe tu...🤝🤝🤝
Magufuli ndiye wa kulaumu hawa ni yeye ndie katuleteaHata hapa kuna ufisadi wa kutisha mno. yaanzishwe na hapa ya kumuondoa chura
Hakuna uzoefu.. we jizire tu. Ingia street.Support yao ni muhimu sn watupe uzoefu tuyatoe haya majangili ya mali za umma
Poa poaHakuna uzoefu.. we jizire tu. Ingia street.
Inaonekana hata umri wa kati nao wanamawazo kama ya GEN-Z, hii ina maanisha kwamba muda wowote walioko madarakani na katika kundi la wanasiasa (political class) watafurushwa na umma mkubwa kupitia nguvu ya umma people's power
ANGALIZO KUTOKA RIKA LA KATI, KUHUSU WENYE MAMLAKA KUZIBA MASIKIO YAO
View: https://m.youtube.com/watch?v=TeWDerrx2Hw
Anzisha basi unamngoja nani sasa?🙂…yaanzishwe na hapa ya kumuondoa chura
Tena yanachelewa.Kuna nchi zipo nyuma ya haya maandamano....lazma tuwe makini, naomba huku yasifike...
Mambo yanaongeleka haya...Tena yanachelewa.
Uzalendo siyo utumwa wala unyonge.Mambo yanaongeleka haya...
Kwanza hakuna bunge kuna genge la matapeli tupu