Gen Z wabisha hodi Uganda

Gen Z wabisha hodi Uganda

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
MAANDAMANO yaliyoanzishwa na vijana nchini Kenya na kupewa jina la Gen Z, yameanza kubisha hodi nchini Uganda baada ya polisi wa taifa hilo kuahirisha mpango wa vijana nchini humo kuandamana kuelekea katika majengo ya bunge kwa lengo la kulaani ufisadi.

Maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika tarehe 23 Julai mwaka huu.
Tangazo la kuyapiga marufuku maandamano ya aina hiyo lilitolewa jana Jumatatu asubuhi na Msemaji wa Polisi wa Uganda, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Kituuma Rosoke.
Uamuzi huo unakuja huku kukiwa na mvutano unaoongezeka na juhudi kubwa za uhamasishaji kwenye mitandao ya kijamii zinazolenga kupata ushiriki wa umma katika maandamano hayo.

ACP Rosoke, katika taarifa yake, alisisitiza kukosekana kwa uwazi kuhusiana na maelezo ya waandaaji wa maandamano hayo.

“Polisi wa Uganda wanataarifiwa kuhusu juhudi zinazoendelea za uhamasishaji kwenye mitandao ya kijamii kuwataka watu kuandamana hadi bungeni. Waandaaji wasiojulikana wamesambaza mabango ya kuwataka watu kukusanyika katika mitaa yote ya Kampala Jumanne, Julai 23, 2024, lakini wakati wa kuanza na maelezo ya shirika havieleweki,” Rosoke alisema.

Alisema kuwa utata huu unaweza kusababisha machafuko yanayoweza kutokea.

Msemaji huyo wa polisi alionya zaidi kuhusu maandamano hayo, akisisitiza umuhimu wa kudumisha utulivu wa umma.

“Kutokana na kukosekana kwa uwazi na uwezekano wa kutokea kwa fujo, polisi wanaonya vikali dhidi ya kuendelea na maandamano haya. Jeshi la Polisi la Uganda linatoa onyo la wazi dhidi ya majaribio ya kuchochea ghasia au uvunjaji wa utaratibu wa umma kupitia maandamano yasiyodhibitiwa,” alisema.

Ingawa haki ya maandamano ya amani inakubaliwa, polisi walisisitiza kutovumilia kwao vitendo vyovyote vinavyoweza kuchochea ghasia za umma.

Maandamano hayo yaliyokuwa yamepangwa yalikuwa yamechukua mvuto mkubwa, hasa baada ya Waziri wa Fedha anayeshughulikia Uwekezaji na Ubinafsishaji, Evelyn Anite, kuonyesha nia yake ya kushiriki.

Anite, anayejulikana kwa msimamo wake mkali dhidi ya ufisadi, alikuwa amekubali mwaliko wa mtandaoni wa kujiunga na maandamano.


My take serikali yetu kama inakopa hela benki ya NMB kununua mabasi 100 kumnufaisha mwekezaji wa UDART , mda NI mwalimu ya Kenya na Uganda naona inayahitaji.
 
MAANDAMANO yaliyoanzishwa na vijana nchini Kenya na kupewa jina la Gen Z, yameanza kubisha hodi nchini Uganda baada ya polisi wa taifa hilo kuahirisha mpango wa vijana nchini humo kuandamana kuelekea katika majengo ya bunge kwa lengo la kulaani ufisadi.

Maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika tarehe 23 Julai mwaka huu.
Tangazo la kuyapiga marufuku maandamano ya aina hiyo lilitolewa jana Jumatatu asubuhi na Msemaji wa Polisi wa Uganda, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Kituuma Rosoke.
Uamuzi huo unakuja huku kukiwa na mvutano unaoongezeka na juhudi kubwa za uhamasishaji kwenye mitandao ya kijamii zinazolenga kupata ushiriki wa umma katika maandamano hayo.

ACP Rosoke, katika taarifa yake, alisisitiza kukosekana kwa uwazi kuhusiana na maelezo ya waandaaji wa maandamano hayo.

“Polisi wa Uganda wanataarifiwa kuhusu juhudi zinazoendelea za uhamasishaji kwenye mitandao ya kijamii kuwataka watu kuandamana hadi bungeni. Waandaaji wasiojulikana wamesambaza mabango ya kuwataka watu kukusanyika katika mitaa yote ya Kampala Jumanne, Julai 23, 2024, lakini wakati wa kuanza na maelezo ya shirika havieleweki,” Rosoke alisema.

Alisema kuwa utata huu unaweza kusababisha machafuko yanayoweza kutokea.

Msemaji huyo wa polisi alionya zaidi kuhusu maandamano hayo, akisisitiza umuhimu wa kudumisha utulivu wa umma.

“Kutokana na kukosekana kwa uwazi na uwezekano wa kutokea kwa fujo, polisi wanaonya vikali dhidi ya kuendelea na maandamano haya. Jeshi la Polisi la Uganda linatoa onyo la wazi dhidi ya majaribio ya kuchochea ghasia au uvunjaji wa utaratibu wa umma kupitia maandamano yasiyodhibitiwa,” alisema.

Ingawa haki ya maandamano ya amani inakubaliwa, polisi walisisitiza kutovumilia kwao vitendo vyovyote vinavyoweza kuchochea ghasia za umma.

Maandamano hayo yaliyokuwa yamepangwa yalikuwa yamechukua mvuto mkubwa, hasa baada ya Waziri wa Fedha anayeshughulikia Uwekezaji na Ubinafsishaji, Evelyn Anite, kuonyesha nia yake ya kushiriki.

Anite, anayejulikana kwa msimamo wake mkali dhidi ya ufisadi, alikuwa amekubali mwaliko wa mtandaoni wa kujiunga na maandamano.


My take serikali yetu kama inakopa hela benki ya NMB kununua mabasi 100 kumnufaisha mwekezaji wa UDART , mda NI mwalimu ya Kenya na Uganda naona inayahitaji.
Nasikia vijana tayari kuna group huko whatsap limeanzishwa linaitwa lost generation limeanza kuratibu kila kitu na kuweka wazi kero na kashifa zinazohusu setikali ya mama kama ni kweli mama asikilize watu anaowaongoza zaidi ya hapo anaweza kupata shida
 
Kuwaombea tu wasifike huko binadamu wakichafukwa na roho huwa hawaelewi
Ninaiheshimu nguvu ya umma siwezi kuibeza ila kwa hao wa Uganda wana chembechembe kama za Watanzania hasa tawala mbili na katiba mbovu mbovu.

Kenya katiba yao rais sio mtu wa mwisho kila maamuzi anaweza kupingwa na mahakama au bunge.

Mfano juzi Ruto aliunda kamati ya kukagua deni la serikali huku akimuweka mjumbe rais wa chama cha wanasheria .

Chama cha wanasheria kikatoka na barua na kusema rais hatoshiriki na ni kinyume na katiba bali jukumu hilo aachiwe mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali .

Hata wale vijana waliokamtwa maandamano ya June 25 , jopo la wanasheria kutoka chama hicho kilikuwa na mchakato wa kuwatoa kizuizini na waliachiwa sababu walikuwa wakitekeleza haki yao kikatiba.


Ukija Tanzania mtu anapotea siku 29 polisi wanasema hawajui alipo ,mtu alitekwa Dar kapelekwa Arusha baadae katupwa Katavi porini ila polisi wanasema bado wanachunguza je wanachunguza kitu gani hasa?

Jana Samia kasema anafurahi kuona polisi wanatekeleza "maagizo" yake ! je maagizo hayo ni yapi yeye anatakiwa awekewe mipaka sio kuingilia kila kitu.

Uganda Museveni kampa mwanae ukuu wa majeshi , mkewe ni waziri .

Rwanda jana wamefanya igizo lao kwa jina la uchaguzi wakati mshindi anajulikana.

Hivyo basi Uganda ,Tanzania ,Rwanda ugonjwa wao mmoja hizi nchi zikipata katiba mpya basi biashara imekwisha.
 
Kama vile Arab Spring ilivyozikumba nchi za kiArabu za Afrika ya Kaskazini Tunisia, Egypt n.k

Tanzania ya chama dola kongwe kilichochoka kwa kuishiwa pumzi ( in Kingunge Ngombale Mwiru voice), lazima tsunami ya GEN-Z iinge hapa kwetu, hakuna namna ya kuzuia kundi hili kubwa la kizazi kipya.

1721135479332.png



HABARI ZAIDI :
TOKA MAKTABA :

Njia za kuzuia au kukaribisha maandamano yasiyo na kikomo

When Dictators Fall: Preventing Violent Conflict During Transitions from Authoritarian Rule​

Conflict Prevention and Management

OUTLINE
JCM and Qatari Foreign Minister vsit Nyala

UN Photo/Albert González Farran
EXPECTED END DATE:2020•03•25PROJECT STATUS:Completed

UNU-CPR RESEARCHERS: Adam Day, Luise Quaritsch​

EXTERNAL RESEARCHERS: Dirk Druet​

Why does one country peacefully transition out of authoritarian rule while another falls into violent conflict, and what can the UN do to influence pathways away from violence?​

This paper concerns the transitions out of entrenched authoritarian rule, the often volatile moments when new leadership comes into power.​

Some transitions take place peacefully, largely within constitutional order, but others may descend into civil unrest or even escalate into all-out civil war. In support the UN’s prevention mandate, this project is driven by the question, why does one country peacefully transition out of authoritarian rule while another falls into violent conflict, and what can the UN do to influence pathways away from violence?​

This project draws on scholarship around authoritarianism and neo-patrimonial States as well as original research by United Nations University Centre for Policy Research into entrenched political systems. It identifies four key factors that may influence whether a transition tends to result in violent conflict​


Entrenched authoritarian systems are those where a leader or group has centralized power and resources in a manner that limits meaningful political and economic inclusion, instrumentalizes key State institutions, reduces democratic space and often allows a specific individual to remain in power well beyond typical constitutional limits.
  1. past forms of rule (democratic or authoritarian);
  2. the way in which a political system transitions (e.g. through a coup, election, death, transfer of power or popular uprising);
  3. the fate of the individual leader, including questions of personal property and accountability for human rights abuses; and
  4. economic performance and the degree of inequality within a given society.
It further finds that, while all regime types have experienced both violent and peaceful transitions, those that are highly personalized (vesting power in an individual rather than institutions) tend to experience greater difficulties in moving into inclusive forms of governance, which may influence longer-term prospects for peace.

In exploring a comprehensive set of cases over the past 30 years, this project also makes some broader (and often counter-intuitive) findings about the role of violence in such transitions.

The transitions that occurred with the lowest levels of violence were in systems with some of the poorest governance indicators. In fact, countries at various points on the governance scale witnessed transitions that brought about dramatic and sustained change in the distribution of power with little or no violence, a finding which suggests that the quality of governance may not be directly linked to violence levels in transitions.

In contrast, two factors did appear to correlate with relatively high levels of violence: those involving foreign intervention, and transitions triggered by public uprisings. The significant rise in frequency of popular uprisings as the dominant form of transition in recent decades has meant that transitional moments have become more prone to large-scale violence. These findings raise significant questions about the role of external actors in transitional processes, and how the international community might engage before, during and after changes in leadership.

These trends in transitions present a complex and interrelated set of challenges for the UN, which often must balance its prevention mandate alongside respect for sovereignty and host State consent. The UN is often poorly placed to ramp up its prevention activities in entrenched authoritarian systems, in part because national leadership tends to be strongly resistant to engagement on politically sensitive subjects.

Additionally, these systems tend to have weak and/or highly politicized institutions, raising dilemmas for UN efforts to build institutional capacity as a hedge against violent conflict. UN leverage over the political leadership in-country is frequently constrained, given that authoritarian leaders tend to be isolated and less susceptible to traditional forms of pressure (e.g. sanctions or moral pressure). That said, there is strong evidence from this project’s case studies that the UN has engaged in creative and impactful practices in transitional settings, helping to reduce the risks of violence and building bridges towards longer-term outcomes.

Based on these findings, the paper offers twelve conclusions and recommendations for the UN when confronted with transitional moments from entrenched authoritarian rule. READ THEM
Source : When Dictators Fall: Preventing Violent Conflict During Transitions from Authoritarian Rule - United Nations University Centre for Policy Research
767 Third Avenue, 35th Floor
New York, NY 10017
United States

.................................................................
Read More :
file-20180511-34009-xlfdmj.jpg
After 37 years, a titan falls
.................................................................
 
MAANDAMANO yaliyoanzishwa na vijana nchini Kenya na kupewa jina la Gen Z, yameanza kubisha hodi nchini Uganda baada ya polisi wa taifa hilo kuahirisha mpango wa vijana nchini humo kuandamana kuelekea katika majengo ya bunge kwa lengo la kulaani ufisadi.

Maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika tarehe 23 Julai mwaka huu.
Tangazo la kuyapiga marufuku maandamano ya aina hiyo lilitolewa jana Jumatatu asubuhi na Msemaji wa Polisi wa Uganda, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Kituuma Rosoke.
Uamuzi huo unakuja huku kukiwa na mvutano unaoongezeka na juhudi kubwa za uhamasishaji kwenye mitandao ya kijamii zinazolenga kupata ushiriki wa umma katika maandamano hayo.

ACP Rosoke, katika taarifa yake, alisisitiza kukosekana kwa uwazi kuhusiana na maelezo ya waandaaji wa maandamano hayo.

“Polisi wa Uganda wanataarifiwa kuhusu juhudi zinazoendelea za uhamasishaji kwenye mitandao ya kijamii kuwataka watu kuandamana hadi bungeni. Waandaaji wasiojulikana wamesambaza mabango ya kuwataka watu kukusanyika katika mitaa yote ya Kampala Jumanne, Julai 23, 2024, lakini wakati wa kuanza na maelezo ya shirika havieleweki,” Rosoke alisema.

Alisema kuwa utata huu unaweza kusababisha machafuko yanayoweza kutokea.

Msemaji huyo wa polisi alionya zaidi kuhusu maandamano hayo, akisisitiza umuhimu wa kudumisha utulivu wa umma.

“Kutokana na kukosekana kwa uwazi na uwezekano wa kutokea kwa fujo, polisi wanaonya vikali dhidi ya kuendelea na maandamano haya. Jeshi la Polisi la Uganda linatoa onyo la wazi dhidi ya majaribio ya kuchochea ghasia au uvunjaji wa utaratibu wa umma kupitia maandamano yasiyodhibitiwa,” alisema.

Ingawa haki ya maandamano ya amani inakubaliwa, polisi walisisitiza kutovumilia kwao vitendo vyovyote vinavyoweza kuchochea ghasia za umma.

Maandamano hayo yaliyokuwa yamepangwa yalikuwa yamechukua mvuto mkubwa, hasa baada ya Waziri wa Fedha anayeshughulikia Uwekezaji na Ubinafsishaji, Evelyn Anite, kuonyesha nia yake ya kushiriki.

Anite, anayejulikana kwa msimamo wake mkali dhidi ya ufisadi, alikuwa amekubali mwaliko wa mtandaoni wa kujiunga na maandamano.


My take serikali yetu kama inakopa hela benki ya NMB kununua mabasi 100 kumnufaisha mwekezaji wa UDART , mda NI mwalimu ya Kenya na Uganda naona inayahitaji.
Hata hapa kuna ufisadi wa kutisha mno. yaanzishwe na hapa ya kumuondoa chura
 
Inaonekana hata umri wa kati nao wanamawazo kama ya GEN-Z, hii ina maanisha kwamba muda wowote walioko madarakani na katika kundi la wanasiasa (political class) watafurushwa na umma mkubwa kupitia nguvu ya umma people's power

ANGALIZO KUTOKA RIKA LA KATI, KUHUSU WENYE MAMLAKA KUZIBA MASIKIO YAO

View: https://m.youtube.com/watch?v=TeWDerrx2Hw
 
Back
Top Bottom