Gen z wapanga kuharibu nchi yao wenyewe

Gen z wapanga kuharibu nchi yao wenyewe

Hawa vijana wangekuja na solution sio kuandamana tu au kwanini kama wananguvu wasianzishe chama chao siasa halafu walete mabadiliko haya hata kama hawatashinda uraisi watapata wawakilishi bungeni wapiganie agenda zao. Kuandamana kutaka kumtoa mtu aliyechaguliwa kihalali sio sawa kama kuondoka basi kisheria lakini fujo sio njia yes a kumtoa mtu.
Kwani hao vijana wanaoandamana ni kabila gani?

Kwa upande wa siasa za Kenya, tuanzie hapo.

Kama wamtokea makabila tofauti basi siyo lazima waunde chama.
 
mimi nimehoji tu uelekeo wa vuguvugo hili Africa Mashariki...

binafsi kwa Tanzania,
kulingana na mila, desturi na utamaduni wetu wa kistaarabu, kuheshimiana na kuskilizana hatuwezi hata kidogo kufikia hatu ya gen z wa Kenya 🐒
sema kama masuala ya uchaguzi tutacheka nayo km akina NAPE bila udhibiti itakuja kutuletea shida
 
Back
Top Bottom