Gen z wapanga kuharibu nchi yao wenyewe

Kwani hao vijana wanaoandamana ni kabila gani?

Kwa upande wa siasa za Kenya, tuanzie hapo.

Kama wamtokea makabila tofauti basi siyo lazima waunde chama.
 
mimi nimehoji tu uelekeo wa vuguvugo hili Africa Mashariki...

binafsi kwa Tanzania,
kulingana na mila, desturi na utamaduni wetu wa kistaarabu, kuheshimiana na kuskilizana hatuwezi hata kidogo kufikia hatu ya gen z wa Kenya 🐒
sema kama masuala ya uchaguzi tutacheka nayo km akina NAPE bila udhibiti itakuja kutuletea shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…