General Abbas Nilforooshan wa Irani naye ameuawa. Hassan Nasrallah hajaondoka peke yake ana wenzie wengi

General Abbas Nilforooshan wa Irani naye ameuawa. Hassan Nasrallah hajaondoka peke yake ana wenzie wengi

Kwaiyo kuwashambulia watu wakiwa ktk mkutano mwenyeji na wageni wake ndio ushujaaa wa mossad au Israeli.. mbona ni ugaidi au mi sijaelewa wangefanya wenzao tungewasifu pia au tungepiga mikelele ya ugaid w kiislam kweli kuna mazuzu ila ujiona wanamiakili kumbe mitupu ata haki awaijui lkn ukiyasikia yanapigania aki .
 
Kwaiyo kuwashambulia watu wakiwa ktk mkutano mwenyeji na wageni wake ndio ushujaaa wa mossad au Israeli.. mbona ni ugaidi au mi sijaelewa wangefanya wenzao tungewasifu pia au tungepiga mikelele ya ugaid w kiislam kweli kuna mazuzu ila ujiona wanamiakili kumbe mitupu ata haki awaijui lkn ukiyasikia yanapigania aki .
Kilikuwa kikao chakuishambulia Israel so before hawajafikia malengo wao wamemalizana nao just like that
 
Tukio la kigaidi lkn tutaimbiwa nyimbo umu mossad sijui vile lkn story entebe sijui vita siku6 gaza mwaka sasa wayahudi wanakula mlo mmoja kutoka kwa watekaji wao. Awajaweza kuwaokoa lkn kifo cha yule mzee Lebanon mijitu itakuja apa kututisha sijui waisrael awanyi wanapaa wakitembeya wadada wao uwa awaumwi. Tuache unafki mungu anatuona.
 
Tukio la kigaidi lkn tutaimbiwa nyimbo umu mossad sijui vile lkn story entebe sijui vita siku6 gaza mwaka sasa wayahudi wanakula mlo mmoja kutoka kwa watekaji wao. Awajaweza kuwaokoa lkn kifo cha yule mzee Lebanon mijitu itakuja apa kututisha sijui waisrael awanyi wanapaa wakitembeya wadada wao uwa awaumwi. Tuache unafki mungu anatuona.
Wao ndiyo walikuwa kwenye kikao cha kigaidi ili kupanga shambulio la kigaidi, wakawahiwa.
 
Tukitaka kupigania haki imabidi tujikane nafsi zetu asa ktk mitandao recodyetu inabaki apa watu km kins Nelson Mandela wanaishimiwa kwasababu linapokuja jambo lenyekutaka kutasfiri aki uwa awaongozwi na imani zao bali wanaongozwa na aki tu akuna kupepesa macho ukweli ni huu. Diniyangu nisamee apa ukweli ni huuu. Dini zinatufanya tuwe wapumbafu ukweli upo ivi lkn ww unafumba jicho imani ndio mwongozo gaid uyu kisa imani Nelson akuwa bwege kama ww atanyelele miaka ile dunia aikuwa kijiji lkn aligoma kuacha ukweli wa aki alisimama imala kupigania aki..
 
SAYERET MATKAL au GSRU ndio wanaotekeleza hizi oparesheni ngumungumu lakini taarifa zao huwa za siri kuliko za MOSSAD
 
Tukitaka kupigania haki imabidi tujikane nafsi zetu asa ktk mitandao recodyetu inabaki apa watu km kins Nelson Mandela wanaishimiwa kwasababu linapokuja jambo lenyekutaka kutasfiri aki uwa awaongozwi na imani zao bali wanaongozwa na aki tu akuna kupepesa mDuhacho ukweli ni huu. Diniyangu nisamee apa ukweli ni huuu. Dini zinatufanya tuwe wapumbafu ukweli upo ivi lkn ww unafumba jicho imani ndio mwongozo gaid uyu kisa imani Nelson akuwa bwege kama ww atanyelele miaka ile dunia aikuwa kijiji lkn aligoma kuacha ukweli wa aki alisimama imala kupigania aki..
Duh huu uandishi unaonesha kabisa ni mzee wa ilmu aka Kobazi... mpo hovyo sana kichwani.
 
Back
Top Bottom