General Abbas Nilforooshan wa Irani naye ameuawa. Hassan Nasrallah hajaondoka peke yake ana wenzie wengi

General Abbas Nilforooshan wa Irani naye ameuawa. Hassan Nasrallah hajaondoka peke yake ana wenzie wengi

Kwaiyo kuwashambulia watu wakiwa ktk mkutano mwenyeji na wageni wake ndio ushujaaa wa mossad au Israeli.. mbona ni ugaidi au mi sijaelewa wangefanya wenzao tungewasifu pia au tungepiga mikelele ya ugaid w kiislam kweli kuna mazuzu ila ujiona wanamiakili kumbe mitupu ata haki awaijui lkn ukiyasikia yanapigania aki .
Wewe bado mtoto kwenye mambo haya ndio mqana umekuja na utoto kama huu. Kajifunze kwanza ndio urud kuchangia
 
SAYERET MATKAL au GSRU ndio wanaotekeleza hizi oparesheni ngumungumu lakini taarifa zao huwa za siri kuliko za MOSSAD
Kuna vitu hujui.
Hao uliowataja sio intelligence organs, hao ni special comando forces kwaajil ya ku carry out impossible millitary missions, wao kazi yao ni ku engage baada ya kupewa taarifa zilizokuwa collected, analyzed wao ni ku lay down operations tu. Kwahiyo mossad ndio killa kitu. Pia hawa mossad ndio wanaowa feed Kidon as well ambapo hawa hawafany millitary mission ila covet secret assasinations kimya kimya bila kujulikana

Kwakifup mossad ni jidubwasha kuubwa sana..ndio roho ya Israel
 
Kwaiyo kuwashambulia watu wakiwa ktk mkutano mwenyeji na wageni wake ndio ushujaaa wa mossad au Israeli.. mbona ni ugaidi au mi sijaelewa wangefanya wenzao tungewasifu pia au tungepiga mikelele ya ugaid w kiislam kweli kuna mazuzu ila ujiona wanamiakili kumbe mitupu ata haki awaijui lkn ukiyasikia yanapigania aki .
Kajaribu.
 
Kuna vitu hujui.
Hao uliowataja sio intelligence organs, hao ni special comando forces kwaajil ya ku carry out impossible millitary missions, wao kazi yao ni ku engage baada ya kupewa taarifa zilizokuwa collected, analyzed wao ni ku lay down operations tu. Kwahiyo mossad ndio killa kitu. Pia hawa mossad ndio wanaowa feed Kidon as well ambapo hawa hawafany millitary mission ila covet secret assasinations kimya kimya bila kujulikana

Kwakifup mossad ni jidubwasha kuubwa sana..ndio roho ya Israel
Na Jana Waziri Mkuu Wao Kasema.. Hakuna sehemu wasiyoweza kuingia Middle East.
 
Kuua viongozi na watu muhimu katika nchi fulani mbona kila intelligence community duniani inaweza. Ila nchi nyingine huwa zinabehave with civility. Kwani unadhani Iran ikiamua kudedisha wanasiasa wa Israel inashindwa?
 
Huyo Muiran nadhani ndie atakuwa pengine alibeba Simu so Israel wakaona na kusikiliza maongezi..

Inawezekana Iran na Israel wanashirikiana... Iran katoa pesa zake nyingi sana kwa Hezbollah now anaziteketeza kupitia Israel then mambo yatatulia na Israel itafungua Ubalozi wake Teheran
 
Hivi kukiwa na utulivu watu awawezi kuishi binadamu ni wabinafsi sana
Resources ni Chache mzee, Power struggle lazima iwepo mkuu hata Bungani tu huoni Wanyama wanavyokulana that's nature ila pia acha wafe ili ipatikane gap ya Kuzaliwa wengine ni kama Ecosystem kila Component ni Key player kwenye Kufanikisha
 
Tukio la kigaidi lkn tutaimbiwa nyimbo umu mossad sijui vile lkn story entebe sijui vita siku6 gaza mwaka sasa wayahudi wanakula mlo mmoja kutoka kwa watekaji wao. Awajaweza kuwaokoa lkn kifo cha yule mzee Lebanon mijitu itakuja apa kututisha sijui waisrael awanyi wanapaa wakitembeya wadada wao uwa awaumwi. Tuache unafki mungu anatuona.
Tulia uandike vizuri ndugu ili tukuelewe. Zingatia pia kanuni za uandishi. Mfano neno linalostahili kuanza na herufi kubwa, basi litendee haki neno hilo.
 
Back
Top Bottom