Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Wewe bado mtoto kwenye mambo haya ndio mqana umekuja na utoto kama huu. Kajifunze kwanza ndio urud kuchangiaKwaiyo kuwashambulia watu wakiwa ktk mkutano mwenyeji na wageni wake ndio ushujaaa wa mossad au Israeli.. mbona ni ugaidi au mi sijaelewa wangefanya wenzao tungewasifu pia au tungepiga mikelele ya ugaid w kiislam kweli kuna mazuzu ila ujiona wanamiakili kumbe mitupu ata haki awaijui lkn ukiyasikia yanapigania aki .
