Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Sasa mkuu katika vita, hairuhusiwi kupigwa mkiwa mkutanoni?Kwaiyo kuwashambulia watu wakiwa ktk mkutano mwenyeji na wageni wake ndio ushujaaa wa mossad au Israeli.. mbona ni ugaidi au mi sijaelewa wangefanya wenzao tungewasifu pia au tungepiga mikelele ya ugaid w kiislam kweli kuna mazuzu ila ujiona wanamiakili kumbe mitupu ata haki awaijui lkn ukiyasikia yanapigania aki .