Sasa mkuu katika vita, hairuhusiwi kupigwa mkiwa mkutanoni?Kwaiyo kuwashambulia watu wakiwa ktk mkutano mwenyeji na wageni wake ndio ushujaaa wa mossad au Israeli.. mbona ni ugaidi au mi sijaelewa wangefanya wenzao tungewasifu pia au tungepiga mikelele ya ugaid w kiislam kweli kuna mazuzu ila ujiona wanamiakili kumbe mitupu ata haki awaijui lkn ukiyasikia yanapigania aki .
Mbona kama umepaniki hata hueleweki umeandika nini. Mpaka sasa wastani wa vifo kati ya wayahudi na wapalestine ni. Mwisrael 1 sawa na wapalestina 95 plus Nani anapoteza?Tukio la kigaidi lkn tutaimbiwa nyimbo umu mossad sijui vile lkn story entebe sijui vita siku6 gaza mwaka sasa wayahudi wanakula mlo mmoja kutoka kwa watekaji wao. Awajaweza kuwaokoa lkn kifo cha yule mzee Lebanon mijitu itakuja apa kututisha sijui waisrael awanyi wanapaa wakitembeya wadada wao uwa awaumwi. Tuache unafki mungu anatuona.
Watapigwa tu popote pale hata wakiwa wanajisaidia.Kwaiyo kuwashambulia watu wakiwa ktk mkutano mwenyeji na wageni wake ndio ushujaaa wa mossad au Israeli.. mbona ni ugaidi au mi sijaelewa wangefanya wenzao tungewasifu pia au tungepiga mikelele ya ugaid w kiislam kweli kuna mazuzu ila ujiona wanamiakili kumbe mitupu ata haki awaijui lkn ukiyasikia yanapigania aki .
Dogo umeongea kama kilaza sana. Rais wa Irani ameuawa. Iran kwa nini wasimuuwe Netanyau? Intellejensia ni kupiga kichwa siyo mkia. Ndo maana Rais ana ulinzi mkubwa kuliko wewe Nyantungemwa.Kuua viongozi na watu muhimu katika nchi fulani mbona kila intelligence community duniani inaweza. Ila nchi nyingine huwa zinabehave with civility. Kwani unadhani Iran ikiamua kudedisha wanasiasa wa Israel inashindwa?
Kabisa kabisa........Na Jana Waziri Mkuu Wao Kasema.. Hakuna sehemu wasiyoweza kuingia Middle East.
Katika mbinu za kivita, Iran wala haiwezi kuikaribia Israel hata kwa mbali.Kuua viongozi na watu muhimu katika nchi fulani mbona kila intelligence community duniani inaweza. Ila nchi nyingine huwa zinabehave with civility. Kwani unadhani Iran ikiamua kudedisha wanasiasa wa Israel inashindwa?
Waisraeli walimuua mtume muhd kwa sumu tu mpaka leo hajafufukaTukio la kigaidi lkn tutaimbiwa nyimbo umu mossad sijui vile lkn story entebe sijui vita siku6 gaza mwaka sasa wayahudi wanakula mlo mmoja kutoka kwa watekaji wao. Awajaweza kuwaokoa lkn kifo cha yule mzee Lebanon mijitu itakuja apa kututisha sijui waisrael awanyi wanapaa wakitembeya wadada wao uwa awaumwi. Tuache unafki mungu anatuona.
Mgeni kutoka Facebook , hujui sababu gani Hezbollah wanapewa kichapo?Kwaiyo kuwashambulia watu wakiwa ktk mkutano mwenyeji na wageni wake ndio ushujaaa wa mossad au Israeli.. mbona ni ugaidi au mi sijaelewa wangefanya wenzao tungewasifu pia au tungepiga mikelele ya ugaid w kiislam kweli kuna mazuzu ila ujiona wanamiakili kumbe mitupu ata haki awaijui lkn ukiyasikia yanapigania aki .
Hivi haya Huwa ni mapete ya ndoa au?Imenisikitisha sana. Hawa Israel wanawezaje hawa Mayahudi? Hii inawezekana vipi? Putin ashawahi kusema anahisi amezungukwa na Mayahudi wengi sana kwenye Uongozi wake. Kiasi hajui yupi ni yupi
Pata habari kamili.
View: https://x.com/vcdgf555/status/1840014956416438771?t=bPdKYLq7LtQIsz-5M7226g&s=19
We ulijuaje kuwa za Siri?SAYERET MATKAL au GSRU ndio wanaotekeleza hizi oparesheni ngumungumu lakini taarifa zao huwa za siri kuliko za MOSSAD
Huku watu wanakutana ngarenanyuki wanafanya mkutano wa uhaini wanaishia kuja kusimangwa kwenye jukwaa. 😅😅😅Yeah!..walishambuliwa wakiwa kwenye mkutano, hivyo wamekufa wengi
Hata pumzi usivute kavutie chini ya uvungu huko..MOSSAD/IDF.........Ukiskia hivi vitu kimbia kama umemuona Pdiddy
Hivi hawawezi kuja Tz mara moja watusaidie kudeal na wasiojulikana?Imenisikitisha sana. Hawa Israel wanawezaje hawa Mayahudi? Hii inawezekana vipi? Putin ashawahi kusema anahisi amezungukwa na Mayahudi wengi sana kwenye Uongozi wake. Kiasi hajui yupi ni yupi
Pata habari kamili.
View: https://x.com/vcdgf555/status/1840014956416438771?t=bPdKYLq7LtQIsz-5M7226g&s=19
Sema ndugu yangu mambo mengine tuww serious kabisa. Mtu anaua viongozi wake na wewe viongozi wake unawajua na uwezo wa kuwaua unao ila hawaui? Kweli inamake sense?Kuua viongozi na watu muhimu katika nchi fulani mbona kila intelligence community duniani inaweza. Ila nchi nyingine huwa zinabehave with civility. Kwani unadhani Iran ikiamua kudedisha wanasiasa wa Israel inashindwa?
Ukifuatilia posts za wachangiaji wengi wanashangilia Hezbollah kupigwa na sio Lebanon.Kwayo Leo mmefuraiya sana kuona Lebanon wamepigika yule mzee kauwawa endeleeni kushehelekea watu sampuli zenu mkipata nafasi za yoyote ya kiuongozi ndio mnakuja kuchinja watu. Mmeandaliwa kushelekea damu za wenzenu uko mkidhani mungu wenu anawasapot
Mbona kama umepanic🤣🤣Tukio la kigaidi lkn tutaimbiwa nyimbo umu mossad sijui vile lkn story entebe sijui vita siku6 gaza mwaka sasa wayahudi wanakula mlo mmoja kutoka kwa watekaji wao. Awajaweza kuwaokoa lkn kifo cha yule mzee Lebanon mijitu itakuja apa kututisha sijui waisrael awanyi wanapaa wakitembeya wadada wao uwa awaumwi. Tuache unafki mungu anatuona.
GoodWao ndiyo walikuwa kwenye kikao cha kigaidi ili kupanga shambulio la kigaidi, wakawahiwa.
Amewawahi wale 72Imenisikitisha sana. Hawa Israel wanawezaje hawa Mayahudi? Hii inawezekana vipi? Putin ashawahi kusema anahisi amezungukwa na Mayahudi wengi sana kwenye Uongozi wake. Kiasi hajui yupi ni yupi
Pata habari kamili.
View: https://x.com/vcdgf555/status/1840014956416438771?t=bPdKYLq7LtQIsz-5M7226g&s=19