Mende mdudu
Senior Member
- Feb 13, 2023
- 111
- 223
Yericko ni mwisho wa mambo ya Intelligence 😅Nimechagua kua upande wa kagame kwa kua na sifa zote za kiongozi bora anazo loyal kwa watu wake wa rwanda anaiweka rwanda kwanza na watu wake hutu and tuts na sio maslahi binafsi
Intelligence, ni baba wa ujasusi east and central africa , labda kidogo yeriko ndo ata mfikia( jokes)
Kiongozi anae jali maslahi ya watu wake aongoze ata miaka 2000 as long as yupo kwa ajili ya watu mitano tena kwa kagame
Kaenda adi urusi kuandika kitabu cha Moscow operation Ukraine 🤣🚶🚶Yericko ni mwisho wa mambo ya Intelligence 😅
Ngoma ikilia sana InapasukaNimechagua kua upande wa kagame kwa kua na sifa zote za kiongozi bora anazo loyal kwa watu wake wa rwanda anaiweka rwanda kwanza na watu wake hutu and tuts na sio maslahi binafsi
Intelligence, ni baba wa ujasusi east and central africa , labda kidogo yeriko ndo ata mfikia( jokes)
Kiongozi anae jali maslahi ya watu wake aongoze ata miaka 2000 as long as yupo kwa ajili ya watu mitano tena kwa kagame
😅😅😅 inabidi mamlaka zimuangalie kwa ukaribu sana, na ikipendeza aukwae u DGTISSK
Kaenda adi urusi kuandika kitabu cha Moscow operation Ukraine 🤣🚶🚶
Yeriko ndio nanYericko ni mwisho wa mambo ya Intelligence 😅
Wewe humjui Yeriko ?Yeriko ndio nan
Nenda kaipasueNgoma ikilia sana Inapasuka
We ndio mkubwa?Acheni kumkuza kiongozi huyo wa Rwanda, hana ukubwa huo
Amani Gani umeijenga we ni muoga huna amaniHana lolote ni kumuhurumia tu, na wengine hatutaki kuharibu amani tuliyoijenga miaka mingi
Ndio hujapewa SasaHata mm nikipewa kanchi kama rwanda kakanishinda kweli ntakua kilaza wa mwisho. Kagame is overrated
Jasusi wa bamia 😀😀😀😀Yericko ni mwisho wa mambo ya Intelligence 😅
Acha ujinga.Nimechagua kua upande wa kagame kwa kua na sifa zote za kiongozi bora anazo loyal kwa watu wake wa rwanda anaiweka rwanda kwanza na watu wake hutu and tuts na sio maslahi binafsi
Intelligence, ni baba wa ujasusi east and central africa , labda kidogo yeriko ndo ata mfikia( jokes)
Kiongozi anae jali maslahi ya watu wake aongoze ata miaka 2000 as long as yupo kwa ajili ya watu mitano tena kwa kagame
Ana ukubwa gani?Acheni kumkuza kiongozi huyo wa Rwanda, hana ukubwa huo