General Kagame is the beist of Africa

General Kagame is the beist of Africa

Mende mdudu

Senior Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
111
Reaction score
223
Nimechagua kua upande wa kagame kwa kua na sifa zote za kiongozi bora anazo loyal kwa watu wake wa Rwanda anaiweka rwanda kwanza na watu wake hutu and tuts na sio maslahi binafsi

Intelligence, ni baba wa ujasusi east and central Africa , labda kidogo yeriko ndo ata mfikia( jokes)

Kiongozi anae jali maslahi ya watu wake aongoze ata miaka 2000 as long as yupo kwa ajili ya watu mitano tena kwa Kagame
 
Nimechagua kua upande wa kagame kwa kua na sifa zote za kiongozi bora anazo loyal kwa watu wake wa rwanda anaiweka rwanda kwanza na watu wake hutu and tuts na sio maslahi binafsi

Intelligence, ni baba wa ujasusi east and central africa , labda kidogo yeriko ndo ata mfikia( jokes)

Kiongozi anae jali maslahi ya watu wake aongoze ata miaka 2000 as long as yupo kwa ajili ya watu mitano tena kwa kagame
Yericko ni mwisho wa mambo ya Intelligence 😅
 
Nimechagua kua upande wa kagame kwa kua na sifa zote za kiongozi bora anazo loyal kwa watu wake wa rwanda anaiweka rwanda kwanza na watu wake hutu and tuts na sio maslahi binafsi

Intelligence, ni baba wa ujasusi east and central africa , labda kidogo yeriko ndo ata mfikia( jokes)

Kiongozi anae jali maslahi ya watu wake aongoze ata miaka 2000 as long as yupo kwa ajili ya watu mitano tena kwa kagame
Ngoma ikilia sana Inapasuka
 
Hana lolote ni kumuhurumia tu, na wengine hatutaki kuharibu amani tuliyoijenga miaka mingi
 
Acheni kumkuza kiongozi huyo wa Rwanda, hana ukubwa huo
 
Hata mm nikipewa kanchi kama rwanda kakanishinda kweli ntakua kilaza wa mwisho. Kagame is overrated
 
Nimechagua kua upande wa kagame kwa kua na sifa zote za kiongozi bora anazo loyal kwa watu wake wa rwanda anaiweka rwanda kwanza na watu wake hutu and tuts na sio maslahi binafsi

Intelligence, ni baba wa ujasusi east and central africa , labda kidogo yeriko ndo ata mfikia( jokes)

Kiongozi anae jali maslahi ya watu wake aongoze ata miaka 2000 as long as yupo kwa ajili ya watu mitano tena kwa kagame
Acha ujinga.
Jiandaeni soon, tunawarudisha kwenu Rwanda.
 
Acheni mzaha, hawezi kuwa na sifa hizo huku nchi yake ikiwa na GDP ya USD 14 Bilioni.
 
Back
Top Bottom