General Muhoozi akishika madaraka tutafata Tanzania baada ya kuwa DRC wameisha, tujipange

Hao hawaelew uganda rwanda zimbabwe wanakuja Tz kuja kuchukua mafunzo ya kijeshi na mambo ya diplomasia..
Kwahiyo China inavyokuja kuchukua mafunzo na mbinu mbalimbali ina maana tumewazidi? Hujui kama mataifa makubwa wababe wa vita wanajifunza kwa nchi ndogondogo nyingi tu?
 
Dunia imerudi enzi za kutishana sana,
 
Huna Akili hasa kwa kusema kuwa CDF Muhoozi ni Kichaa na katika Maelezo yako nimegundua kuwa Wewe ndiyo Kichaa hasa halafu huna unachokijua zaidi tu ya Kuhemka. Uganda ya Museveni na Mwanae Muhoozi na Rais Kagame haina na kamwe haitokuja kuwa na Uadui na Tanzania ambayo si kuwa Wanaiheshimu bali pia Wanaipenda kwakuwa ndiyo iliyowajenga na kuwasaidia vingi. Mtafute Mtu makini akuelimishe kuhusu Urafiki wa Kindugu na wa Kudumu wa Uganda na Rwanda dhidi ya Tanzania kwa Heshima kubwa ya Baba wa Taifa Hayari Mwalimu Nyerere na Waandamizi Wastaafu Wawili ambao bado wako Hai mmoja akiishi Masaki na mwingine Mabwepande.

Nimemaliza.
 
Naizima hoja yako kwa swali 1 tu!

Kama Kagame anaipenda Tanzania kwa nini vikosi vyake viliua askari 2 wa Tanzania na kujeruhi 4 huko North Kivu wakati wanaiteka Goma?
 
M23 msiwachukulie poa, jeshi la congo, afrika kusini, burundi wakisikia m23 wako karibu wanakuja wanaacha silaha wanakimbia, hicho kishindo cha m23 na milio ya mizinga, drones sio mchezo kabisa, jamaa wamejipanga
Wale jamaa hata wakipigwa leo. Wakiondoka wataenda kujipanga tena, wakirudi ni wa moto zaidi.
 
Kama huyu kichaa naye watampa urais basi ntaamini weusi wa Africa mashariki tuna shida na genetically tulifanyiwa manipulation wakabaki wakenya pekee! Huenda wajerumani sio wajinga kubeba mafuvu ya watawala wote wa jadi waliowasumbua miaka zaidi ya 100+ iliyopita
 
Jiandae tu. Huyo ndo next President of Uganda na kwa sasa tu yeye ni De facto President!
 
Jiandae tu. Huyo ndo next President of Uganda na kwa sasa tu yeye ni De facto President!
Urais sio kama kufuga moustache, hata akipewa na baba yake kama urithi atafeli big time, na ataleta chaos kiasi ambacho hata hao uncle zake hawatamvumilia ukiazi wake! So premature...
 
Kama Una "CounterIntelligence" ya 'Maana' hutakiwi kuwa na wasiwasi!!

Nawaza, naweza kuwa sipo sahihi kwa kuwaza hivi; kwa hiyo, ruksa kunikosoa hata kwa kurusha povu poa tu!!!
Huna sababu ya kuogopa kusema unachowaza pedeshee.

Hata mm nawaza kama unavyowaza.

Una Intelligence unaweka Jamiiforums?

Yani unasema hamna njia inayoeleweka kufikisha ujumbe?πŸ€¨πŸ€” mpaka iwe JamiiforumsπŸ˜‚πŸ€”

Inatuambia nn hiyo batanzanie?
 
JWZT Watu sijui mnawachukuliaje.. TISS sijui mnaichukulia aje....

Hapa Africa ukitoa nchi kama 4 hakuna wa kuweza kushinda vita na Tz hayupo..
Sijafika mwisho kusoma nyuzi hii, ila na uhakika wamekudhihaki kwa kuposti Ukweli usiopingika.

πŸ€œπŸ€›
 
JWTZ kama wanaiona hii habari wasiipuuze.... na nyie machawa hizi ndio habari za kumpelekea Samia na mawaziri wake na sio kumpelekea habari zinazohusiana na Lisu anapanga mikakati gani...
Kwanini aliyeleta hii habari yy mwenyewe asipeleke? Au hana visa ya kuingia nchini? Nawaza tyu.
 
Mambo mengine kukaa kimya tu, utakuja kuonekana mtutsi sijui mhutu, tuendelee kuiombea nchi yetu ikae ktk amani.
 
Ndio maana ya uwepo wa picha hii mkuu?πŸ‘‡
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa hiyo una wasiwasi na hili jeshi ambalo wanajeshi wake hupata hiyo nafasi kwakuwa tu wana kadi za yuvisisiemu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…