Kama hayo uyasemayo ni kweli basi ni heri.JWZT Watu sijui mnawachukuliaje.. TISS sijui mnaichukulia aje....
Hapa Africa ukitoa nchi kama 4 hakuna wa kuweza kushinda vita na Tz hayupo..
Hutu extremist.Aliye trigger genocide ni nani?
Hutu extremist..
Rwandan genocide ilikuwa triggered baada ya ndege ya raising wa rwanda kudunguliwa angani.Hutu extremist.
Hiyo ilikuwa ni signal tu ili mauaji yaanze Mapanga yalipelekwa na Kabuga Felicien siku nyingi kabla.Rwandan genocide ilikuwa triggered baada ya ndege ya raising wa rwanda kudunguliwa angani.
Upo hapo.
Unamjua Robert kajuga??Hiyo ilikuwa ni signal tu ili mauaji yaanze Mapanga yalipelekwa na Kabuga Felicien siku nyingi kabla.
Wewe utakua mtutsi. Usitutoe kwenye reli maana ndio zenu. Tunajua tunachokiongelea.Theory za kipuuzi kama hizi ndo mmekali kama utetezi😀😀😀
Acheni PROPAGANDA na muwe serious KAINURUGABE NI CHIZI NA HUYO MJOMBA WAKE IS NOT A JOKE!!!
Kila siku ukiuliza misheni zipi zinatuweka katika medani utaambiwa mambo ya mwaka arobaini na saba mambo ya USHELISHELI,MAMBO YA MWAKIBOLWA,MAMBO YA KIBITI,MAMBO YA MADAGASCAR,,,DUNIA IMEHAMIA KWENYE DRONES NA MACOMPYUTA!!!
🚨🚨🚨Kama yule dogo alivaa mavazi ya kijeshi na akajipa nyota mbili.Mpaka leo hakuna maelezo ya kueleweka.M23 mtawaweza kweli???!!!