General Muhoozi akishika madaraka tutafata Tanzania baada ya kuwa DRC wameisha, tujipange

Hii jamii ya watutsi ina matatizo namna ya mwelekeo wao wanavyoishi.

Ukiwaambia ukweli kuwa mna changamoto ABC na itawajengea taswira mbaya kwenye jamii mnabidi mbadilike, wao badala ya kukusikiliza na kutafakari wao wanakutuhumu.

Na kimojawapo ni hicho ulichokizungumzia. Haiwezekani wanajeshi wa Tz wanauliwa wao wanashangilia.

Usalama wa Tz unakuwa hatiani na watanzania wanakuwa na hofu na kutoa rai mbalimbali za namna nchi yao ifanye mambo yapi ya msingi ijihami, hao wenzetu wapo pamoja na ambao wanaonekana ndiyo chanzo cha tatizo. Halafu wanajiita watanzania. Hii haikubaliki.

Na msimamo wako ndiyo msimamo wangu, hawa watu ni wa kufukuzwa wote warudi huko huko Rwanda.
 
Jeshi linalojiiingiza waziwazi kwenye mambo ya siasa unaweza kufahamu uwezo wao.
 
Kuwa mafunzo stahiki TPDF, kuwa na silaha za kisiasa na kuwa na uhusiano mzuri wa kijeshi na nchi miamba katika mambo ya kijeshi ni muhimu sana lakini kuwa na uoga wa kike eti tunaweza kuvamiwa na nchi jirani pasina sababu yoyote ni upuuzi uliokithiri.
Kuivamia TZ na kuteka maeneo haiwezi kuwa rahisi kama ilivyo kwa wapuuzi wa DRC ambao hawako tayari kupigania taifa lao bali wajuacho ni kupiga kelele mitandaoni na kuomba nchi nyingine zipigane kwa niaba yao huku wako wakiendelea kucheza mayenu.
 
Hata kipindi cha Iddi Amini inasemwa mwanzoni Nyerere hakuamini kabisa kama Iddi Amini angeweza kuvamia kweli Tanzania upande wa Kagera.

Amini alivyokuwa akiongea kuwa Kagera ni yake, Nyerere alifikiria ni maneno tu ya mlevi kufurahisha Genge.

Siku alipoambiwa jamaa wameingia kweli ndipo alipojua hakuna ulevi kwenye kutishia vita!
 
JWZT Watu sijui mnawachukuliaje.. TISS sijui mnaichukulia aje....

Hapa Africa ukitoa nchi kama 4 hakuna wa kuweza kushinda vita na Tz hayupo..
Labda mimi sifahamu, uwezo wa kupambana kivita unapimwa vipi?
Mfano mpira ni kuwa na kikosi kinachoshinda game zake bila wasiwasi
 
CHAWA wamemwambia MamaSamia2025 kwamba Dr. Slaa ni MTU hatari SANA
Na hapo ndipo uwezo wao wa kifikra na intelijensia ulipoishia, na wanaona wamelisaidia kweli taifa wajinga hao, na wakati huo hapo Arusha kuna jamaa wanasafirisha madini ya tanzanite kinyemela na kwenda kuyauzia Kenya.

Yaani hii nchi mwanasiasa wa upinzani ni hatari kwa taifa kuliko hata muhujumu uchumi au mkwepa kodi. Inaudhi sana
 
Mimi naamini zipo haswa dhidi ya Kabila la Wachaga labda tuseme ni za kisiasa.
Achana nazo, na uzuri wachaga wanajijua sio rahisi kuwarubuni. Kifupi they are a head of orhers, kumbuka 1900s walipeleka watoto kusoma uk, na 1930 walikuwa na shule na cooperative union strong na walikuwa the first tribe kuwa na gazette na mkipewa kazi moja wewe na yeye atakuoutshine . So chill and they love their country ni watu wazuri sana.
 
Mimi ni Pan Africanist sipendi kuna Jamii yoyote ya Kiafrika inaonewa Afrika kwasasa inatakiwa New Thinking.
Wewe sio Mwana Africa kama unavyodai. Unajua shida wanazopitia wakongo ? Mara wakatwe vichwa na waislam, sasa Wanyarwanda wameichukua kibabe, siku nyingine wavamiwe na vijiji kuchomwa moto,, mbona husemi lolote, kazi yako kimpigania na kumtetea mwehu, kichaa na muuaji Kagame.
 
Na namba ya wanajeshi pia iwe kubwa,
Moja kati ya mambo ya kuzingatia ili jeshi liwe na heshima
Niliwahi kuwa na shemeji yako mmoja mjeda, aliniambia kwamba kwa Tanzania yetu hii tuna military active personel ya 24,000 na reserve ni 80,000 ambapo jumla yake ni kama 104,000 ya jeshi lote tulionao... halafu wakati huo population yetu ni 61m

Huu ni utani wa hali ya juu..... kazi kununua mav8 kila mwaka badala ya kuimalisha ulinzi wa taifa.

Wakati huo Rwanda yenye population ya watu 12m tu wana active personnel 33,000
 
Matatizo ya Kongo yako by design tokea Kongo inaasisiiwa kama Nchi na Mfalume wa Belgium ilikuwa iwe ni shamba lake binafsi.

Sasa kumsingizia Kagame haumtendei Haki na tatizo la Kongo limaenda kuzidi kuwa kubwa kikao cha Nairobi kikao cha Luanda vyote vimekuja na Solutions lakini Raisi wa DRC hataki implementation ifanyike anataka Millitary solution mbona haumlaumu mbona unasambaza Propaganda za anti Rwanda ambazo hata huko mitandaoni zimejaa.
 
Matatizo ya Congo waachieni wenyewe. Ninyi mnasema lazima muipige kuwatetea watusi wahamiaji, banyamulenge. Na sasa mnadai nafasi jeshini, na utawala. Nawajua watutsi ni marafiki zangu, naishi nao. Ni watu wanaamini kumiliki, kutawala na kuwa superior
 
Inaitwa Tutsi empire or bahima empire.lisemwalo lipo
 
kuwatetea watusi wahamiaji, banyamulenge.
Msikilize Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere almeliongelea jambo hili kwa mapana na marefu kwahiyo wewe badala kuamini aliyoyasema Mwalimu unaenda kuamini Propaganda za TikTok na Instagram.
 
Mumeo amekuachia ili ukajisafishe janaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…