Theory za kipuuzi kama hizi ndo mmekali kama utetezi😀😀😀
Acheni PROPAGANDA na muwe serious KAINURUGABE NI CHIZI NA HUYO MJOMBA WAKE IS NOT A JOKE!!!
Kila siku ukiuliza misheni zipi zinatuweka katika medani utaambiwa mambo ya mwaka arobaini na saba mambo ya USHELISHELI,MAMBO YA MWAKIBOLWA,MAMBO YA KIBITI,MAMBO YA MADAGASCAR,,,DUNIA IMEHAMIA KWENYE DRONES NA MACOMPYUTA!!!
🚨🚨🚨Kama yule dogo alivaa mavazi ya kijeshi na akajipa nyota mbili.Mpaka leo hakuna maelezo ya kueleweka.M23 mtawaweza kweli???!!!