imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kweni wewe huioni Antihamitism inavyosambazwa na Jamii za Kihutu?! Hujui kama Ham na Sam ni ndugu?!Wakiambiwa ukweli, wewe ni Antisemitic.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweni wewe huioni Antihamitism inavyosambazwa na Jamii za Kihutu?! Hujui kama Ham na Sam ni ndugu?!Wakiambiwa ukweli, wewe ni Antisemitic.
Hilo suala mkui umeongea. Kakwel mchakato wa waomba ridhaa ya kwenye vyama vyao uwe unapitiwa na vyombo vya usalama.Namba 4 na kuhusu vifaa vya kivitq vya kisasa, ongezea na kuboresha maslahi hasa kupindisha viwango kwenye incentive scheme ya jeshi, na nchi ijenge utamaduni wa kuwa na Rais Imara na sio Bora Rais
Unaongelea Tanzania ya Nyerere au hii ya machawa kinamwaijaku,diamond?JWZT Watu sijui mnawachukuliaje.. TISS sijui mnaichukulia aje....
Hapa Africa ukitoa nchi kama 4 hakuna wa kuweza kushinda vita na Tz hayupo..
Mkuu hakuna suala kama hilo, kiufup tabia za viongoz wa kitutsi ktk mataifa haya EAC zinaonyesha itikad za umafia.Kweni wewe huioni Antihamitism inavyosambazwa na Jamii za Kihutu?! Hujui kama Ham na Sam ni ndugu?!
Ujasusi.. kwanini Tulia alikataa kwenda kuonana na rais wa Ukraine badala yake akaenda Russia? kwanini idara yatu ya ujasusi ili laumiwa sana? matokeo yake sasa hvi yapoje? ni kwamba idara yetu iliona hatma ya huu mgogoro? na kushauri aende russia badala ya ukraine?Unaongelea Tanzania ya Nyerere au hii ya machawa kinamwaijaku,diamond?
Tanzania tupo mwaka wa uchaguzi... Ngoja kwanza tumalize hili fupa letuNimesoma mahali DRC ameenda kuomba msaada CHAD🤣🤣🤣🤣🤣
Jumuiya za EAC na SADC ni BIG JOKES!!!Member states zipo zipo tu kama jumuiya za Vikoba.UAFRICA NI LAANAAAA!!!AIBU NIMEONA MIMI😬😬😬
Kwenye hizi Jumuiya za kikanda ni UNAFIKI MTUPU UNAENDELEA.Hivyo mwenye nguvu ajitwalie tu asali na maziwa.
Jana nilikuwa nimekaa na Kijana wa Kihutu kutoka Burundi katika maongezi aliniambia kuwa huko Burundi Watutsi wanauliwa KIMYA KIMYA wanasema ile style ya 94 Rwanda haifai bali inafanywa style mpya ya KIMYA KIMYA.Yaani wanafanya vituko kibaoo sana.
Hebu jaribu kuwaza kwamba kama jamii zisizo za kihima wangewatazama au kuwafanyia the same ingekueaje?
Uchaguzi upi na mshindi anajulikana embu acheni kuleta sababu sababu.Toeni hoja bwana😂😂😂Tanzania tupo mwaka wa uchaguzi... Ngoja kwanza tumalize hili fupa letu
Mkuu ya sasa hain siri,kwahyo hiyo hulka ya kusaliti nchi unayoishi kisa ukabila ni ufala.Hivi magaidi ya Kiislamu yamayotaka Tanzania iwe Dola la Kiislamu na Watutsi wetu wa Tanzania wanaojichungia Mifugo yao nani ni "adui"?!
Mkuu hakuna haja ya kuchangiana. Ni uzalendo wangu tu na mapenzi yangu ya dhati kwa taifa langu.Mkuu weka namba yako hapa tukuchangie hata teni teni kwa uzalendo uliotukuka...
Shida ni moja tu... Jeshi letu lijitahidi listing ikiendelea kabisa siasa. Kama kipindi kafariki Magu, CDF akaamuru katiba ifuatwe... Libaki hivyo nasi wananchi tunalipenda na kulithamini sana.
Hakuna watutlsi wanaoweza kuuliwa wazijue kias kwamba mpaka usubir stor za vijiwen.Jana nilikuwa nimekaa na Kijana wa Kihutu kutoka Burundi katika maongezi aliniambia kuwa huko Burundi Watutsi wanauliwa KIMYA KIMYA wanasema ile style ya 94 Rwanda haifai bali inafanywa style mpya ya KIMYA KIMYA.
Na hautaona jamiii yoyote ya Kiafrika itakayosema kitu kama ilivyokuwa Mauaji ya Kimbari huko Rwanda UN Ufaransa Tanzania Kenya zote zilikaa kimya.
Mimi natoa ushauri kwa Jamii Kitutsi kuwa ijilinde na isaidiane kujilinda ndio maana kila siku nasema kuwa Rais Paul Kagame yuko sahihi kusaidia kuilinda Jamii yake inayomalizwa na Watu wenye roho mbaya.
Hatuna maslahi ya moja kwa moja huko Congo, wao wenyewe hawaeleweki..Uchaguzi upi na mshindi anajulikana embu acheni kuleta sababu sababu.Toeni hoja bwana😂😂😂
Tz hadhi yake sio ya kuogopa kufanya mambo kisa uchaguzi. Kikongwe wa miaka 60+ bado anatoa sababu mufilisi kama hizo kweli???!!!!
PK anawanyima usingizi hadi nyie waswahili ?JWTZ
Najua mnafahamu kuwa endapo lolote likitokea Uganda hata leo, Rais anayefuata wa Uganda ni Generali kichaa Muhoozi Kainerugaba.
Najua mnafaham kuwa Muhoozi na Mjomba wake Kagame wanaamini sana kwenye theory ya Expansionism! Kwa Kagame na Muhoozi maeneo ya Afrika Mashariki yanapaswa kuwa nchi moja (imaya moja) na wao kuwa Viongozi wa hiyo nchi.
Sote tunafaham, miaka ya hivi karibuni Kagame na Muhoozi wamekuwa wakiyaimarisha sana majeshi yao. Uimarishaji huu unaenda sambamba na kununua vifaa vya kisasa vya teknolojia ya Juu sana.
Taarifa zinasema kwenye ziara ambazo Kagame amekuwa akizifanya UAE, Uturuki na nchi zingine, amekuwa akinunua vifaa vya kisasa kwa ajili ya majeshi yake ikiwemo Drones, Makombora ya kutungulia ndege na Silaha nyingine za teknolojia mpya na za kisasa.
Wito wangu kwenu!
1. Kuanza sasa wekezeni heavily kwenye mafunzo ya kutumia silaha za kisasa za teknolojia mpya. Mf. Drones makombora ya kisasa na nyinginezo.
2. Kuanzia sasa wekezeni sana kwenye kununua silaha za kisasa za teknolojia mpya. Kuanzia Vifaru, Makombora, Ndegevita na hata Ndege zisizotumia rubani (UAV/Drones)
3. Imarisheni sana Kamandi yenu ya Wanamaji. Nadhani mmejifunza namna Rwanda na M23 walivyoingia Goma na Lubavu kupitia Ziwa Kivu. Kuna haja kubwa sasa kuwa na Kambi Kubwa za Kijeshi za Wanamaji kwenye Maziwa ya Victoria na Tanganyika. Kambi hizi ziwekewe vifaa vya kisasa na bora kabisa vya kivita na Wanajeshi wetu wapewe mafunzo bora kabisa kuhudumu kwenye silaha hizo.
4. Imarisheni sana Uhusiano na Mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hasa Marekani na China. Ingawa mnafanya vizuri kwenye hili, ila ongezeni sana ushirikiano kwenye eneo hili. Pelekeni maofisa wengi kwenye mafunzo vyuo vya nje vya kijeshi wachukue utaalam na waje kuwafundisha wenzao.
5. Mwisho ingawa sio kwa umuhimu, wekezeni basi hata kwenye mavazi mazuri na nadhifu kwa wanajeshi wetu pamoja na other protective gears (Mabuti mazuri na viatu vizuri vya kiaskari). Hivi karibuni naona Askari wetu wanavaa nguo kuu kuu zilizochoka sana. Wafanyeni askari wetu wawe proud kuvaa nguo zao. Watengenezeeni nguo na mavazi mazuri ya kijeshi yanayowafanya sio tu wawe vizuri ila wapendeze na kuonekana askari nadhifu wanaojaliwa vizuri. Kwenye hili mjifunze kwa wenzenu wa Rwanda.
View attachment 3243938View attachment 3243939
View attachment 3243925View attachment 3243927
View attachment 3243921View attachment 3243922View attachment 3243928View attachment 3243924
Zamani hapa Tanzania na haswa Tanzania ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kulikuwa hakuna chuki dhidi ya Watutsi lakini hii Trend ya kuchukia Watutsi ilikuja baada ya Vita vya Rwanda na Wakimbizi zaidi milioni 2 kuingia Bongo Country wakimbizi hao walikuwa wengi wao ni Wahutu kutoka Rwanda ndio tukaanza kuona Chuki dhidi ya raia wa Kitutsi ikiambukizwa kwenye Taifa letu pendwa la Tanzania.Mk
Mkuu ya sasa hain siri,kwahyo hiyo hulka ya kusaliti nchi unayoishi kisa ukabila ni ufala.
Imagine wamasaai,wakurya na wajaluo w tz n kenya ushawahi kuona wanahuishwa na huo ujinga?
Hilo swali lako sio la msingi sana, ila cha msingi nkwamba hakuna kitu ambacho hakipo waz, sema ndo hivo jamii zingine zimestaaribika. Dizain wanachukulia poa tuu kwahyo achen ndoto za mchana. Watu wasije amka hali ya hewa ikawa sio.
Wewe wasema...JWZT Watu sijui mnawachukuliaje.. TISS sijui mnaichukulia aje....
Hapa Africa ukitoa nchi kama 4 hakuna wa kuweza kushinda vita na Tz hayupo..
Undugu gani huo wa kuteka nchi na kuuwa. Uganda, Mtusi, Rwanda Mtusi, Congo mmeingia. Sasa mnaelekea Burundi. Baada ya hapo Tanzania itawekwa mtu kati. Mnataka kutawala Africa nzima ?Kweni wewe huioni Antihamitism inavyosambazwa na Jamii za Kihutu?! Hujui kama Ham na Sam ni ndugu?!
Shida sio wakimbizi. Mlikosea kumtungua Habyarimana na kuanzisha genocide 1994. Chuki ya watutsi haijifichi.Zamani hapa Tanzania na haswa Tanzania ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kulikuwa hakuna chuki dhidi ya Watutsi lakini hii Trend ya kuchukia Watutsi ilikuja baada ya Vita vya Rwanda na Wakimbizi zaidi milioni 2 kuingia Bongo Country wakimbizi hao walikuwa wengi wao ni Wahutu kutoka Rwanda ndio tukaanza kuona Chuki dhidi ya raia wa Kitutsi ikiambukizwa kwenye Taifa letu pendwa la Tanzania.
Na sasa vizazi vya Wahutu hao vimeingia hadi majeshini na sehemu nyeti miaka ijayo Jeshi letu litakuwa linahusishwa sana na Vita za maziwa makuu juzi juzi Mkuu wa Majeshi alionya lakini i think it's too late, labda Lissu akiingia.
Ni rahisi kukanusha hizo habari lakini organised state violence inaweza kufanywa kwa usiri mkubwa kama yale maandalizi ya mauaji ya Kimbari Rwanda Mapanga yalipelekwa KIMYA KIMYA nani aliyejua?Hakuna watutlsi wanaoweza kuuliwa wazijue kias kwamba mpaka usubir stor za vijiwen.
Wako very connected hata ushahidi wa picha zingewekwa waz.
Ukisem wanauawa kimyakmya bhasi ujue inawezekana hata wao wanaua kimyakimya hivohivo.