General Muhoozi akishika madaraka tutafata Tanzania baada ya kuwa DRC wameisha, tujipange

General Muhoozi akishika madaraka tutafata Tanzania baada ya kuwa DRC wameisha, tujipange

Tutapiga hao kama ngoma tena kwa mgambo tu waiongeze na Burundi kwenye team yao.
 
JWTZ

Najua mnafahamu kuwa endapo lolote likitokea Uganda hata leo, Rais anayefuata wa Uganda ni Generali kichaa Muhoozi Kainerugaba.

Najua mnafaham kuwa Muhoozi na Mjomba wake Kagame wanaamini sana kwenye theory ya Expansionism! Kwa Kagame na Muhoozi maeneo ya Afrika Mashariki yanapaswa kuwa nchi moja (imaya moja) na wao kuwa Viongozi wa hiyo nchi.

Sote tunafaham, miaka ya hivi karibuni Kagame na Muhoozi wamekuwa wakiyaimarisha sana majeshi yao. Uimarishaji huu unaenda sambamba na kununua vifaa vya kisasa vya teknolojia ya Juu sana.

Taarifa zinasema kwenye ziara ambazo Kagame amekuwa akizifanya UAE, Uturuki na nchi zingine, amekuwa akinunua vifaa vya kisasa kwa ajili ya majeshi yake ikiwemo Drones, Makombora ya kutungulia ndege na Silaha nyingine za teknolojia mpya na za kisasa.

Wito wangu kwenu!

1. Kuanza sasa wekezeni heavily kwenye mafunzo ya kutumia silaha za kisasa za teknolojia mpya. Mf. Drones makombora ya kisasa na nyinginezo.

2. Kuanzia sasa wekezeni sana kwenye kununua silaha za kisasa za teknolojia mpya. Kuanzia Vifaru, Makombora, Ndegevita na hata Ndege zisizo na Dubai


3. Imarisheni sana Kamandi yenu ya Wanamaji. Nadhani mmejifunza namna Rwanda na M23 walivyoingia Goma na Lubavu kupitia Ziwa Kivu. Kuna haja kubwa sasa kuwa na Kambi Kubwa za Kijeshi za Wanamaji kwenye Maziwa ya Victoria na Tanganyika. Kambi hizi ziwekewe vifaa vya kisasa na bora kabisa vya kivita na Wanajeshi wetu wapewe mafunzo bora kabisa kuhudumu kwenye silaha hizo.

4. Imarisheni sana Uhusiano na Mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hasa Marekani na China. Ingawa mnafanya vizuri kwenye hili, ila ongezeni sana ushirikiano kwenye eneo hili. Pelekeni maofisa wengi kwenye mafunzo vyuo vya nje vya kijeshi wachukue utaalam na waje kuwafundisha wenzao.

5. Mwisho ingawa sio kwa umuhimu, wekezeni basi hata kwenye mavazi mazuri na nadhifu kwa wanajeshi wetu. Hivi karibuni naona Askari wetu wanavaa nguo kuu kuu zilizochoka sana. Wafanyeni askari wetu wawe proud kuvaa nguo zao. Watengenezeeni nguo na mavazi mazuri ya kijeshi yanayowafanya sio tu wawe vizuri ila wapendeze na kuonekana askari nadhifu wanaojaliwa vizuri. Kwenye hili mjifunze kwa wenzenu wa Rwanda.
View attachment 3243938View attachment 3243939
View attachment 3243925View attachment 3243927

View attachment 3243921View attachment 3243922View attachment 3243928View attachment 3243924
Kwa JW, huyo jenerali Mkohozi ni mchumba tu
 
Juzi kati nilikuwa namsifia Raisi wa Burundi kuhusu kurudisha Askari wake kwenye mipaka ya Buja ghafla nikaanza kushutumiwa kuwa mimi Imhotep ni "Mhutu wa Burundi" nikimpongeza Kagame au nikiongelea experience yangu kama Dereva wa Loli la mizigo ambaye nimekaa sana Rwanda Burundi na DRC naitwa "Mtutsi".

Kwahiyo nikiogea positive kuhusu Tshisekedi pia mtasema mimi ni "Mkasai" ninayejificha Runzewe?!

Jamani tuache primitive mind set.
Ulimpongeza rais Ndayishimiye kwa sababu ingekuwa ni faida kwa watutsi wenzako wa m23. Hata hivyo Burundi imekanusha taarifa ya kuondoa wanajeshi wake nchini Congo.
 
Huyu kagame sio wa kupuuzwa anaweza kuleta machafuko makubwa kwenye huu ukanda wa Afrika Mashariki
 
Ulimpongeza rais Ndayishimiye kwa sababu ingekuwa ni faida kwa watutsi wenzako wa m23. Hata hivyo Burundi imekanusha taarifa ya kuondoa wanajeshi wake nchini Congo.
Yamekuwa ni hayo tena mbona huwa nikimpongeza "Mama" hamniiti Mzanzibari?!
 
Ni watutsi!

Una jengine?
Wewe chuki ulizonazo dhidi ya mbari ya Kitutsi huenda ni mabaki ya Wahutu waliofanya Genocide huko Rwanda na kukimbilia huku kwetu Tanzania mwanzo nilikuwa nafikiria kuwa wewe ni Shombe la Kiarabu.
 
Ulimpongeza rais Ndayishimiye kwa sababu ingekuwa ni faida kwa watutsi wenzako wa m23. Hata hivyo Burundi imekanusha taarifa ya kuondoa wanajeshi wake nchini Congo.
Sijawahi kuwapenda hii jamii ya watutsi kwa mienendo yao!

Halafu mpaka hapa Tz maeneo yao wanawabagua wenyeji, wao wanajiona bora.

Hawa ni kuwafukuza wote wakajazane huko Rwanda.

Nchi sijui ndogo hayo ni matatizo ya kwao watajua wenyewe.
 
JWTZ

Najua mnafahamu kuwa endapo lolote likitokea Uganda hata leo, Rais anayefuata wa Uganda ni Generali kichaa Muhoozi Kainerugaba.

Najua mnafaham kuwa Muhoozi na Mjomba wake Kagame wanaamini sana kwenye theory ya Expansionism! Kwa Kagame na Muhoozi maeneo ya Afrika Mashariki yanapaswa kuwa nchi moja (imaya moja) na wao kuwa Viongozi wa hiyo nchi.

Sote tunafaham, miaka ya hivi karibuni Kagame na Muhoozi wamekuwa wakiyaimarisha sana majeshi yao. Uimarishaji huu unaenda sambamba na kununua vifaa vya kisasa vya teknolojia ya Juu sana.

Taarifa zinasema kwenye ziara ambazo Kagame amekuwa akizifanya UAE, Uturuki na nchi zingine, amekuwa akinunua vifaa vya kisasa kwa ajili ya majeshi yake ikiwemo Drones, Makombora ya kutungulia ndege na Silaha nyingine za teknolojia mpya na za kisasa.

Wito wangu kwenu!

1. Kuanza sasa wekezeni heavily kwenye mafunzo ya kutumia silaha za kisasa za teknolojia mpya. Mf. Drones makombora ya kisasa na nyinginezo.

2. Kuanzia sasa wekezeni sana kwenye kununua silaha za kisasa za teknolojia mpya. Kuanzia Vifaru, Makombora, Ndegevita na hata Ndege zisizo na Dubai


3. Imarisheni sana Kamandi yenu ya Wanamaji. Nadhani mmejifunza namna Rwanda na M23 walivyoingia Goma na Lubavu kupitia Ziwa Kivu. Kuna haja kubwa sasa kuwa na Kambi Kubwa za Kijeshi za Wanamaji kwenye Maziwa ya Victoria na Tanganyika. Kambi hizi ziwekewe vifaa vya kisasa na bora kabisa vya kivita na Wanajeshi wetu wapewe mafunzo bora kabisa kuhudumu kwenye silaha hizo.

4. Imarisheni sana Uhusiano na Mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hasa Marekani na China. Ingawa mnafanya vizuri kwenye hili, ila ongezeni sana ushirikiano kwenye eneo hili. Pelekeni maofisa wengi kwenye mafunzo vyuo vya nje vya kijeshi wachukue utaalam na waje kuwafundisha wenzao.

5. Mwisho ingawa sio kwa umuhimu, wekezeni basi hata kwenye mavazi mazuri na nadhifu kwa wanajeshi wetu. Hivi karibuni naona Askari wetu wanavaa nguo kuu kuu zilizochoka sana. Wafanyeni askari wetu wawe proud kuvaa nguo zao. Watengenezeeni nguo na mavazi mazuri ya kijeshi yanayowafanya sio tu wawe vizuri ila wapendeze na kuonekana askari nadhifu wanaojaliwa vizuri. Kwenye hili mjifunze kwa wenzenu wa Rwanda.
View attachment 3243938View attachment 3243939
View attachment 3243925View attachment 3243927

View attachment 3243921View attachment 3243922View attachment 3243928View attachment 3243924
Umeeleza Mambo mengi Sana kwenye bandiko lako, lakini umewashawahi kujiuliza kwamba Je, waTanzania hawa wa Sasa wako wamoja na Je, kuna utangamano wa kitaifa Kati ya Wananchi kwa Wananchi wenyewe na Kati ya Wananchi na Watawala wao waliopo katika nchi hii?Je, Wananchi wengi zaidi Wana Morali juu ya hali ya mambo jinsi yalivyo katika nchi yao au kuna migawanyiko ya kijamii miongoni mwao?

Kumbuka: Majeshi ya Urusi/Putin yameshindwa kabisa kuiteka Ukraine yote na kuondoa Utawala wa Bw. Zelensky kule Ukraine siyo kwa sababu nchi ya Ukraine imepewa Misaada mingi Sana ya silaha kutoka kwa washirika wake wa Marekani na NATO, Bali ni kwa sababu Wananchi wengi zaidi wa Ukraine wameungana Sana kupita kiasi na Wananchi wengi zaidi pia wanaiunga mkono sana Serikali iliyopo katika nchi yao ya Ukraine.
Silaha tupu peke yake haziwezi kupigana Vita katika Uwanja wa Vita, bali Watu walioungana wenye hamasa na Morali ya Vita ndio wenye uwezo wa kupigana Vita na kuweza kupata ushindi.

Watu hamuwezi kushinda Vita endapo kama mnaingia vitani tayari mkiwa mmegawanyika, hata kama mtakuwa na silaha nzito kiasi gani.
 
Wewe chuki ulizonazo dhidi ya mbari ya Kitutsi huenda ni mabaki ya Wahutu waliofanya Genocide huko Rwanda na kukimbilia huku kwetu Tanzania mwanzo nilikuwa nafikiria kuwa wewe ni Shombe la Kiarabu.
😂😂😂😂

Mimi ni mtanzania.

Na siwezi kujificha kama wewe unavyoogopa kujiita mtutsi.

Kwetu Kilwa.

Na siwezi kuongopa!

Upande wa baba asili ni Yemen.

Upande wa Mama kwa Mama yake asili ni Yemen pia.

Mama yake aliolewa na mmakonde 😃

Ndipo akapatikana yeye!

Hata kwetu ukoo wetu ni mchanganyiko! Wapo waarabu na wapo ambao ni waswahili!

Una jengine?

Ila ukweli utabaki pale pale, nyinyi watutsi hamfai!

Halafu huwa sipendelei kuitwa mwarabu. Sawa bwana imhotep?
 
Kweli kabisa tuliongea humu watafute kandarasi kwenda kulinda mashariki mwa Congo wakatidharau. Muda tu Trump kawaonesha huko Ukraine anaenda kwa maslahi ya kiuchumi
Leo Rwanda anatembea kifua mbele kwamba alivyotua tu CARBO DELGADO waasi walitawanyika😂😂😂😂.Wamewapelekea moto waasi na alshababu saivi Rais wa Msumbiji amezidi kuiamini Rwanda na anazidi kusaini mikataba mbalimbali ya kiulinzi Tz ipo inajisifu ilisaidia ukombozi enzi za KUSAKA UHURU.WE ARE DOOMED!!!

📌📌📌Wtz tuache UNAFIKI na utani kwenye mambo serious na tuanze kumaanisha kweli!!!
 
Kumbuka: Majeshi ya Urusi/Putin yameshindwa kabisa kuiteka Ukraine yote na kuondoa Utawala wa Bw. Zelensky kule Ukraine siyo kwa sababu nchi ya Ukraine imepewa Misaada mingi Sana ya silaha kutoka kwa washirika wake wa Marekani na NATO, Bali ni kwa sababu Wananchi wengi zaidi wa Ukraine wameungana Sana kupita kiasi na Wananchi wengi zaidi pia wanaiunga mkono sana Serikali iliyopo katika nchi yao.m ya Ukraine.
Siasa za Kimataifa waachie wenyewe!!! Hasa kuhusu SMO inayoendeshwa na Russia huko Ukraine. Jikite tu hapa hapa Kwetu nadhani wengi wetu tunaweza kukuelewa.
 
M23 msiwachukulie poa, jeshi la congo, afrika kusini, burundi wakisikia m23 wako karibu wanakuja wanaacha silaha wanakimbia, hicho kishindo cha m23 na milio ya mizinga, drones sio mchezo kabisa, jamaa wamejipanga
 
Wewe ni Mhutu unayejificha Kilwa Komera! Komera! Unaogopa nini kusema au unafikiria Max Mello ni Immigration Officer?!😁😆
Sawa! Wala kwangu haina shida!

Wewe niite utakavyoniita wala kwangu haina shida.

Ila swali muhimu jiulize kwa nini ni ninyi?
Tanzania imepakana na nchi ngapi? Ila kwa nini watu wamewaweka nyinyi kwenye kundi maalumu?

Kwa sababu mna matatizo!
Watu wengi wanahofia kuwaambia moja kwa moja.

Mimi sijali nawaambia tu moja kwa moja! Nyinyi watutsi hamfai! Na ni hatari kwa usalama wa hii nchi Tz. Mnapaswa kutangazwa ni adui wa taifa.
 
Back
Top Bottom