General Muhoozi akishika madaraka tutafata Tanzania baada ya kuwa DRC wameisha, tujipange

General Muhoozi akishika madaraka tutafata Tanzania baada ya kuwa DRC wameisha, tujipange

Nikutoe tu wasiwasi , taifa lipo salama tuna intelgensia hatari, je wajua toka vita ya kagera tuna mapandikizi kule tena adi leo wanajulikana ni waganda? Mwambie uyo muhoz asijaribu tuta mnywa supu asubui kabla jogoo hajawika
 
Tuendelee kujenga nchi, tuongeze zaidi barabara za lami kuunganisha mpaka vijijini, miradi mikubwa ya umeme kama Julius Nyerere, SGR , uwekezaji kwenye viwanda na manetki, Elimu, katiba mpya etc tuachane na wapuuzi kama aliyeleta huu uzi mpenda vita na mkabila
 
JWTZ

Najua mnafahamu kuwa endapo lolote likitokea Uganda hata leo, Rais anayefuata wa Uganda ni Generali kichaa Muhoozi Kainerugaba.

Najua mnafaham kuwa Muhoozi na Mjomba wake Kagame wanaamini sana kwenye theory ya Expansionism! Kwa Kagame na Muhoozi maeneo ya Afrika Mashariki yanapaswa kuwa nchi moja (imaya moja) na wao kuwa Viongozi wa hiyo nchi.

Sote tunafaham, miaka ya hivi karibuni Kagame na Muhoozi wamekuwa wakiyaimarisha sana majeshi yao. Uimarishaji huu unaenda sambamba na kununua vifaa vya kisasa vya teknolojia ya Juu sana.

Taarifa zinasema kwenye ziara ambazo Kagame amekuwa akizifanya UAE, Uturuki na nchi zingine, amekuwa akinunua vifaa vya kisasa kwa ajili ya majeshi yake ikiwemo Drones, Makombora ya kutungulia ndege na Silaha nyingine za teknolojia mpya na za kisasa.

Wito wangu kwenu!

1. Kuanza sasa wekezeni heavily kwenye mafunzo ya kutumia silaha za kisasa za teknolojia mpya. Mf. Drones makombora ya kisasa na nyinginezo.

2. Kuanzia sasa wekezeni sana kwenye kununua silaha za kisasa za teknolojia mpya. Kuanzia Vifaru, Makombora, Ndegevita na hata Ndege zisizotumia rubani (UAV/Drones)


3. Imarisheni sana Kamandi yenu ya Wanamaji. Nadhani mmejifunza namna Rwanda na M23 walivyoingia Goma na Lubavu kupitia Ziwa Kivu. Kuna haja kubwa sasa kuwa na Kambi Kubwa za Kijeshi za Wanamaji kwenye Maziwa ya Victoria na Tanganyika. Kambi hizi ziwekewe vifaa vya kisasa na bora kabisa vya kivita na Wanajeshi wetu wapewe mafunzo bora kabisa kuhudumu kwenye silaha hizo.

4. Imarisheni sana Uhusiano na Mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hasa Marekani na China. Ingawa mnafanya vizuri kwenye hili, ila ongezeni sana ushirikiano kwenye eneo hili. Pelekeni maofisa wengi kwenye mafunzo vyuo vya nje vya kijeshi wachukue utaalam na waje kuwafundisha wenzao.

5. Mwisho ingawa sio kwa umuhimu, wekezeni basi hata kwenye mavazi mazuri na nadhifu kwa wanajeshi wetu pamoja na other protective gears (Mabuti mazuri na viatu vizuri vya kiaskari). Hivi karibuni naona Askari wetu wanavaa nguo kuu kuu zilizochoka sana. Wafanyeni askari wetu wawe proud kuvaa nguo zao. Watengenezeeni nguo na mavazi mazuri ya kijeshi yanayowafanya sio tu wawe vizuri ila wapendeze na kuonekana askari nadhifu wanaojaliwa vizuri. Kwenye hili mjifunze kwa wenzenu wa Rwanda.
View attachment 3243938View attachment 3243939
View attachment 3243925View attachment 3243927

View attachment 3243921View attachment 3243922View attachment 3243928View attachment 3243924
Kama hawakujifunza kutokana na yaliyomkuta Idi Amin, wajaribu ili wapate direct experience!
 
Naizima hoja yako kwa swali 1 tu!

Kama Kagame anaipenda Tanzania kwa nini vikosi vyake viliua askari 2 wa Tanzania na kujeruhi 4 huko North Kivu wakati wanaiteka Goma?
Kuna Upumbavu mwingi sana unaendelea Tanzania tena kuliko hata huo unaouona Uganda kwa Museveni na Mwanae Muhoozi pamoja na Rais wa Rwanda Kagame ila cha Kushangaza unaacha / mnaacha Kwanza kumalizana nayo mnakimbilia kuonyesha Chuki zenu kwa Watu wa Kabila la Watutsi na Bahima.

Halafu kutwa nikiwa Nawadharau hapa JamiiForums na kusema kuwa Wengi wenu hamna Akili mnakimbilia Kukasirika.
 
Kuna Upumbavu mwingi sana unaendelea Tanzania tena kuliko hata huo unaouona Uganda kwa Museveni na Mwanae Muhoozi pamoja na Rais wa Rwanda Kagame ila cha Kushangaza unaacha / mnaacha Kwanza kumalizana nayo mnakimbilia kuonyesha Chuki zenu kwa Watu wa Kabila la Watutsi na Bahima.

Halafu kutwa nikiwa Nawadharau hapa JamiiForums na kusema kuwa Wengi wenu hamna Akili mnakimbilia Kukasirika.
Sasa hapa aliekimbilia kukasirika ni mimi au wewe?

Umeulizwa swali umeacha kujibu swali umeenda kuongea mashudu yako humu.
 
Sasa hapa aliekimbilia kukasirika ni mimi au wewe?

Umeulizwa swali umeacha kujibu swali umeenda kuongea mashudu yako humu.
Kuna Upumbavu mwingi sana unaendelea Tanzania tena kuliko hata huo unaouona Uganda kwa Museveni na Mwanae Muhoozi pamoja na Rais wa Rwanda Kagame ila cha Kushangaza unaacha / mnaacha Kwanza kumalizana nayo mnakimbilia kuonyesha Chuki zenu kwa Watu wa Kabila la Watutsi na Bahima.

Halafu kutwa nikiwa Nawadharau hapa JamiiForums na kusema kuwa Wengi wenu hamna Akili mnakimbilia Kukasirika.
 
Kuna Upumbavu mwingi sana unaendelea Tanzania tena kuliko hata huo unaouona Uganda kwa Museveni na Mwanae Muhoozi pamoja na Rais wa Rwanda Kagame ila cha Kushangaza unaacha / mnaacha Kwanza kumalizana nayo mnakimbilia kuonyesha Chuki zenu kwa Watu wa Kabila la Watutsi na Bahima.

Halafu kutwa nikiwa Nawadharau hapa JamiiForums na kusema kuwa Wengi wenu hamna Akili mnakimbilia Kukasirika.
jibu swali acha longolongo
 
jibu swali acha longolongo
Kuna Upumbavu mwingi sana unaendelea Tanzania tena kuliko hata huo unaouona Uganda kwa Museveni na Mwanae Muhoozi pamoja na Rais wa Rwanda Kagame ila cha Kushangaza unaacha / mnaacha Kwanza kumalizana nayo mnakimbilia kuonyesha Chuki zenu kwa Watu wa Kabila la Watutsi na Bahima.

Halafu kutwa nikiwa Nawadharau hapa JamiiForums na kusema kuwa Wengi wenu hamna Akili mnakimbilia Kukasirika.
 
Zamani hapa Tanzania na haswa Tanzania ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kulikuwa hakuna chuki dhidi ya Watutsi lakini hii Trend ya kuchukia Watutsi ilikuja baada ya Vita vya Rwanda na Wakimbizi zaidi milioni 2 kuingia Bongo Country wakimbizi hao walikuwa wengi wao ni Wahutu kutoka Rwanda ndio tukaanza kuona Chuki dhidi ya raia wa Kitutsi ikiambukizwa kwenye Taifa letu pendwa la Tanzania.

Na sasa vizazi vya Wahutu hao vimeingia hadi majeshini na sehemu nyeti miaka ijayo Jeshi letu litakuwa linahusishwa sana na Vita za maziwa makuu juzi juzi Mkuu wa Majeshi alionya lakini i think it's too late, labda Lissu akiingia.
Kwahyo unataka kusema cdf alionya dhidi ya wahutu au watus?

Mi nadhan alionya dhid y adui yeyote w kigen wanaoingi na agenda yao ya siri.
Halaf pia mkuu hakuna biznes yoyote ya chuki dhid ya watus au wahutu hapa tz.
Lakini kama unakumbuka jibu la Prezda PK kwa Jk, hiv unadhan yeye angejibiwa vile PK angeichukuliajd tz?.
Pia kama mtazamo wako ndo huo unataka kutuaminsha kwa hiyo jamii unayoitetea inapenda attension kama malast born, yaan mnapenda kuzngatiwa saana. Mnasahau kwamba nchi kama tz na drc zina makabila mengi sio kama huko burundi na rwanda.
Lakin mkituliza akili kuna formula rahis saana ya ninyi kuishi ktk fahari muitakayo katika mataifa ya ugenin tena bila kufosi kama ilivyosasa wala kuleta madhara.
 
Kwahyo unataka kusema cdf alionya dhidi ya wahutu au watus?
Kuna Watutsi na Wahutu na Wamalawi Wazambia Waganda nk.ambao ni raia wa Tanzania alichokuwa anakiongelea CDF ni kwa wale Wahamiaji haramu waliojipenyeza kwenye na kuingia kinyume na Sheria na hatimae kupewa nafasi za uongozi.
 
Ni rahisi kukanusha hizo habari lakini organised state violence inaweza kufanywa kwa usiri mkubwa kama yale maandalizi ya mauaji ya Kimbari Rwanda Mapanga yalipelekwa KIMYA KIMYA nani aliyejua?
Uko sahih mkuu anything can be true, coz either hutu or tutsi can be angels or devils as long as they are human beings. Otherwise nothing special from either of them, but only their acts and reactions to each tells who are them.
 
Kuna Watutsi na Wahutu na Wamalawi Wazambia Waganda nk.ambao ni raia wa Tanzania alichokuwa anakiongelea CDF ni kwa wale Wahamiaji haramu waliojipenyeza kwenye na kuingia kinyume na Sheria na hatimae kupewa nafasi za uongozi.
Yeah, ila hata wale walio raia halali ila wenye asili ya na utii kwa nchi jirani.
 
Yeah, ila hata wale walio raia halali ila wenye asili ya na utii kwa nchi jirani.
Kweni ni nani anaitii Serikali hapa Tanzania wakati hadi Mawaziri ni wapigaji ukiwauliza Wazanzibari wanakwambia wao sio Wabara wako Bara kuja kuchuma fedha.

Mtanzania ndio yuko mstari wa mbele kufungua vyuma vya reli na barabara kwenda kuvipima Screpa wewe unaonge utii gani?!

Kinachotakiwa ni UZALENDO.
 
Madaraka matamu ikitokea M23 wakifanikiwa kuimega East Congo na madini waliyo nao wanaweza kuuza wenyewe Rwanda na Uganda watakuwa hawana shughuli nao tena.

Faida ya Rwanda na Uganda kwa sasa ni kwa sababu tu, M23 hawana mbinu za ku-exploit rasimali za hilo eneo bila ya backup ya hizo nchi jirani. Lakini wakifanikiwa kupata uhuru tu na urafiki utapungua hakuna cha hadithi za ututsi wala hutu kwenye madaraka.

Chezea akili za mwafrica wewe, ukabila dini ni kwa sababu ya maslahi tu. Watu wakishatimiza malengo yao wanaanza kuangalia matumbo yao.

Tanzania inatakiwa ikae chonjo tu kuangalia sebene lao mpaka mwisho.
 
Usjali tuna machawa wengi tutawapeleka frontline maana kila siku wanakuwa kwenye tv kuonyesha jinsi gani wanavyoipenda tanzania.
Machawa wa wanasiasa uwapeleke frontlines you must be joking šŸ™ƒ šŸ¤£šŸ¤£šŸ˜… !
 
Back
Top Bottom