General Muhoozi akishika madaraka tutafata Tanzania baada ya kuwa DRC wameisha, tujipange

General Muhoozi akishika madaraka tutafata Tanzania baada ya kuwa DRC wameisha, tujipange

Wa Kibiti, Tanga na Kidatu Morogoro, ndiyo walikuwa wanaanza, wasingedhibitiwa na Serikali yetu imara, makanisa yangechomwa kama walivyoanza Zanzibar na Bukoba.
Wa kibiti waliwaua waislamu wenzao sanasana. Viongozi wa CCM wa zile wilaya za Rufiji na Kibiti. Na wala walikuwa hawana tatizo na wakristo.
 
Wa Kibiti, Tanga na Kidatu Morogoro, ndiyo walikuwa wanaanza, wasingedhibitiwa na Serikali yetu imara, makanisa yangechomwa kama walivyoanza Zanzibar na Bukoba.
Usiogope elewa kiini cha tatizo. Hakuna atakae kuzuia kwenda kanisani kusali. Ukisoma historia ya dini ya kiislamu kwenye zile Caliphate za karne hizo kulikuwa na wakristo wanaishi na walikuwa wanaruhusiwa kusali kadiri ya dini yao, hakuna mtu alikuwa anawapiga. Ila walitakiwa walipe kodi flani inaitwa jizyah nafikiri
 
Usiogope elewa kiini cha tatizo. Hakuna atakae kuzuia kwenda kanisani kusali. Ukisoma historia ya dini ya kiislamu kwenye zile Caliphate za karne hizo kulikuwa na wakristo wanaishi na walikuwa wanaruhusiwa kusali kadiri ya dini yao, hakuna mtu alikuwa anawapiga. Ila walitakiwa walipe kodi flani inaitwa jizyah nafikiri
Hiyo kodi ya jizyah kwenye tawala hizo za enzi hizo wasio waislamu walikuwa wanailipa ili waweze kuendelea kulindwa na dola hiyo ya kiislamu. Na waliopaswa kuilipa ni wanaume watu wazima tu.

Wanawake, watoto, wazee, walemavu hadi watawa (si unajua watawa kuna watawa wa kike - masista na wakiume kama vile majesuit, wafrasiskani, sijui nn nn na kadhalika) walikuwa hawalipi hiyo kodi.

Hivyo ndivyo waislamu walivyokuwa wakarimu kwa wasio waumini katika himaya zao enzi hizo
 
JWTZ

Najua mnafahamu kuwa endapo lolote likitokea Uganda hata leo, Rais anayefuata wa Uganda ni Generali kichaa Muhoozi Kainerugaba.

Najua mnafaham kuwa Muhoozi na Mjomba wake Kagame wanaamini sana kwenye theory ya Expansionism! Kwa Kagame na Muhoozi maeneo ya Afrika Mashariki yanapaswa kuwa nchi moja (imaya moja) na wao kuwa Viongozi wa hiyo nchi.

Sote tunafaham, miaka ya hivi karibuni Kagame na Muhoozi wamekuwa wakiyaimarisha sana majeshi yao. Uimarishaji huu unaenda sambamba na kununua vifaa vya kisasa vya teknolojia ya Juu sana.

Taarifa zinasema kwenye ziara ambazo Kagame amekuwa akizifanya UAE, Uturuki na nchi zingine, amekuwa akinunua vifaa vya kisasa kwa ajili ya majeshi yake ikiwemo Drones, Makombora ya kutungulia ndege na Silaha nyingine za teknolojia mpya na za kisasa.

Wito wangu kwenu!

1. Kuanza sasa wekezeni heavily kwenye mafunzo ya kutumia silaha za kisasa za teknolojia mpya. Mf. Drones makombora ya kisasa na nyinginezo.

2. Kuanzia sasa wekezeni sana kwenye kununua silaha za kisasa za teknolojia mpya. Kuanzia Vifaru, Makombora, Ndegevita na hata Ndege zisizotumia rubani (UAV/Drones)


3. Imarisheni sana Kamandi yenu ya Wanamaji. Nadhani mmejifunza namna Rwanda na M23 walivyoingia Goma na Lubavu kupitia Ziwa Kivu. Kuna haja kubwa sasa kuwa na Kambi Kubwa za Kijeshi za Wanamaji kwenye Maziwa ya Victoria na Tanganyika. Kambi hizi ziwekewe vifaa vya kisasa na bora kabisa vya kivita na Wanajeshi wetu wapewe mafunzo bora kabisa kuhudumu kwenye silaha hizo.

4. Imarisheni sana Uhusiano na Mataifa yenye uwezo mkubwa wa kijeshi hasa Marekani na China. Ingawa mnafanya vizuri kwenye hili, ila ongezeni sana ushirikiano kwenye eneo hili. Pelekeni maofisa wengi kwenye mafunzo vyuo vya nje vya kijeshi wachukue utaalam na waje kuwafundisha wenzao.

5. Mwisho ingawa sio kwa umuhimu, wekezeni basi hata kwenye mavazi mazuri na nadhifu kwa wanajeshi wetu pamoja na other protective gears (Mabuti mazuri na viatu vizuri vya kiaskari). Hivi karibuni naona Askari wetu wanavaa nguo kuu kuu zilizochoka sana. Wafanyeni askari wetu wawe proud kuvaa nguo zao. Watengenezeeni nguo na mavazi mazuri ya kijeshi yanayowafanya sio tu wawe vizuri ila wapendeze na kuonekana askari nadhifu wanaojaliwa vizuri. Kwenye hili mjifunze kwa wenzenu wa Rwanda.
View attachment 3243938View attachment 3243939
View attachment 3243925View attachment 3243927

View attachment 3243921View attachment 3243922View attachment 3243928View attachment 3243924
habarileo_tz: UGANDA - Rais wa Uganda Yoweri Museveni amefafanua kuwa vikosi vya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF) havipo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kupigana na waasi wa M23, bali vinapambana na waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) na kusaidia ujenzi wa miundombinu.

Museveni amesema mgogoro kati ya serikali ya Congo na waasi wa M23 unapaswa kutatuliwa kwa njia ya mazungumzo.

Katika taarifa aliyochapisha kwenye akaunti yake rasmi ya X, Ijumaa, Februari 21, Museveni alisema UPDF ina majukumu mawili makuu nchini DRC: kusaidia jeshi la Congo kupambana na ADF na kulinda ujenzi wa barabara ya Kasindi-Beni-Butembo.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Niliposema awali kabisa huna Akili na huna unachokijua (hasa Facts za Mgogoro huu) nilikuwa sahihi kwa Asilimia 100.
 
habarileo_tz: UGANDA - Rais wa Uganda Yoweri Museveni amefafanua kuwa vikosi vya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF) havipo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kupigana na waasi wa M23, bali vinapambana na waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) na kusaidia ujenzi wa miundombinu.

Museveni amesema mgogoro kati ya serikali ya Congo na waasi wa M23 unapaswa kutatuliwa kwa njia ya mazungumzo.

Katika taarifa aliyochapisha kwenye akaunti yake rasmi ya X, Ijumaa, Februari 21, Museveni alisema UPDF ina majukumu mawili makuu nchini DRC: kusaidia jeshi la Congo kupambana na ADF na kulinda ujenzi wa barabara ya Kasindi-Beni-Butembo.

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Niliposema awali kabisa huna Akili na huna unachokijua (hasa Facts za Mgogoro huu) nilikuwa sahihi kwa Asilimia 100.
Tangu lini Rwanda na Uganda wamewahi kukiri kuwa vikosi vyao vinafanya mission za M23 nchini Congo?

We ulitegemea watakiri wazi? Hujaachaga tu uzwazwa na upoyoyo?
 
Mkuu usiwa under estimate mkuu maana wale inaelekea ni ma jack of many trades. Wanajua uchumi, siasa, uongozi, marketing na kila kitu hata kama hawajasoma. So bila shaka huenda wana mbinu za kijeshi na kipolisi mkuu. Utakuwa muda sahihi wa kuonyesha mapenzi kwa taifa hili.
Mkuu inawezekana uko sahihi acha nao waende huko labda wataokoa jahazi !
 
Usiogope elewa kiini cha tatizo. Hakuna atakae kuzuia kwenda kanisani kusali. Ukisoma historia ya dini ya kiislamu kwenye zile Caliphate za karne hizo kulikuwa na wakristo wanaishi na walikuwa wanaruhusiwa kusali kadiri ya dini yao, hakuna mtu alikuwa anawapiga. Ila walitakiwa walipe kodi flani inaitwa jizyah nafikiri
Soma historia, kabla ya 610 AD Uarabuni mpaka India na north Africa yote ilikuwa ni ukristo. Uislam ulipoanza waliuwa WAKRISTO wote wa maeneo hayo au kuwasilimisha kwa nguvu ili waendelee kuishi. Wenyeji WAKRISTO kwa wapagani walikuwa na uchaguzi mmoja tu. Kufa au kusilimu ili ubaki hai, lakini sio kuwa huru na ukristo au upagani wako.
 
Kwanini aliyeleta hii habari yy mwenyewe asipeleke? Au hana visa ya kuingia nchini? Nawaza tyu.
Tunatambua kwamba kama ilivyo nchi zingine, nchi yetu pia ina mashushu ambao wako kila mahali ikiwemo humu mitandaoni kukusanya taarifa za kiusalama.. hivyo basi ni rahisi sana wao kuona habari hii humu hasa ukizingati jamiiforum ni moja ya social media platforms kubwa hapa nchini.... kuiandika habari hii humu kuna faida nyingi ikiwemo kutengeneza awareness kwa watanzania wengi, ambapo hata nyie machawa wa serikali kama mlikuwa hamjui basi tayari mmejua nq hivyo kama kweli ni wazalendo basi mtaifikisha sehemu husika.
 
Muhoozi siyo mzima.

Screenshot_20250223-110436.png
 
Mambo mengine kukaa kimya tu, utakuja kuonekana mtutsi sijui mhutu, tuendelee kuiombea nchi yetu ikae ktk amani.
matokeo ya nguvu ya kiimani yanaenda sawa na nguvu ya kimaarifa.

Mungu huwa anawasaidia wale ambao tayari wameshatumia akili zao kujisaidia, huwezi ukabweteka tu ukiiacha nchi iko uchi kwa maadui halafu useme eti tuiombee nchi yetu iendelee kuwa salama.
 
Kama huyu kichaa naye watampa urais basi ntaamini weusi wa Africa mashariki tuna shida na genetically tulifanyiwa manipulation wakabaki wakenya pekee! Huenda wajerumani sio wajinga kubeba mafuvu ya watawala wote wa jadi waliowasumbua miaka zaidi ya 100+ iliyopita
Kwa hiyo wakenya kwako wewe unawaona ni watu smaaaart ehee???
 
Vitu vyote muhimu,kwa jeshi, silaha za kisasa, teknolojia mpya, mavazi, chakula, ustahamilivu, mapenzi ya nchi na kubwa zaidi ni ujasiri sina hakika na wanajeshi wetu wa sasa wale wazee wetu walikuwa jasiri kweli kweli. Angalia Congo wanajeshi wanatupa silha alafu wanakimbia wanasema Kamanyola kila mtu acheze anavyojua. Lakini pia uongozi bora na imara yaani jemedari mkuu wa majeshi na kiongozi anayepiganisha vita. Sababu za kumpiga tunazo, nia ya kumpiga tunayo na uwezo wa kumpiga tunao.....Hii ni hotuba ya kuhamasisha watu wapigane jee bado tunayo
 
Back
Top Bottom