Ushauri wa kitaalaam huku wewe mwenyewe huoni wala husikiii, insikitisha sana. Ikiwa Wataalaam wa Tanzania ni kama wewe, basi kazi tunayo na si hasha mpaka leo tuko nyuma hata kielimu, ahsante Kikwete anaefanya kila njia kuwapa elimu kwa kuwajengea mashule na vyuo vikuuu kedekede ambavyo haijawahi kutokea kabla yeke.
Kuwa msimamizi wa msikiti wa ukoo au kanisa la ukoo hakukufanyi kuwa wewe ndiye mjuaji zaidi, tena wala haihusu hapa.
Uponda na upondo unahusu nini hapa? Hapa tunaongelea mafanikio ya Rais mpendwa Jakaya Mrisho Kikwete na anavhohuisha viwanda vilivyouliwa na wanaojiita "watalaam" kama wewe.