G tyres kitafunguliwa later this year. Fununu
Yaani hiyo machine tools ndio inaniumiza roho sana maana tulipewa msaada kama sikosei na Wabulgaria. Walipoondoka tu na kukabidhi rasmi kwa watanzania waliowapa mafunzo sijui kilitokea nini kiwanda kwishney. Huwezi amini kilikuwa kinatengeneza mota, misumeno, misumari na vimashine vidogo vidogo kibao vyenye ubora wa hali ya juu achana na hizi feki zilizojaa kariakoo toka kule ambapo kila mtu anapafamu. Aiseewe achaa tu perma sharp, swala daa nashindwa kuendelea
Kwa swala la viwanda kufa ni shida kubwa sana sidhani kama tungekua na tatizo kubwa la ajira kama ilivyo sasa
Naomba kama inawezekana tuweke thread inayo onesha viwanda vilivyo fungwa kwa makusudi na watawala wasio waaminifu kwa kila mkoa.
Mfano Kilimanjaro kuna Machine tools pale junction ya kwenda Machame na Kiwanda cha Magunia kule Kiboroloni.
Direct employment 450 iliyopotea na bado wakatafuna u$ 10 million za NSSF hakuna aliyefungwa,aliyeshitakiwa ...........
Kwa swala la viwanda kufa ni shida kubwa sana sidhani kama tungekua na tatizo kubwa la ajira kama ilivyo sasa
Naomba kama inawezekana tuweke thread inayo onesha viwanda vilivyo fungwa kwa makusudi na watawala wasio waaminifu kwa kila mkoa.
Mfano Kilimanjaro kuna Machine tools pale junction ya kwenda Machame na Kiwanda cha Magunia kule Kiboroloni.
Umenikumbusha mbali sana kuhusu kibo matchKulikuwa na Coffee Curing pale Moshi na Tanalec kule Arusha, hivi navyo vinajikongoja au vilishakufa?
Kibo Match pale Moshi kipo mochwari sasa hivi.
Breweries aahh inauma ...
***2015 operation Delete CCM*** basi
Ngongo
Samahani kaka mkubwa naomba unijuze tu!! Hivi kiwanda kilichokuwa jirani wa kiwanda cha General Tyre cha KILITEX kilichokuwa kinatengeneza nguo kipo au nacho ndo tumeshakula mtaji??
Ngongo
Samahani kaka mkubwa naomba unijuze tu!! Hivi kiwanda kilichokuwa jirani wa kiwanda cha General Tyre cha KILITEX kilichokuwa kinatengeneza nguo kipo au nacho ndo tumeshakula mtaji??
Kulikuwa na Coffee Curing pale Moshi na Tanalec kule Arusha, hivi navyo vinajikongoja au vilishakufa?
Kibo Match pale Moshi kipo mochwari sasa hivi.
Breweries aahh inauma ...
***2015 operation Delete CCM*** basi