General Tyres Tanzania ilivyohamishiwa Kenya na kuitwa YANA tyres!

General Tyres Tanzania ilivyohamishiwa Kenya na kuitwa YANA tyres!

Huu uzi unatakiwa kurudishwa hewani mara kwa mara. Na Katiba mpya itakapopatikana haya mambo lazima yafanyiwe uchunguzi wa kina kuhakikisha waliohusika na huu uhujumu uchumi wanachukuliwa hatua na kwamba hatua za kitaalam zinakuchukuliwa ili mambo kama haya yasiruhusiwe na yasifanyike tena. Kuna viwanda vingi vilivyoyeyuka bila kufahamika sababu. Mangula, Ubungo Farm Implements, NEDCO, MECCO, Kibo Match, General Tyre, Sungura Textiles, Moshi Machine Tools nk. nk. Haileweki ni kwa nini au vipi viwanda na biashara hizi zilikufa kimoja baada ya kingine lakini viongozi wakaangalia tu na kubariki balaa kama hiyo.
 
Huu uzi unatakiwa kurudishwa hewani mara kwa mara. Na Katiba mpya itakapopatikana haya mambo lazima yafanyiwe uchunguzi wa kina kuhakikisha waliohusika na huu uhujumu uchumi wanachukuliwa hatua na kwamba hatua za kitaalam zinakuchukuliwa ili mambo kama haya yasiruhusiwe na yasifanyike tena. Kuna viwanda vingi vilivyoyeyuka bila kufahamika sababu. Mangula, Ubungo Farm Implements, NEDCO, MECCO, Kibo Match, General Tyre, Sungura Textiles, Moshi Machine Tools nk. nk. Haileweki ni kwa nini au vipi viwanda na biashara hizi zilikufa kimoja baada ya kingine lakini viongozi wakaangalia tu na kubariki balaa kama hiyo.
Usisahau Urafiki, yamegeuka magodown ya bidhaa za China na India tu
 
Huu uzi unatakiwa kurudishwa hewani mara kwa mara. Na Katiba mpya itakapopatikana haya mambo lazima yafanyiwe uchunguzi wa kina kuhakikisha waliohusika na huu uhujumu uchumi wanachukuliwa hatua na kwamba hatua za kitaalam zinakuchukuliwa ili mambo kama haya yasiruhusiwe na yasifanyike tena. Kuna viwanda vingi vilivyoyeyuka bila kufahamika sababu. Mangula, Ubungo Farm Implements, NEDCO, MECCO, Kibo Match, General Tyre, Sungura Textiles, Moshi Machine Tools nk. nk. Haileweki ni kwa nini au vipi viwanda na biashara hizi zilikufa kimoja baada ya kingine lakini viongozi wakaangalia tu na kubariki balaa kama hiyo.
Bila kusahsu Zzk mbeya

Ova
 
So as long as watu kama akina BINSLUM bado wapo, hii nchi tusahau maendeleo ya viwanda, maana viwanda nchini vinachukuliwa kama tatizo kwa waagizaji wa bidhaa toka China

 
 
Back
Top Bottom