valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,852
- 873
Nchii Una Mambo mengi ya hivyo yaliyaowahi tendeka. Na bado hatujifunzi..tunazidi tends hovyoooo zaidi.Mkuu sijui kama unayafahamu vizuri mambo ya wa Bulgaria wakati wakijenga hicho kiwanda. Walitakiwa wajenge kiwanda cha kuyeyusha chuma na kuunda vitu siyo cha kuunganisha sehemu za machine walizounda kwao. Pili container zilizokuwa zinaleta parts za mashine zilikuwa zinajazwa magunia ya Kahawa zinarudi bila hata kukaguliwa pale bandarini. Wabulgaria waliibuka na kuwa wauzaji wakubwa wa kahawa Eastern Europe. Kilichosikitisha ni pale wanasiasa walipokubali msaada usioleweka bila kutafuta ushauri wa wahandisi. Niliwahi kumtamkia Mzee Mwakawago (wakati huo nadhani akiwa Katibu Mkuu), kwamba hakitadumu maana msaada ulikuwa wa kilaghai.
Wajukuu zetu watatushangaa Kama nasi tunavyomshangaa chifu Magungo