Geneveive Nnaji: Mwigizaji tajiri Africa; ona mijengo yake

Geneveive Nnaji: Mwigizaji tajiri Africa; ona mijengo yake

Geneveive Nnaji mwenye miaka 40 Ni moja wa waigizaji wanaoheshimika zaidi nchini Nigeria na kiwanda cha uigizaji cha Nollywood.
Nnaji Ni muigizaji asiependa makuu Wala Kiki.
Nchini Nigeria anaheshimika zaidi na kupendwa kutokana na sifa kubwa ya kutobadilisha rangi yake na kuishi simple japokuwa anautajiri mkubwa.
Geneveive alianza kuigiza wakati akisoma shahada katika chuo kikuu Cha Lagos.
Mwaka 2018 Geneveive Nnaji alipiga pesa ndefu zaidi baada ya movie yake LionHeart kununuliwa na Netflix kwa milioni $3.5 za kimarekani.
Kwasasa muigizaji huyo anamalizia mjengo wake mkubwa zaidi Real Estate mwenye upana wa mita zaidi ya 50 uliopa Abuja kwa ajiri ya biashara na ofisi mbalimbali.
Hii Ni baadhi ya mijengo yake iliyopo Nigeria na Ghana.

Wasanii wa Bongo Movie nna Cha kujifunza hapa maana siku hizi kazi mnayofanya Ni kuzindua miradi ya serikali Mara mtembelee standard guarge, treni ya umeme na shughuli za chamaView attachment 1042991View attachment 1042992View attachment 1042993View attachment 1042994View attachment 1042995View attachment 1042996View attachment 1042997View attachment 1042998

Sent using Jamii Forums mobile app


Pia anaigiza picha za X-ray ila soko lake liko Latin America
 
Huyu dada ana ugonjwa wa kudumu ila misigara na mipombe inampeleka puta.
 
Ila hii biashara ya Real Estate ni nzuri aseeh kwa wasiopenda stress za biashara.
 
Ritah Dominic Ndo anA mkwanja mrefu zaidi, gene anashika namba mbili


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Geneveive Nnaji mwenye miaka 40 Ni moja wa waigizaji wanaoheshimika zaidi nchini Nigeria na kiwanda cha uigizaji cha Nollywood.
Nnaji Ni muigizaji asiependa makuu Wala Kiki.
Nchini Nigeria anaheshimika zaidi na kupendwa kutokana na sifa kubwa ya kutobadilisha rangi yake na kuishi simple japokuwa anautajiri mkubwa.
Geneveive alianza kuigiza wakati akisoma shahada katika chuo kikuu Cha Lagos.
Mwaka 2018 Geneveive Nnaji alipiga pesa ndefu zaidi baada ya movie yake LionHeart kununuliwa na Netflix kwa milioni $3.5 za kimarekani.
Kwasasa muigizaji huyo anamalizia mjengo wake mkubwa zaidi Real Estate mwenye upana wa mita zaidi ya 50 uliopa Abuja kwa ajiri ya biashara na ofisi mbalimbali.
Hii Ni baadhi ya mijengo yake iliyopo Nigeria na Ghana.

Wasanii wa Bongo Movie nna Cha kujifunza hapa maana siku hizi kazi mnayofanya Ni kuzindua miradi ya serikali Mara mtembelee standard guarge, treni ya umeme na shughuli za chamaView attachment 1042991View attachment 1042992View attachment 1042993View attachment 1042994View attachment 1042995View attachment 1042996View attachment 1042997View attachment 1042998

Sent using Jamii Forums mobile app
My crush
 
mtoto mkali! mbona kama ana miaka 35 😜

ila... kweli yote haya kayapata kwa kuvungua scripts na kumemoraizi mistari? bila kukitembeza kwa wenye dau ambao wanalipa show kama anavyopokea kwenye sanaa yake?

nilikuwa namjua binti hapa bongo alikuwa analipwa mshahara wa mil 1.5 ila kwenye heka heka zake za starehe alikuwa anaingiza hiyo hiyo 1.5 ndani ya siku mbili (ijumaa, jumamosi)!

sishangai kabisa ila hongera zake kwa kuwa hustler mwenye mtazamo maana wengi huwa hawana mtazamo wa kesho-kutwa wala wiki ijayo!
 
Bro

Nina account Netflix mwaka wa tatu huu,Nnaji ndio kaweka movie hii ya kwanza!

Sasa sijui unaongea nini mzee!

Unaongea as if kauza Netflix movie kama buku hivi,kumbe ni movie moja!

Mwanamke tajiri kwenye hizo makitu zao huko NG ni Omotolla ambae hana hizo nyumba mnazoonesha hapa!

Duh!

Mkuu huyu ana karibu 15 years kwenye game, kwahiyo hajaanza kukamata leo Hela
 
Back
Top Bottom